Hizi projects zitaifanya Dar kua unbeatable lifetime modern city in East Africa

Bwashee.. machinga complex haikuwahi kuwa soko kabla, hayo masoko yote unayoyaona michoro yake sasa hivi yapo na yana biashara kubwa sana. Wana enda kuyaboresha. Maeneo yalipo ni strategic hata wangejenga kwa mkopo ingelipa. Au upo Moshi jiji tarajiwa
 
Mji huu ambao mvua ya siku moja Unakwama kabisa??
Anyway hivi yale ya Kigamboni yaliishia wapi yakaja ya Magomeni then Makongo juu tuliona maclip na mapichapicha kibao
 
πŸ˜€πŸ˜€ InekuchomaaaπŸ˜€ Leo unamkana mzungu ?? Kweli wakikuyu hamnaga rafiki wakudumuπŸ˜€
eti mzungu kasema kuwa dar ni modern sasa wewe na akili zako hizo za ldc unamwaminiπŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€akili za kima hizi
 
Povu wapi ?? Mbona unaongea kama umeshikiliwa makende ??
aliyekamatwa makende ni wewe tu...unsahau jinsi ulivomwaga povu mpaka ukalishwa banπŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€ntakutaftia comment moja ulivomtusi jamaa flani matusi yasiyotamkika😱😱😱yaani mishipa yalikuwa yamejaa kote kichwani...ulilia kwel kwel
 
Maji ya uhakika yanapatikana katika Mji wa Daresalam!??Je zile barabara za mitaani ziko katika kiwango cha lami,Je bustani(Park) za kupumzika kwa wakaazi na wasiokuwa wakaazi wa Daresalam zipo?!vipi kuhusu maktaba ya kuzoma watanzania yanapataka kila wilaya za daresalam,sehemu za wazi za kuchezea watoto zipo kwa kila kata!!?? nk..

Watanzania ushamba ni jadi yetu,wenzetu waliondelea walianza kwa kujenga mambo muhumi kwa jamii zao kama nilizozitaja hapo juu halafu ndio wakaja na miundo mbinu (Infrastructure)mikubwa mikubwa..
 
eti mzungu kasema kuwa dar ni modern sasa wewe na akili zako hizo za ldc unamwaminiπŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€akili za kima hizi
Umeamua kutoa povu kwenyd matundu yoteπŸ˜€πŸ˜€ Baridi la mwaka huu lazima liwauweπŸ˜€πŸ˜€
 
Sitakuja kumuamini mwanasiasa mwenye rangi nyeusi kwenye ngozi.
 
Mradi wa DMDP upo nahayo uliyotaja
 
Ilete hapa hiyo comment mkikuyu uliekosa matunzo.πŸ˜€πŸ˜€ Umeanza comments za kitoto za ULI ! πŸ˜€πŸ˜€
 
wenzako wamejaa ushabiki tu..wanashrehekea stendi za basi, emergency landing, uzinduzi wa lift na ukutaπŸ˜€πŸ˜€
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…