Hizi roho za watu wasio na hatia waliouawa siku ya mapinduzi ya Zanzibar January 12, 1964 zinahitaji kutendewa haki


Mkuu unabisha tukio amabalo lipo wazi? hiyo video ni ya kweli na haina shaka kabisa, inapatikanwa kwenye Documentry ya Africa Addio
 
Mapinduzi gani watu wasife??

Unafikiri ni mchezo wa karata?.. Revolution siyo jmbo dogo . Ni kichapo cha nguvu na kinaarndana na kukunyima muda wa kupumua.


Hapo hapana Revolution ni Invasion , Uvamizi wa Tanganyika kwa Zanzibar , na ndio ukaona mpaka leo Tanganyika haikubali kiongozi yeyote aliyechaguiliwa kutoka upinzani ashinde
 
Umeandika upuuzi


Kwako wewe ambaye hujapoteza kitu , ni mzigo wa mwenzako , kwako ni ganda la usufi






Hawa ni Wazanzibari wenye asili ya GOA Ambao Walidhulumiwa kwa Kuuliwa Wakati wanatoka Kanisani Misa ya alfajiri siku ya Jumapili tarehe 12.1.1964 Wanamapinduzi Waliwauwa kwa Risasi njiani hawakiwahi kurudi Majumbani Mwao.
 
wazanzibar kilicho wakuta kilipaswa kuwakuta sababu ni wajinga wazanzibar wote ni waisilamu alafu wanajiingiza kwenye mambo yasio wahusu hivio hivio tangu aanze kugombea seifu kila uchaguzi watu wanakufa na kuvunjwa miguu hata uchaguzi ulio pita pia watu walikufa hamkomi muisilamu chama chake ni dini yake kiongozi wake ni mtume usipo balika kila uchaguzi mtaumizwa tu
 
Hapo hapana Revolution ni Invasion , Uvamizi wa Tanganyika kwa Zanzibar , na ndio ukaona mpaka leo Tanganyika haikubali kiongozi yeyote aliyechaguiliwa kutoka upinzani ashinde

Pole sana,mnataka kuharibu muungano
 

Bora wakae watulie tu wawe wapole,vinginevyo kila uchaguzi mtakua mnakuka mnnalialia tu.
 
Na Kina Mbowe tulioambiwa ni gaidi na yule aliyepigwa risasi kwenye viwanja vya Bunge na wale waliookotwa coco beach, Chama chao ni dini gani na kiongozi wao ni mtume gani?
 
Labda walizikwa na waliowaua,inadaiwa waliuawa watu 13,000...fikiria idadi ya watu zenji kipindi hicho Kisha uue watu 13 elfu
kwni mauji ya urusi na ukereine unadhani nani aezika mizoga hiyo?
 
Sasa ushasikia mapinduzi unatarajia kubembelezwa hapo ni mwendo wa shaba tu. Tena bahati yao sikuwepo wangejuta kukutana na hiki kiumbe
 
Kiweke hapa
Anza hapa

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…