Hizi pete ambazo baadhi ya watu huvika vidoleni huwa ni za asili na kazi gani? Karibuni tujuzane

Hizi pete ambazo baadhi ya watu huvika vidoleni huwa ni za asili na kazi gani? Karibuni tujuzane

sidhani mwenye elimu na kujiheshimu wanavaa hayo madude/uchafu

Alafu kuna dini baadhi ya waumini wake wanayapenda kweli kweli 😁
Nilikutana na kaka mmoja ofisi nyeti kabisa kapiga suti safi na kidoleni Ana dude kubwa la hivyo lina rangi ya kijani sjui blue nikasema hee! Kumbe na huku wapo
 
Mapete ya kichawi hayo. .. Kuna dini moja inaentertain sana uvaaji wa hizi mambo, lakini sishangai sana kwa sababu mambo yao yako karibu sana na nguvu za giza.
 
Ni Ushamba na ushamba una mambo mengi sana ndani yake, maana yake ni mtu hajaenda shule na kuelimika, anaamini majini na mapepo, mshirikina, pia watazame kwa makini wanaovaa hizo pete, hawana CV kabisa, hawana shule, ni brainless, yaani wapuuzi fulani, hata kama kaenda shule ila hana elimu, kazi kujaza matunguri na uchawi uchawi tu vidoleni, wachafu wachafu, tumbili kabisa hao..!!
 
Huwa sipendi watu wanaovaa haya mapete na huwa nawaonesha wazi sijapenda. Haya mapete ni ya kishirikina
 
Mara nyingi huwa naona zinavaliwa sana na watu wa Pwani, huko kwingineko wao vya kwao havionekani kwa macho ya nyama….Hirizi
 
Back
Top Bottom