Hizi oil perfumu za kupima zinadumu mda mrefu kama original?

Imekuwa kero aiseee!! Km watu wa mkoani na Mlimani city 🀣🀣🀣
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Lazima tusafishe nyota Nkamu
Tukirudi maporini tupate cha kusimulia.
 
Imagine kwenye top ten yako sijui hata moja, yaani achilia mbali kutumia, hata jina sijui🀣🀣🀣
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Lazima tusafishe nyota Nkamu
Tukirudi maporini tupate cha kusimulia.
🀣🀣🀣 Nkamu hiyo maporini sasa umenikumbusha shangazi yangu wa mtukula πŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈ
 
naomba hiyo spice bomb eh😊😊
 

1, 2,7 hatari sana....

Kuna Acqua Di Gio Profumo, yaani Giorgio Armani wamezingua kweli baada ya kuacha kuirelease hii kitu ni hatari mno inanukia kitajiri sana...

 
1, 2,7 hatari sana....

Kuna Acqua Di Gio Profumo, yaani Giorgio Armani wamezingua kweli baada ya kuacha kuirelease hii kitu ni hatari mno inanukia kitajiri sana...

Georgia Armani ana tabia ya kuleta version mpya kwa hii line ya Acqua Di gio... alianza na ile ya kwanza... akaja Essenza, profumo,profondo,Absolu n.k
 
🀣🀣🀣 Nkamu hiyo maporini sasa umenikumbusha shangazi yangu wa mtukula πŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈ

🀣🀣🀣 Nkamu hiyo maporini sasa umenikumbusha shangazi yangu wa mtukula πŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈ
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
We Nkamu,ni yupi huyo shangazi wa Mtukula?πŸ˜‚
Naye anapiga picha Mcity kama sisi washamba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…