Hizi Safari za mabasi usiku saa 9, saa 10 ni hatari mno

Amani inapotea vipi,huko nje na wewe umelala kwenye basi unakoroma?
Kama kutokea ajari hata mchana kweupe zinatokea,swala LA kusafiri inabidi liwe masaa24!
Hapa dar tu, watu wanaamka saa 9 kila siku kuwahi kazini,
Kusafiri usiku hakuna shida, taratibu nzuri ziwekwe tu,
 
Watanzania wenye akili ndogo kama nyie Ndio maadui wakubwa wa maendeleo
Unajitokeza Kwa Wanaume kuongelea habari za usingizi Ni aibu kubwa kuchangia utopolo huku
 
H
Hivi una akili kweli? Kuchelewa ni uzembe wako mwenyewe.
Eti baada ya nini sijui abiria wote walikuwa wamelala. Ulijuaje wote wamelala wakati ulilala?
Acha upuuzi weye.
Mwisho. Improve your handwriting please!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…