wa kupuliza
JF-Expert Member
- Jun 15, 2012
- 15,216
- 37,757
Tatizo la Excel ili uweze kua master Ni lazima uwe unaitumia Mara kwa mara Kwny shughuli za kila Siku,lkn mtu ukiisoma Kama Noval/notes hivi ukajaribu kui-apply kidogo Baada ya muda unasahau kabisa Kama uliwahi kujifunza Excel.Nakubali kabisa kuna kozi yake nliidownload aloo mambo ni mengi nilitoka kapa, ila kichwa ikitulia ntajifunza hiyo kitu inaweza kuwa msaada mbeleni kwenye ulimwengu wa kidijitali
Inafahamika lkn google ni bora wakomae na search engine business hizo nyingine watajaza tu cemetery yao. Kuna products kibao za google zimefail japo ni very smart products. Excel ishapata traction fln hv kwenye jamii ambayo ni ngumu kubanduaWe unaijua Google sheet
KabisaTatizo la Excel ili uweze kua master Ni lazima uwe unaitumia Mara kwa mara Kwny shughuli za kila Siku,lkn mtu ukiisoma Kama Noval/notes hivi ukajaribu kui-apply kidogo Baada ya muda unasahau kabisa Kama uliwahi kujifunza Excel.
Kabisa hakuna bingwa pale ambapo ukijiona unajua unakuja kugundua vitu kuwa haujui badoExcel haina mpinzani na bingwa wa Excel
Excel ni program kubwa sana. Ina application kama million hivi sema wabongo wengi tunatumia 0.005 ya uwezo wake.Yaani matumizi ya Excel tunayoyajua/kuyatumia kila siku Ni labda 0.5% ya uwezo wote wa MS Excel.Lile dude Ni kubwa mno,Lina makorokocho ambayo kiukweli Ni advanced kinyama.
Nilimuona jamaa mmoja mwanajeshi wa US huko YouTube akiitumia ku-calculate hesabu zake za milipuko,nikasema tu hiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
Excel ni maajabuNdio maana kuna watu wanaamini Microsoft office zimeundwa kwa msaada wa aliens
MS Excel? Kuna kitu kinaitwa LibreOffice, unakijua?Hello bosses....
Kwa mizunguko mizunguko nlopitia baada ya kufanya kazi na watu kadhaa kwenye field ya software dev nmekuja gundua (in my opinion) kuna software hizi 3 hata itokee alternative gani kizazi hiki hazitokuja kuwa replaced.
Kiufupi hizo ni:-
1) BLOOMBERG TERMINAL
2)MICROSOFT EXCEL
3)SAP BUSINESS ONE (B1)
Nitazifafanua kiufupi hapa chini
---> BLOOMBERG TERMINAL
Hii kama hujihusishi na financial markets (At Instutional Level) itakua bado hujaisikia lakini ni moja kati ya software zinazorun dunia hii. Nasema zinarun dunia coz inatumiwa na asilimia kubwa ya Financial Institutions kutrade kwenye Financial markets kuanzia kununua stocks, bonds, options, currencies na financial instruments & derivatives nyngne. Wanaohusika kwenye hii field hupenda kuiita 'BLOOMIE', ilitengenezwa na kuanza kutumika kwenye miaka ya 1980 chini ya Mike Bloomberg na kinachonifurahisha kuhusu hii software ni kwamba ime-maintain 'old-school look' ambayo naweza kuiita 'hacker-like' look. Rangi zake sana sana ni black and orange na mwonekano wake unavutia kwa wanaopenda 'less-bullshit UI'.
Gharama za kutumia hii software kwa mwaka ni USD 25,000 na mabillion ya dollar hupitia kwenye hii software kila mwaka. Toka ianze kutumika 1980s hadi sasa kuna wapinzani wengi wanatengeneza software zao lkn hawajafanikiwa kuipiku BLOOMIE.
---> MICROSOFT EXCEL.
Hii siwezi ongelea sana coz wengi tunaifahamu. Ni kati ya products za Microsoft ambazo nazikubali sana. Tumeona zinakuja spreadsheet software nyingine ila hii ipo on trend miaka nenda miaka rudi. Watu wanasema wahindi wako vzr kwenye biashara lkn deep down wengi wao wanatumia excel, hao hua ni wataalam wa excel. Nilienda kwa jamaa fln kuwapa proposal ya kutumia custom made accounting software lkn wakanionyesha excel setup zao na sikuamini nlichokiona, kuanzia accounting, stock management etc... zote walikua wanafanya kwa excel tu.
---> SAP Business One (B1)
Hii nayo ni kati ya software za zamani sana ambazo hadi leo bado zinatumika. ilitengenezwa mwanzoni kabisa mwa computer Era. Hii software iko complicated na pia ina programming language yake lkn hayo hayazuii watu kuendelea kuitumia. Kazi yake kubwa ni Kufanya Enterprise Resource Planning, software za category hii hujulikana kama ERP software. Kwenye business ndg ndg huwezi kuikuta lkn ukienda kwa Giants kama Alphabet, Meta na silicon valley companies nyingine basi utaikuta. Hata hapa Tanzania nimeona inatumika kwenye baadhi ya makampuni makubwa makubwa ya uzalishaji na usafirishaji.
Zipo nyingine baadhi kama QuickBooks, Microsoft word, etc... lkn hizo zina washindani ambao tyr wanafanya vizuri na miaka michache baadae zinaweza kupotea kama MySpace. Lakin hizo nilizotaja hapo juu zina 'Strong' foundation na 'Loyal' Customer base kiasi kwamba hata kama ni ngumu kutumia au ni nzito bado zitaendelea kuongoza kwenye nyanja zao kwa hiki kizazi
Peace......
~Kali Linux
I concurKuna programmer mmoja niliona documentary alikuwa anatengeneza game, alitengeneza ile game miaka mi 3 yupo ndani ana code tu.
imagine mtu anakaa 3 yrs amefocus na kitu kimoja, kula, coding kulala ratiba inajirudia, hivi mtu wa aina hio unategemea atatengeneza kitu gani? game yake ilivunja rekodi kwenye mauzo, huyo ni mmoja hebu ongeza kama 1000 watengeneze programu moja kwa miaka mi 3. Vitu vingine si uchawi, tusi underestimate uwezo wa akili ya mwanadamu, sisi tunatumia akili zetu kwa level ya basic tu ila wenzetu wanajua kutumia akili zao kwa level ya advance tunabaki kusema uchawi.
Heshima sana kwa hao waliobuni hizo software.
Nadhani professional yyt yenye element hesabu bila hii kitu aisee utalaam hautaonekana!Nafikiri mnanielewa hasa Engineers
Kama hutojali tafadhali shuka hizo firm 6 mkuu...... ili tuziingilie chimboProcess ndefu kiasi mkuu. Kuna banks na firms wanatoa hizo huduma ila hawachukui wateja kutoka nchini kwetu. Kama una uhitaji sana unaweza tumia proxy, nikimaanisha kama una connection na mtu wa Kenya, US au nchi ilio na access na hizo huduma unaweza pitia kwa huyo. I know 6 firms zinazochukua wateja kutoka Africa ila TZ ni blacklisted kwenye hizo zote huwa najiuliza sana sababu ni nn lkn nadhan ni yaleyale ya PayPal
Duh!Excel haipo kawaida lazima kuna force ya ziada ilitumika kutengeneza ile kitu, aisee Excel ni Jini la kizungu
Nakubali, hapa kazini kwangu nshapata madili mengi kupitia watu wanaonifahamu wananiunganisha kwenda kupiga madili nje.Excel ndio mchawi wa dunia, kwa mtaalam yeyote bila excel knowledge huwezi kuwa mchawi. Nafikiri mnanielewa hasa Engineers.