Hizi projects zitaifanya Dar kua unbeatable lifetime modern city in East Africa

Hizi projects zitaifanya Dar kua unbeatable lifetime modern city in East Africa

Usisumbue kichwa sana, anza na MACHINGA COMPLEX, hii inazidiwa na soko uchwara la mchikichini. Unajua sababu? Kama hujui basi sababu ni hii.... Ni wateja wachache sana watakaopanda gorofa hadi ya tano eti anafuata yeboyebo haiwezekani, wanawake wa dar kumbuka hawawezi kukata hata KUCHA sembuse kupanda gorofa.
Bwashee.. machinga complex haikuwahi kuwa soko kabla, hayo masoko yote unayoyaona michoro yake sasa hivi yapo na yana biashara kubwa sana. Wana enda kuyaboresha. Maeneo yalipo ni strategic hata wangejenga kwa mkopo ingelipa. Au upo Moshi jiji tarajiwa
 
Mji huu ambao mvua ya siku moja Unakwama kabisa??
Anyway hivi yale ya Kigamboni yaliishia wapi yakaja ya Magomeni then Makongo juu tuliona maclip na mapichapicha kibao
 
😀😀 Inekuchomaaa😀 Leo unamkana mzungu ?? Kweli wakikuyu hamnaga rafiki wakudumu😀
eti mzungu kasema kuwa dar ni modern sasa wewe na akili zako hizo za ldc unamwamini😀😀😀akili za kima hizi
 
Povu wapi ?? Mbona unaongea kama umeshikiliwa makende ??
aliyekamatwa makende ni wewe tu...unsahau jinsi ulivomwaga povu mpaka ukalishwa ban😀😀😀😀ntakutaftia comment moja ulivomtusi jamaa flani matusi yasiyotamkika😱😱😱yaani mishipa yalikuwa yamejaa kote kichwani...ulilia kwel kwel
 
Maji ya uhakika yanapatikana katika Mji wa Daresalam!??Je zile barabara za mitaani ziko katika kiwango cha lami,Je bustani(Park) za kupumzika kwa wakaazi na wasiokuwa wakaazi wa Daresalam zipo?!vipi kuhusu maktaba ya kuzoma watanzania yanapataka kila wilaya za daresalam,sehemu za wazi za kuchezea watoto zipo kwa kila kata!!?? nk..

Watanzania ushamba ni jadi yetu,wenzetu waliondelea walianza kwa kujenga mambo muhumi kwa jamii zao kama nilizozitaja hapo juu halafu ndio wakaja na miundo mbinu (Infrastructure)mikubwa mikubwa..
 
eti mzungu kasema kuwa dar ni modern sasa wewe na akili zako hizo za ldc unamwamini😀😀😀akili za kima hizi
Umeamua kutoa povu kwenyd matundu yote😀😀 Baridi la mwaka huu lazima liwauwe😀😀
IMG_20170723_110319.jpg
 
Sitakuja kumuamini mwanasiasa mwenye rangi nyeusi kwenye ngozi.
 
Maji ya uhakika yanapatikana katika Mji wa Daresalam!??Je zile barabara za mitaani ziko katika kiwango cha lami,Je bustani(Park) za kupumzika kwa wakaazi na wasiokuwa wakaazi wa Daresalam zipo?!vipi kuhusu maktaba ya kuzoma watanzania yanapataka kila wilaya za daresalam,sehemu za wazi za kuchezea watoto zipo kwa kila kata!!?? nk..

Watanzania ushamba ni jadi yetu,wenzetu waliondelea walianza kwa kujenga mambo muhumi kwa jamii zao kama nilizozitaja hapo juu halafu ndio wakaja na miundo mbinu (Infrastructure)mikubwa mikubwa..
Mradi wa DMDP upo nahayo uliyotaja
 
aliyekamatwa makende ni wewe tu...unsahau jinsi ulivomwaga povu mpaka ukalishwa ban😀😀😀😀ntakutaftia comment moja ulivomtusi jamaa flani matusi yasiyotamkika😱😱😱yaani mishipa yalikuwa yamejaa kote kichwani...ulilia kwel kwel
Ilete hapa hiyo comment mkikuyu uliekosa matunzo.😀😀 Umeanza comments za kitoto za ULI ! 😀😀
 
Maji ya uhakika yanapatikana katika Mji wa Daresalam!??Je zile barabara za mitaani ziko katika kiwango cha lami,Je bustani(Park) za kupumzika kwa wakaazi na wasiokuwa wakaazi wa Daresalam zipo?!vipi kuhusu maktaba ya kuzoma watanzania yanapataka kila wilaya za daresalam,sehemu za wazi za kuchezea watoto zipo kwa kila kata!!?? nk..

Watanzania ushamba ni jadi yetu,wenzetu waliondelea walianza kwa kujenga mambo muhumi kwa jamii zao kama nilizozitaja hapo juu halafu ndio wakaja na miundo mbinu (Infrastructure)mikubwa mikubwa..
wenzako wamejaa ushabiki tu..wanashrehekea stendi za basi, emergency landing, uzinduzi wa lift na ukuta😀😀
 
Back
Top Bottom