Mzee wa kupambania
JF-Expert Member
- Aug 14, 2022
- 21,111
- 53,092
Profesa Janabi ikiona huu uzi lazima asitishe mfungo akafanye press.Kuna baadhi ya majani tumeamua kuyatunuku cheo kwamba ni mboga za kushushia na chakula.
Ila mimi nazipinga.
Mfano:
Majani ya maboga
Kisamvu
Mchunga
Majani ya kunde
Matembele
Mlenda
Mengine nimesahau majina.
Tuache kuyapakazia kuwa ni mboga, tunayasingiziq na hayana manufaa yoyote mwili bali ni shushia ugali tu.
Mboga ina kiherehere hii, hujatafuna tonge lishashuka.Mboga nisiyopenda ni mlenda kwakweli sijawahi kupenda mlenda japo nikikuta ugenini ndo mboga iliyoandaliwa huwa nagusa kiaina nisionekane nachagua msosi ila bamia napenda ikiwa imepikwa nzima nzima
Na nduguye Nyanya chunguBiringanya mbona umelisahau godoro sio godoro ,boksi sio boksi ,ukilitafuna domo zima linajaa mimaji.Sitaki hata kuliona mbele ya macho yangu hata lipikwe na mpishi mkuu wa mama Kizimkazi na Paje.
Watu wanalishwa mihadaratiKuna baadhi ya majani tumeamua kuyatunuku cheo kwamba ni mboga za kushushia na chakula.
Ila mimi nazipinga.
Mfano:
Majani ya maboga
Kisamvu
Mchunga
Majani ya kunde
Matembele
Mlenda
Mengine nimesahau majina.
Tuache kuyapakazia kuwa ni mboga, tunayasingiziq na hayana manufaa yoyote mwili bali ni shushia ugali tu.
Chakula ya sungura na akila anakoja mkojo una rangi tena unakua dawa ya kuua wadudu waharibifu wa mazaoKuna hayo majani ya kunde na michunga.
Majani ya kunde yalinishinda kabisa.
Hiyo michunga nimekuja kujua juzi kuwa nayo ni mboga, miaka yote nilikuqa nikijua kuwa michunga ni majani ya sungura
Halafu hiyo mboga ni ya ajabu mkuu kila inapozidi kuchelewa kuliwa utamu unazidi πLazima penye ukweli tuseme. Umaskini unatufanya tuzipambe ziwe mboga. Kisamvu mboga ina hatua 11 za maandalizi ili ipikwe iliwe. Hakuna mboga inapikwa more than 6 minutes
Ikiwa kiporo sio?Halafu hiyo mboga ni ya ajabu mkuu kila inapozidi kuchelewa kuliwa utamu unazidi π
Ewaa yaani sijui ina siri ganiππIkiwa kiporo sio?
Ugali debe mboga kibakuli, lishe itatoka wapi hapo.Waswahili wanakwambia cha muhimu njia ya kwenda chooni isiote nyasi
Suala la lishe ni changamoto sana hapa Tanzania umeangazia kwenye mboga za majani ila kila pande ukigusa kila pande Watanzania wengi hawali mlo kamili
Ni kula kumalizaUgali debe mboga kibakuli, lishe itatoka wapi hapo.
πππmmekula mboga za ujamaa na kujitegemea mpaka zimewakuza mnaanza kuzinanga.
Daah mm leo ndio nimejua kuwa mboga safi ya mchunga ni chakula cha sungura.Kuna hayo majani ya kunde na michunga.
Majani ya kunde yalinishinda kabisa.
Hiyo michunga nimekuja kujua juzi kuwa nayo ni mboga, miaka yote nilikuqa nikijua kuwa michunga ni majani ya sungura
Ni kujaza tumbo tuUgali debe mboga kibakuli, lishe itatoka wapi hapo.
Wadau wa haki za wanyama wakuoneDaah mm leo ndio nimejua kuwa mboga safi ya mchunga ni chakula cha sungura.
Asee sungura wananisamehe sana. Nimeacha.