Lycaon pictus
JF-Expert Member
- Jan 31, 2021
- 9,189
- 16,128
Kila mtu anayeingia anatambua wageni. Mgeni mmoja anatambuliwa hata na wazungumzaji watano. Huu ni ujinga
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huu utaratibu wenzetu walishauacha siku nyingi,ni ushamba tu. Huwa tunaona wenzetu wanapokuja hapa kwenye hutuba zao sanasana Wana mtaja Raisi ..My Raisi Mabibi na Mabwana, itfaki imezingatiwa,anaendelea na hotuba.hii kitu hata mimi sielewi maana yake, nilifikiria kuwauliza wadau humu ambao wamewahi kuishi nchi za nje kuwa je, huko kuna utaratibu kama huu?!!!
Ukweli ni kwamba huwa hawana la kusema zaidi ya kununua muda ili siku isonge wawahi kulamba Asali.Kila mtu anayeingia anatambua wageni. Mgeni mmoja anatambuliwa hata na wazungumzaji watano. Huu ni ujinga
Mbaya zaidi mwishoni muda unakuwa hauwatoshi.Ukweli ni kwamba huwa hawana la kusema zaidi ya kununua muda ili siku isonge wawahi kulamba Asali.
Kila mtu anayeingia anatambua wageni. Mgeni mmoja anatambuliwa hata na wazungumzaji watano. Huu ni ujinga
Uliasisiwa kwa staili ya mfumo wa zidumu fikra za Mwenyekiti,kwa sasa unaboa.Hata kuchora mapicha ya Mgeni rasmi wakati atakuja namtamuona ni ushamba na upotevu wa rasilimalihii kitu hata mimi sielewi maana yake, nilifikiria kuwauliza wadau humu ambao wamewahi kuishi nchi za nje kuwa je, huko kuna utaratibu kama huu?!!!
Ahaa gonga tano! Ni ujinga uliokubuhu. Nchi yetu imelaaniwa sijui. Hakuna kazi za kufanya kwa viongozi ndiyo maana. Hotuba inakuwa nusu ni kutambua ''uwepo'' wa fulani. Ujinga mtupu.Kila mtu anayeingia anatambua wageni. Mgeni mmoja anatambuliwa hata na wazungumzaji watano. Huu ni ujinga
Hivi huwa wanakagua nini?!!Kidogo jana mechi ya watani sikuona wale wageni rasmi kukagua timu. TFF kazieni hapohapo
Kuna vitu tz lazima vibadilike ili kuendana na muda, muda ni mali sana katika uzalishaji kwa namna yoyote ile kutambua uwepo wa mtu fulan haina tija hata kidogo kama mgen rasmi aje kutoa speech yake watu wakafanye kazi na ikipendeza yeye ndio aseme kwamba nashukuru labda mtu fulani au taasisi fulan kwa kazi zaoAhaa gonga tano! Ni ujinga uliokubuhu. Nchi yetu imelaaniwa sijui. Hakuna kazi za kufanya kwa viongozi ndiyo maana. Hotuba inakuwa nusu ni kutambua ''uwepo'' wa fulani. Ujinga mtupu.