Hizi simu mbona bei rahisi hivyo kunani

Hizi simu mbona bei rahisi hivyo kunani

Mkuu,

Binafsi sina uelewa sana na simu, lakini nataka ni-opt kati ya A33 &S21 ( Naziona siyo nzito, na shape siyo kubwa).

Kati ya hizi simu mbili kwa uelewa wako ipi inaweza kuwa na value for money ( Sina preference na magemu wala video), sanasana ni mpenzi wa kusoma vitabu na internet.
S21 ni simu nzuri zaidi, na hata bei yake imesimama, A33 ni bei rahisi zaidi ila pia Quality yake si kama S21.
 
Refurb ni lazima iwe na tatizo isingekua na tatizo isingeitwa refurb, sema tu sometime unaweza bahatisha refurb nzuri bila mwenyewe kujijua.

Hapo hapo China plaza niliwahi msindikiza mtu kununua iphone, imechezewa balaa haipokei updates, safari haingii internet etc. Mpaka utumie 3rd party apps.
Hizi refurb naona zina category tofauti tofauti.

Na katika refurb nzuri na ambazo ni expensive kidogo ingawa ni nzuri, ni refurb from factory.

My point of argument was based on nature of customers. Behaviour ya wateja wa iphone ni tofauti kabisa na wa samsung.

Hawa iphone wana mambo ya ku-upgrade sana tofauti na wateja wa simu nyingine. Ni very likely kukuta mteja wa iphone anauza simu wala haina changamoto just kuendana na wakati, but less unlikely kukuta mteja wa simu nyingine kama itel or samsung anaendana na hayo mambo ya fashion.
 
Mlimani city ndani ya jengo? Au .arneo ya nje?
Madealer wa samsung na iphone Og wako wap
Ushauri wa buree...achana kabisa na hizo simu utajutaa hakuna mpuuzi ambaye anafanya biashara bila kulenga faidaa...simu za samsung nyingi kwa bei hiyo sio mpyaa ni refub au used ila ukiiona unaweza sema ni mpyaa hadi box wanakupa.
Mimi nimewahinunua Note 10+ 900k kuna jamaa wako pale Mcity simu ilikua mpya kwenye box ila nimetumia almost miezi miwili simu inachemka na ilikuja kuwa na mchezo wa kuzima na kuwaka non stop baada ya kuupdate, Mafundi wote iliwagomea wanasema box lina information tofauti nasimu kwaiyo nilifanyiwa uhuni mpka sasa nimeamua tuu kuifungia kabatini...ukitaka simu nzuri nenda kwa samsung official dealers, hivi vitu vya bei rahisi ni hasara tupu! USIJARIBU Ila kama unataka kuprove kanunue ujionee.
 
Samsung og na iphone og
Wanapatikana wap wauzaj wake. Walio na physical store
Nenda mlimani city mall, sapna, tigo, voda, posta ofisi kubwa nk.

Binafsi nw days nimeshakuwa biased na k/koo. Mahali penye utapeli hapafai kabisa.

Vitu vyangu napendelea kununulia mlimani city, sijawahi kuwa disappointed, na after sales service ni nzuri mnoo. Hapana tabia za kuwindana.

Game wana very strict policies linapokuja swala la fraud, na hii imekuwa kama guiding principle ya kufanya biashara hapo.
 
Nenda mlimani city mall, sapna, tigo, voda, posta ofisi kubwa nk.

Binafsi nw days nimeshakuwa biased na k/koo. Mahali pence utapeli hapafai kabisa.

Vitu vyangu napendelea kununulia mlimani city, sijawahi kuwa disappointed, na after sales service ni nzuri mnoo. Hapana tabia za kuwindana.

Game wana very strict policies linapokuja swala la fraud, na hii imekuwa kama guiding principle ya kufanya biashara hapo.
Iphone 12,11 mliman city bei gan
 
Unamaanisha soc?

Maana F62 haina kitu chochote cha maana kuiweka level moja na Flagship, haina ip ratings yoyote, haina OIS, kioo hakina Refresh rate kubwa wala HDR na kina peak 420nits tu etc.
. F62 ni midrange ya kawaida ambayo ina battery kubwa kwa ajili ya kuvutia watu wanaotaka simu zinazokaa na Chaji, A52S ni premium all arounder ina feature nyingi za flagship phone imekuwa positioned kama
N sawa f62 tu n midrange yenye soc na gpu ya flagship ya mda kidgo Ila a52s mbali na bugs ina poor interior design kama a series nyingne
 
Hizi iphone zimewaelekea wanawake tu, kwa mwanaume kutumia iphone ni kujiaibisha tu.. kwa samsung jinsia zote zinaenda..

kitu samsung bwana, brand kubwa. Sema kuna wachache wanaharibu jina la samsung ionekane feki.
Ni kweli mkuu, unakuta mwanaume anamiliki iphone ya macho matatu. Mwanaume samsung, sony, huawei, lg, nokia n.k

Sent from my SM-G930F using JamiiForums mobile app
 
Sure.

Hii model ya second hand naona kama iphone anaiweza sana. Ni rahisi sana kununua iphone nzuri kuliko samsung.

Binafsi naona inatokana na nature ya wateja. Mteja wa iphone mara nyingi utakuta anauza simu ili kwendana na wakati, lakini hizi simu nyingine sanasana inauzwa kukiwa na tatizo.
Hilo nalo neno mkuu, inawezekana kabisa. Iphone ambazo mimi nimeshuhudia refurb, zote zinadunda, tena ni kama mpya kabisa.

Sent from my SM-G930F using JamiiForums mobile app
 
N sawa f62 tu n midrange yenye soc na gpu ya flagship ya mda kidgo Ila a52s mbali na bugs ina poor interior design kama a series nyingne
Kwenye Simu za Samsung S na Z then A then M na F, no way F iwe na superior build Quality over A.
 
Hizi refurb naona zina category tofauti tofauti.

Na katika refurb nzuri na ambazo ni expensive kidogo ingawa ni nzuri, ni refurb from factory.

My point of argument was based on nature of customers. Behaviour ya wateja wa iphone ni tofauti kabisa na wa samsung.

Hawa iphone wana mambo ya ku-upgrade sana tofauti na wateja wa simu nyingine. Ni very likely kukuta mteja wa iphone anauza simu wala haina changamoto just kuendana na wakati, but less unlikely kukuta mteja wa simu nyingine kama itel or samsung anaendana na hayo mambo ya fashion.
Ni sahihi Refurb zina Category, na zipo Manufacture certified Refurbished ambazo ni nzuri ila hapa Bongo huzipati,

Wafanyabiashara wa Bongo wengi anataka simu anunue bei rahisi aje kupiga watu huku, no way akatafute refurb nzuri ambayo likely inauzwa bei ya juu kidogo.
 
Nenda mlimani city mall, sapna, tigo, voda, posta ofisi kubwa nk.

Binafsi nw days nimeshakuwa biased na k/koo. Mahali penye utapeli hapafai kabisa.

Vitu vyangu napendelea kununulia mlimani city, sijawahi kuwa disappointed, na after sales service ni nzuri mnoo. Hapana tabia za kuwindana.

Game wana very strict policies linapokuja swala la fraud, na hii imekuwa kama guiding principle ya kufanya biashara hapo.
Mkuu kuna duka moja la samsung Mlimani city wana mchezo mchafu.
Mbaya zaidi siku waliyotaka kuniletea alikuwepo dada wa Samsung yeye ndo alinikabidhi simu na kujifanya ananihudumia.
Nilishtuka nikakiwasha.
Wakanirudishia pesa yangu on spot.
Hapo hapo Mlimani kuna duka kubwa sana la Samsung wanauza mitelevisions mikubwa na mifriji.
Ndo duka kubwa pekee la samsung.
Nilinunua pale simu.
Simu nikaidondosha.
Ilikuwa ndani ya warranty.
Nikarudi pale nipate maelezo wapi nipeleke nikatengenezewe.
Nilisikitika sana yule yule dada kibonge mweusi aliyeniuzia simu akanijibu kwa fedhuli na kusema kioo hakiko kwenye warranty inabidi ninunue kioo laki 3 na point, akawa anasema anipe no ya fundi wake...
Tukashindwa kuelewana nikaondoka.
Bahati nzuri nikaenda duka jingine la samsung kuna mama wa kihindi akanipa maelezo na namba ya za watu wa J mall.
Nikaenda.
Wakaona tatizo.
Kioo walikuwa hawana, wakaagiza.
Nikatengenezewa simu bure kabisa japo ilichukua wiki 2.
Na hadi leo simu inadunda.
Tunapenda kununua vitu Mlimani sababu tunapata vitu reliable, durability no fake zone tunaimani tunapata after sales customer care nzuri.
Lakini kwa experiences hizo mbili nilizokutana nazob upande wa simu ni bora nirudi Sapna.
 
Mkuu kuna duka moja la samsung Mlimani city wana mchezo mchafu.
Mbaya zaidi siku waliyotaka kuniletea alikuwepo dada wa Samsung yeye ndo alinikabidhi simu na kujifanya ananihudumia.
Nilishtuka nikakiwasha.
Wakanirudishia pesa yangu on spot.
Hapo hapo Mlimani kuna duka kubwa sana la Samsung wanauza mitelevisions mikubwa na mifriji.
Ndo duka kubwa pekee la samsung.
Nilinunua pale simu.
Simu nikaidondosha.
Ilikuwa ndani ya warranty.
Nikarudi pale nipate maelezo wapi nipeleke nikatengenezewe.
Nilisikitika sana yule yule dada kibonge mweusi aliyeniuzia simu akanijibu kwa fedhuli na kusema kioo hakiko kwenye warranty inabidi ninunue kioo laki 3 na point, akawa anasema anipe no ya fundi wake...
Tukashindwa kuelewana nikaondoka.
Bahati nzuri nikaenda duka jingine la samsung kuna mama wa kihindi akanipa maelezo na namba ya za watu wa J mall.
Nikaenda.
Wakaona tatizo.
Kioo walikuwa hawana, wakaagiza.
Nikatengenezewa simu bure kabisa japo ilichukua wiki 2.
Na hadi leo simu inadunda.
Tunapenda kununua vitu Mlimani sababu tunapata vitu reliable, durability no fake zone tunaimani tunapata after sales customer care nzuri.
Lakini kwa experiences hizo mbili nilizokutana nazob upande wa simu ni bora nirudi Sapna.
Kwan hawakukupa warranty? Warranty ilikuwa inasemaje? Samsung sasa hv ukinunua simu zao kuna limited warranty wanatoa. Mfano-A13, A33 and etc.

Aina hizi za simu Ukipasua kioo ndani ya mwaka mmoja unapaswa kulipia 48'000 wanakusaidia ku-replace. Replacement ya vioo vya A70 na S, N,Z series bei inaongezeka kidogo.

Kuna series za samsung kioo hakiko covered na s+ warranty, na mteja akikipasua from day one imekula kwake.

Hii limited warranty ina ukomo wake- ukipasua zaidi ya mara moja pia haiwahusu au kioo kikipata damage zaidi ya mwaka hawahusiki.

Point ya mjadala hapa ilikuwa centered kwenye mteja kuuziwa simu fake or used, na kwendana na maelezo yako ni kwamba hauku-despute ubora wa simu yenyewe, bali issue ya warranty kutokana na damage uliyoisababisha on your end.

What I don't get, ni kwann dealer alikataa kukusaidia kama warranty ilikuwa inakuruhusu kufanya replacement ya kioo kwa gharama ambazo si zake?

And let's make no mistake, kubadilishiwa kioo bure kutokana na damage uliyoisababisha wewe kama mteja it's a favor, and not a right, inategemea na individual discretion ya dealer mwenyewe as we all know (business don't run on favors).

The most interesting part ni pale wewe ungeamua ku-escalate issue yako based on genuine reasons (supported by legal clauses on the warranty) kwa mall owners wenyewe kuhusiana na dispute yako, lazima ungepata solution.

By all standards, mlimani city mall is always the best.
 
Iphone 12,11 mliman city bei gan
Sina uelewa na simu za iphone best. Kaka Mkwawa yupo hapa- anaweza kutia msaada kidogo wa swali lako kwa mapana

Lakini online stores za tigo wanatangaza kama ifuatavyo.

Iphone 12 - 128GB 2,780,000 TZS​

Iphone 12 Pro - 128GB. 3,200,000 TZS​

Iphone 12 Pro - 256GB. 3,000,000 TZS​

Iphone 12 Pro Max - 128GB. 3,500,000 TZS​

Iphone 12 Pro Max - 256GB. 3,700,000 TZS​

Iphone 12 Mini - 64GB. 2,250,000 TZS​

Iphone 12 Mini - 128GB. 2,350,000 TZS​

 
Mkuu kuna duka moja la samsung Mlimani city wana mchezo mchafu.
Mbaya zaidi siku waliyotaka kuniletea alikuwepo dada wa Samsung yeye ndo alinikabidhi simu na kujifanya ananihudumia.
Nilishtuka nikakiwasha.
Wakanirudishia pesa yangu on spot.
Hapo hapo Mlimani kuna duka kubwa sana la Samsung wanauza mitelevisions mikubwa na mifriji.
Ndo duka kubwa pekee la samsung.
Nilinunua pale simu.
Simu nikaidondosha.
Ilikuwa ndani ya warranty.
Nikarudi pale nipate maelezo wapi nipeleke nikatengenezewe.
Nilisikitika sana yule yule dada kibonge mweusi aliyeniuzia simu akanijibu kwa fedhuli na kusema kioo hakiko kwenye warranty inabidi ninunue kioo laki 3 na point, akawa anasema anipe no ya fundi wake...
Tukashindwa kuelewana nikaondoka.
Bahati nzuri nikaenda duka jingine la samsung kuna mama wa kihindi akanipa maelezo na namba ya za watu wa J mall.
Nikaenda.
Wakaona tatizo.
Kioo walikuwa hawana, wakaagiza.
Nikatengenezewa simu bure kabisa japo ilichukua wiki 2.
Na hadi leo simu inadunda.
Tunapenda kununua vitu Mlimani sababu tunapata vitu reliable, durability no fake zone tunaimani tunapata after sales customer care nzuri.
Lakini kwa experiences hizo mbili nilizokutana nazob upande wa simu ni bora nirudi Sapna.

sehemu yoyote ukiishakuta mtu mweusi,kuwa makini sana.

njaa,tamaa,ubabaishaji nk.

huu ukute wala sio msimamo wa boss,ukute hajui kumbe anahujumiwa huku.
 
Kwan hawakukupa warranty? Warranty ilikuwa inasemaje? Samsung sasa hv ukinunua simu zao kuna limited warranty wanatoa. Mfano-A13, A33 and etc.

Aina hizi za simu Ukipasua kioo ndani ya mwaka mmoja unapaswa kulipia 48'000 wanakusaidia ku-replace. Replacement ya vioo vya A70 na S, N,Z series bei inaongezeka kidogo.

Kuna series za samsung kioo hakiko covered na s+ warranty, na mteja akikipasua from day one imekula kwake.

Hii limited warranty ina ukomo wake- ukipasua zaidi ya mara moja pia haiwahusu au kioo kikipata damage zaidi ya mwaka hawahusiki.

Point ya mjadala hapa ilikuwa centered kwenye mteja kuuziwa simu fake or used, na kwendana na maelezo yako ni kwamba hauku-despute ubora wa simu yenyewe, bali issue ya warranty kutokana na damage uliyoisababisha on your end.

What I don't get, ni kwann dealer alikataa kukusaidia kama warranty ilikuwa inakuruhusu kufanya replacement ya kioo kwa gharama ambazo si zake?

And let's make no mistake, kubadilishiwa kioo bure kutokana na damage uliyoisababisha wewe kama mteja it's a favor, and not a right, inategemea na individual discretion ya dealer mwenyewe as we all know (business don't run on favors).

The most interesting part ni pale wewe ungeamua ku-escalate issue yako based on genuine reasons (supported by legal clauses on the warranty) kwa mall owners wenyewe kuhusiana na dispute yako, lazima ungepata solution.

By all standards, mlimani city mall is always the best.

sina hakika huwenda wewe ni muuzaji ila mnakosea sehemu.

jukumu la kumuelimisha mteja juu ya huduma anayokwenda au anayoilipia ni la wewe mfanyabiashara.

ndugu watu wamepata hela,wanakuja kwako hawajui chochote zaidi kukariri simu aliyoiona kwa nduguye huko pembeni.nawewe unampokea uko hai hai,kana kwamba unauza pini za mia mia.
muelimishe kabla hajaamua kulipia ili kueupusha malalamiko mbele ya safari.
kwamba simu unalipa kiasi kadhaa,mkataba unasema itahudimiwa muda gani??kipi na kipi??

sasa dukani unakuta wamejaa wale maboy tunaita wadananda,wako lesi kufukuzia 20k za cha juu,lazima mwisho wa picha yatokee haya.
 
Back
Top Bottom