Hizi simu mbona bei rahisi hivyo kunani

Hizi simu mbona bei rahisi hivyo kunani

sina hakika huwenda wewe ni muuzaji ila mnakosea sehemu.

jukumu la kumuelimisha mteja juu ya huduma anayokwenda au anayoilipia ni la wewe mfanyabiashara.

ndugu watu wamepata hela,wanakuja kwako hawajui chochote zaidi kukariri simu aliyoiona kwa nduguye huko pembeni.nawewe unampokea uko hai hai,kana kwamba unauza pini za mia mia.
muelimishe kabla hajaamua kulipia ili kueupusha malalamiko mbele ya safari.
kwamba simu unalipa kiasi kadhaa,mkataba unasema itahudimiwa muda gani??kipi na kipi??

sasa dukani unakuta wamejaa wale maboy tunaita wadananda,wako lesi kufukuzia 20k za cha juu,lazima mwisho wa picha yatokee haya.
Binafsi ni mteja na mpenzi sana wa Samsung.

Ni mpenzi sana wa kusoma kuliko kuambiwa jambo na kulichukulia at face value kijuujuu as long as hela yangu na interest zangu zinaweza kuwa affected.

Hata disclosure za kwenye simu kabla ya kukubali, ingawa ni ndefu, binafsi huwa nazisoma ili kuzielewa.

JF ni shule, kuna watu wenye uzoefu mkubwa sana kama Chief-Mkwawa ambao ni very resourceful kwenye haya mambo ya simu, kwa hiyo tunawatumia kuweza kuelewa aspect za simu kiundani kama binafsi nilivyoomba kupata uelewa kwake juu ya machaguo hapo juu kabla ya kununua.

Kwendana na uzoefu wangu, kuna wateja wana uelewa na product kuliko hata muuzaji, and for the case of Mkwawa and some of you, are very exceptional.

Mteja anawajibu kwa sehemu kubwa kupata taarifa nyingi na sahihi kwa kadiri awezavyo ili aweze kufanya maamuzi sahihi yanayoendana na self interest zake.

Hakuna yeyote anayeweza kusimamia vyema maslahi bora ya mteja, kama si mteja mwenyewe kwa sehemu kubwa.
 
Wakuu Mimi ntachangia kutokana na jinsi ninavyoelewa soko la k/koo au lasimu lilivyo DSM.

Saivi kuna ununuaji WA hizo simu zilizo kufa motherboard sijui kioo au vitu vidogovidogo kuna watu wapo spesho kabisa wanavinunua wanatengeneza kabisa post kuwa wananunua simu mbovu.

Sasa ni Jambo la kufikilia Tu kinacho fanyika ni:[emoji116]
Hizo simu zinazokufa motherboard,vioo wanapozinunua wanaagizia vifaaa vyake vipya kabisa.
Then wanakuja kuvipachika katika hizo mashine zake.
Wanazipiga software mpya wananunulia box,charge, earphones na zile stickers za IMEI sijui storage Wana print na kuzbandika then zinarudi dukani na kuuzwa tenaa! Ukienda kununua ndo unaambiwa kuwa ni used a broad au refurbished.

Nishawahi kuingia chaka mwaka juzi kununua Samsung s9+ pale mataa ya uhuru Kwa wapemba Fulani nilimkuta mpemba mmoja nilihitaji ya 128gb iliokuwepo 64.

Akaniambia ngoja nikufatie kurudi nika-cash pesa kufika nyumbani nisign in sasa Gmail yangu simu inachemka kichzi Yani chaji ni lisaa Tu imekwisha.nilikaa nayo wiki Tu nikaipiga bei.

Kiufupi sasaivi k/koo usidanganywe kuna simu mpya
Ukitaka simu mpya nenda Kwa official dealers WA hizo kampuni au pre order kutoka nje.
 
Wakuu Mimi ntachangia kutokana na jinsi ninavyoelewa soko la k/koo au lasimu lilivyo DSM.

Saivi kuna ununuaji WA hizo simu zilizo kufa motherboard sijui kioo au vitu vidogovidogo kuna watu wapo spesho kabisa wanavinunua wanatengeneza kabisa post kuwa wananunua simu mbovu.

Sasa ni Jambo la kufikilia Tu kinacho fanyika ni:[emoji116]
Hizo simu zinazokufa motherboard,vioo wanapozinunua wanaagizia vifaaa vyake vipya kabisa.
Then wanakuja kuvipachika katika hizo mashine zake.
Wanazipiga software mpya wananunulia box,charge, earphones na zile stickers za IMEI sijui storage Wana print na kuzbandika then zinarudi dukani na kuuzwa tenaa! Ukienda kununua ndo unaambiwa kuwa ni used a broad au refurbished.

Nishawahi kuingia chaka mwaka juzi kununua Samsung s9+ pale mataa ya uhuru Kwa wapemba Fulani nilimkuta mpemba mmoja nilihitaji ya 128gb iliokuwepo 64.

Akaniambia ngoja nikufatie kurudi nika-cash pesa kufika nyumbani nisign in sasa Gmail yangu simu inachemka kichzi Yani chaji ni lisaa Tu imekwisha.nilikaa nayo wiki Tu nikaipiga bei.

Kiufupi sasaivi k/koo usidanganywe kuna simu mpya
Ukitaka simu mpya nenda Kwa official dealers WA hizo kampuni au pre order kutoka nje.
Kweli aisee kkoo kuna taka taka za kila aina...
 
Hizi simu refurb nashauri mtu kununua iphone pekee. Nineshanunua iphone mbili refurb kwa miaka tofauti pale China Plaza na mpaka sasa hazina shida yoyote, hii ya pili nimenunua mwaka huu.

Kwa samsung sijui kwa kweli.

Sent from my SM-G930F using JamiiForums mobile app
Naomba nielekeze mahali uliponunua hizo iphone
 
Wakuu Mimi ntachangia kutokana na jinsi ninavyoelewa soko la k/koo au lasimu lilivyo DSM.

Saivi kuna ununuaji WA hizo simu zilizo kufa motherboard sijui kioo au vitu vidogovidogo kuna watu wapo spesho kabisa wanavinunua wanatengeneza kabisa post kuwa wananunua simu mbovu.

Sasa ni Jambo la kufikilia Tu kinacho fanyika ni:[emoji116]
Hizo simu zinazokufa motherboard,vioo wanapozinunua wanaagizia vifaaa vyake vipya kabisa.
Then wanakuja kuvipachika katika hizo mashine zake.
Wanazipiga software mpya wananunulia box,charge, earphones na zile stickers za IMEI sijui storage Wana print na kuzbandika then zinarudi dukani na kuuzwa tenaa! Ukienda kununua ndo unaambiwa kuwa ni used a broad au refurbished.

Nishawahi kuingia chaka mwaka juzi kununua Samsung s9+ pale mataa ya uhuru Kwa wapemba Fulani nilimkuta mpemba mmoja nilihitaji ya 128gb iliokuwepo 64.

Akaniambia ngoja nikufatie kurudi nika-cash pesa kufika nyumbani nisign in sasa Gmail yangu simu inachemka kichzi Yani chaji ni lisaa Tu imekwisha.nilikaa nayo wiki Tu nikaipiga bei.

Kiufupi sasaivi k/koo usidanganywe kuna simu mpya
Ukitaka simu mpya nenda Kwa official dealers WA hizo kampuni au pre order kutoka nje.
Hata wauzaji wa maduka ya jumla wanafanya huo uhuni ?
 
Naomba nielekeze mahali uliponunua hizo iphone
Wiki ilopota nimetoka kuchukua iphone nyingine, pia miezi miwili ilopita nikachukua Samsung Note 10 plus. Hakuna hata moja inayozingua. Pale China Plaza ukiingia flow ya kwanza kuna jamaa mpemba anaitwa GSM. Mimi nachukuliaga simu kwake.
 
Wiki ilopota nimetoka kuchukua iphone nyingine, pia miezi miwili ilopita nikachukua Samsung Note 10 plus. Hakuna hata moja inayozingua. Pale China Plaza ukiingia flow ya kwanza kuna jamaa mpemba anaitwa GSM. Mimi nachukuliaga simu kwake.
Note 10 pesa ngapi anauza?
 
Note 10 pesa ngapi anauza?
Ambayo clean haina doti ni 800k, warranty ni mwaka. Simu imenyooka sana, mimi nazipenda Samsung nazipendea kioo, wametisha saana eneo hili.
 
Ambayo clean haina doti ni 800k, warranty ni mwaka. Simu imenyooka sana, mimi nazipenda Samsung nazipendea kioo, wametisha saana eneo hili.
S22 hapo wanauzaje achana na ultra yenye edge hapana ile ya kawaida yenye flat display
 
S22 hapo wanauzaje achana na ultra yenye edge hapana ile ya kawaida yenye flat display
Hiyo kwa kweli sikuulizia. Niliulizia kile ambacho kilikuwa ndani ya bajeti yangu.
 
Back
Top Bottom