Ha ha ha ha acha utani mkuuYaani matumizi ya Excel tunayoyajua/kuyatumia kila siku Ni labda 0.5% ya uwezo wote wa MS Excel.Lile dude Ni kubwa mno,Lina makorokocho ambayo kiukweli Ni advanced kinyama.
Nilimuona jamaa mmoja mwanajeshi wa US huko YouTube akiitumia ku-calculate hesabu zake za milipuko,nikasema tu hiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
Hapana ni complete POS(POINT OF SALE) ni project ambayo imetumia language ya Php lakini ni more complex, wakati wahindi wanatumia excel more simplified na ya kueleweka zaidi.Kwann unasema kizinga? Ulikuwa unaenda kuwapa software isiyokidhi viwango vya 15m?
Google sheet ni copy n paste ya excel,ukiijua excel umeijua google sheet ndani nnje na bado kuna vitu hutavipata kwenye google sheet,unaweza kufanya chochote kuhusiana na data kwenye excel,kuna power pivot,dax ect,inshort excel ndio program ya msingi kwenye data analysis.Inafahamika lkn google ni bora wakomae na search engine business hizo nyingine watajaza tu cemetery yao. Kuna products kibao za google zimefail japo ni very smart products. Excel ishapata traction fln hv kwenye jamii ambayo ni ngumu kubandua
Hesabu hii wanayoikimbia madogo huko mashuleni ndiyo imechangia pakubwa kumleta mnyama EXCEL ambae wanakuja kukutana nae kitaa kwenye shughuli zao!Kila nikiwa natumia excel nabaki tu hiiii huyu mtu aliyetoa hiki kitu ni akili hizi hizi au [emoji91]
Well answeredChangamoto sio wataalamu, changamoto ni motivation.
Hizo hata ukimaster nani atatumia Data-driven research yako humu bongo. Kwa ulizotaja hapo ambayo sijamaster ni SPSS tu. R, Excel, Tensorflow etc.... zote nmemaster na nmetumia lkn kila mtu ukimpa proposal yako anapita kushoto .Sometimes unaishia kusoma tu unabaki masikini coz haya mambo yanahitaji time na brainpower kubwa sana
Biashara na hata operations za serikali humu tz hazitumii data-driven researches. Watu wanadhan biashara kubwa kama apple au tesla zinakua kwa bahati lkn mule kuna wachawi wa analysis wanatumia data driven researches kujua wafanye nn watengeneze nn kwa wakati gani.
Issue sio kukosa wataalam, issue ni kukosekana kwa motivation na harnessing ya wataalm waliopo
Hii kitu ingine mzee serikali nyingi duniani wanaiogopa sana....Kuna adobe Photoshop pia.
Anaitwa Nani?kuna jamaa twitter huwa anaweka masomo ya ms excel, ndio amenifanya niitambue kuwa sio kama navyoifahamu mimi.
Watu wanajua kutumia ubongo wao vizuriHesabu hii wanayoikimbia madogo huko mashuleni ndiyo imechangia pakubwa kumleta mnyama EXCEL ambae wanakuja kukutana nae kitaa kwenye shughuli zao!
Programmers wa hili dude wanapaswa kuheshimiwa sana.
Unamaanisha kuwa unaweza kuteneza lyric video kwa kutumia power point? Hii ya kwenye Ms office?Na mimi naongezea Powerpoint, toka office365 izinduliwe imekuwa Crucial sana kwenye Short Animation. Vitu kama Kinetic typography, lyric video, matangazo tv etc yanafanyika kiurahisi ndani ya power point, huna haja kutumia software zenye learning curve kubwa kama After effect. With right ideas inaweza kukutoa kimaisha
Sio tu lyric mpaka simple animation, tena ni very easy. Sema inataka office 365 ama hizi office mpya maana hio feature inaitwa morph si office zote ipo.Unamaanisha kuwa unaweza kuteneza lyric video kwa kutumia power point? Hii ya kwenye Ms office?
Ok.. basi tunasafari ndefu sanaaaSio tu lyric mpaka simple animation, tena ni very easy. Sema inataka office 365 ama hizi office mpya maana hio feature inaitwa morph si office zote ipo.
Sample ya Animation iliotengenezwa na Morph.
Hio ni advanced kidogo ila inaonesha capability yake,
Anaitwa nani mkuukuna jamaa twitter huwa anaweka masomo ya ms excel, ndio amenifanya niitambue kuwa sio kama navyoifahamu mimi.
Anaitwa MlolongoAnaitwa nani mkuu