Hizi Software 3 hazitokuja kupata mshindani wa kuzipindua kizazi hiki

Hizi Software 3 hazitokuja kupata mshindani wa kuzipindua kizazi hiki

Yaani matumizi ya Excel tunayoyajua/kuyatumia kila siku Ni labda 0.5% ya uwezo wote wa MS Excel.Lile dude Ni kubwa mno,Lina makorokocho ambayo kiukweli Ni advanced kinyama.

Nilimuona jamaa mmoja mwanajeshi wa US huko YouTube akiitumia ku-calculate hesabu zake za milipuko,nikasema tu hiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
Ha ha ha ha acha utani mkuu

Sema kitu kimoja nimekubali, ni 0.5% ya tujuayo kuhusu excel.
 
kuna jamaa twitter huwa anaweka masomo ya ms excel, ndio amenifanya niitambue kuwa sio kama navyoifahamu mimi.
 
Inafahamika lkn google ni bora wakomae na search engine business hizo nyingine watajaza tu cemetery yao. Kuna products kibao za google zimefail japo ni very smart products. Excel ishapata traction fln hv kwenye jamii ambayo ni ngumu kubandua
Google sheet ni copy n paste ya excel,ukiijua excel umeijua google sheet ndani nnje na bado kuna vitu hutavipata kwenye google sheet,unaweza kufanya chochote kuhusiana na data kwenye excel,kuna power pivot,dax ect,inshort excel ndio program ya msingi kwenye data analysis.
 
Kila nikiwa natumia excel nabaki tu hiiii huyu mtu aliyetoa hiki kitu ni akili hizi hizi au [emoji91]
Hesabu hii wanayoikimbia madogo huko mashuleni ndiyo imechangia pakubwa kumleta mnyama EXCEL ambae wanakuja kukutana nae kitaa kwenye shughuli zao!

Programmers wa hili dude wanapaswa kuheshimiwa sana.
 
Changamoto sio wataalamu, changamoto ni motivation.

Hizo hata ukimaster nani atatumia Data-driven research yako humu bongo. Kwa ulizotaja hapo ambayo sijamaster ni SPSS tu. R, Excel, Tensorflow etc.... zote nmemaster na nmetumia lkn kila mtu ukimpa proposal yako anapita kushoto .Sometimes unaishia kusoma tu unabaki masikini coz haya mambo yanahitaji time na brainpower kubwa sana

Biashara na hata operations za serikali humu tz hazitumii data-driven researches. Watu wanadhan biashara kubwa kama apple au tesla zinakua kwa bahati lkn mule kuna wachawi wa analysis wanatumia data driven researches kujua wafanye nn watengeneze nn kwa wakati gani.

Issue sio kukosa wataalam, issue ni kukosekana kwa motivation na harnessing ya wataalm waliopo
Well answered
 
Na mimi naongezea Powerpoint, toka office365 izinduliwe imekuwa Crucial sana kwenye Short Animation. Vitu kama Kinetic typography, lyric video, matangazo tv etc yanafanyika kiurahisi ndani ya power point, huna haja kutumia software zenye learning curve kubwa kama After effect. With right ideas inaweza kukutoa kimaisha
Unamaanisha kuwa unaweza kuteneza lyric video kwa kutumia power point? Hii ya kwenye Ms office?
 
Unamaanisha kuwa unaweza kuteneza lyric video kwa kutumia power point? Hii ya kwenye Ms office?
Sio tu lyric mpaka simple animation, tena ni very easy. Sema inataka office 365 ama hizi office mpya maana hio feature inaitwa morph si office zote ipo.

Sample ya Animation iliotengenezwa na Morph.



Hio ni advanced kidogo ila inaonesha capability yake,
 
Sio tu lyric mpaka simple animation, tena ni very easy. Sema inataka office 365 ama hizi office mpya maana hio feature inaitwa morph si office zote ipo.

Sample ya Animation iliotengenezwa na Morph.



Hio ni advanced kidogo ila inaonesha capability yake,

Ok.. basi tunasafari ndefu sanaaa
 
Back
Top Bottom