Hizi protokali za kila mtu kutaja wageni eti ni protokali nu ujinga na inachosha sana.

Hizi protokali za kila mtu kutaja wageni eti ni protokali nu ujinga na inachosha sana.

Uliasisiwa kwa staili ya mfumo wa zidumu fikra za Mwenyekiti,kwa sasa unaboa.Hata kuchora mapicha ya Mgeni rasmi wakati atakuja namtamuona ni ushamba na upotevu wa rasilimali

Kwa kweli picha za rais anapofanya ziara ndani ya nchi yake mwenyewe haina maana mbali na utumiaji mbovu wa pesa. Sote tunamjua!

Ni sawa na mtu atokapo au audipo nyumbani kwake, familia yake ina-printi na kubandika picha zake kila pahali nyumbani kwake!!!
 
Ukitaka kuisoma akili ya mtu: sikiliza mazungumzo yake na angalia mwendo na tembea yake
 
Ukimuona mtu hazingatii mda huyo ni mjinga ndio wale Nyerere alikuwa anawatukana sana

Unataja majina ili iweje wakati wako wote hapo
Kwanza kiongozi kachelewa masaa kibao majitu nayo yamekaa tu eti sijala tangu asubuhi
Ulilazimishwa?
 
Ha ha ha mlikomenti Uzi Huu wote mtangulie pale kwa Kingai na Murilo...@Tindo awe Kiongozi wenu
 
Ukimuona mtu hazingatii mda huyo ni mjinga ndio wale Nyerere alikuwa anawatukana sana

Unataja majina ili iweje wakati wako wote hapo
Kwanza kiongozi kachelewa masaa kibao majitu nayo yamekaa tu eti sijala tangu asubuhi
Ulilazimishwa?
Bado narudia tena. Wananchi tumelala mno na watawala wanatudharau mno. Ndiyo maana wanakumbu kutajana wao kwani wanajua mtandao wao ni muhimu bila kujali kuwa wanatekeleza malengo au la. Wanajua wenye nguvu ya kuwaweka au kuwapa vyeo ni viongozi wenzao. Wannachi tungekuwa na umoja na kila anayeleta uzembe tunamvurumisha, na wakileta mapolisi wao tunawaonyesha cha mtema kuni wasingekuwa na muda wa kutumia masaa kutajana na kutambuana.
 
Halafu huu utaratibu wa kukusanyana uwanjani naona kama vile umepitwa na wakati.

Hatuba ingesomwa ikulu mbele ya viongozi wa vyama vya wafanyakazi na ingekua live kwa anayetaka kuangalia.

Wengine waendelee na mambo yao.
Uko sahihi haya maswala ya kukusanyana kuanzia asubuhi mpaka muda hule hakuna ulichoingiza .......ni ulemavu wa akili
 
Back
Top Bottom