Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 301,577
- 754,412
Niombee sana vibaya visichangamane na uzee wa wangu... Lakini hizo taa hazizidi laki 5Mkuu umeanza kuzeeka vibaya
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Niombee sana vibaya visichangamane na uzee wa wangu... Lakini hizo taa hazizidi laki 5Mkuu umeanza kuzeeka vibaya
Kwa hiyo taa inazofunga serikali kama street lights ni laki tano? Hizo za laki tano ni za kwenye nyumba zenuNiombee sana vibaya visichangamane na uzee wa wangu... Lakini hizo taa hazizidi laki 5
Sana tena niwapumbavu sana hawa legacy ya Mwendawazimu.Pumbavu!
150$ complete set.. Weka na usafiri na faida ni around 400$Kwa hiyo taa inazofunga serikali kama street lights ni laki tano? Hizo za laki tano ni za kwenye nyumba zenu
kwa taarifa yako kazi itachukua weeks 2...hivi ofisi iko kwenye risk sana ya security hadi kuizungusha na taa 32? hawezi sambazia hata kwenye vikona vyenye giza wapate hata nne nne?Naomba kuwakumbusha tu Hivyo vifaa havipatikani hapo karume sokoni
Vifaa vya umeme jua ni gharama
Ukianza kuchambua vitu vitakavyohitajika kwa ajili ya kukamilisha tukio ni sawa tu.....
Maana kuna sensa, mlingoti,kitako cha mlingoti ambacho n zege,nondo, taa ,paneli na gharama za fundi hapo kuna mafundi ujenzi na umeme....
Disiii yupo sawa sema kwakuwa tunapenda kutibuliana kwa kuropoka ropoka pasipo kujua au kwa kujua...
Security lights kumlinda nani ?kazi itachukua wiki 2 na ni taa 32 tu zitakazokuwa nje ofisini kwake kwa kifupi ni security lights
Wapi nimeandika matusi kuonyesha hayo malipizi yako? Ufahamu wako kama unaruhusu matusi kiwango hicho bado hujakua,Limbukeni mkubwa wewe tena mjinga na mpumbavu! Katika hali ya kawaida unadhani vyote ulivyoorodhesha vinaweza kufanyika kwa wiki 2 kama siyo wizi na ufisadi!
Ukiwa humo Unakunya ( Unaukweka ) kuna Roboti inayokuchambisha 'Mtaro' na Kukunawisha pia hadi na Mikono yako au?Jokate alijenga choo kimoja kwa tsh 40,000,000 pale Kisarawe!
zipo hapa hapa dsm hata tanga zimefungwa nyingi tu barabarani za 600,000 na ni automatic solar lights basi tu bana ndiyo maana bashite alikuwa anaweka number plates za Rc dar es salaam kwenye migari yake ya kifahari na watu walikuwa wanatetea150$ complete set.. Weka na usafiri na faida ni around 400$View attachment 1836070View attachment 1836071View attachment 1836072View attachment 1836077View attachment 1836078View attachment 1836080
KiJakote nacho kimeona UFISADI ndio UCCM KAMILI .Niombee sana vibaya visichangamane na uzee wa wangu... Lakini hizo taa hazizidi laki 5
Wananunua taa ila ela za mashimo ya choo mashuleni wanaomba kwa mabeberu.hizi ndo akili unazotuletea na wewe.nchi bado ina changamoto nyingi za msingi kuliko vitu vidogo vidogo kama hivyo japo vyaweza kua muhimu ila sio lazima nasio lazima vifanyike kwa anasa.duuh, na cc watz kwa kweli!?! tunalalamikia milioni miamoja na mbili kwa kitu ambacho utakion na kizuri tena wilaya ya temeke yenye vyanzo vingi tu vya mapato je mtu wa wilaya ya buhigwe si atalalamikia hata hospitali!?!. wajameni hizo taa hata wewe ukiteuliwa kuwa mkuu wa wilaya hiyo sidhani kama utazing'oa uweke karabai. wajameni chapeni kazi mjenge nchi na pia mjenge purchasing power zenu ili msiwe mnalalamikia hata vitu vidogovidogo tu. anyway mwenye fungu ni mkurugenzi akiona ni expensive ataomba ushauri kweny baraza la madiwani nafikiri na mleta uzi ni diwani utakataa
Jakote anajua miiko ya CCM huwezi kuwa kigogo CCM Mpaka uwe LIJIZI FISADI.Ukiwa humo Unakunya ( Unaukweka ) kuna Roboti inayokuchambisha 'Mtaro' na Kukunawisha pia hadi na Mikono yako au?
Umeangalia tu taa kama taa kwa maana ya balbu na cover yake au?. Kuna solar system hapo, kuna sensing system ya kujua kama ni mchana au jioni, kuna mlingoti wa chuma na zege la kuweka, gharama za vibarua. Umewaza yote hayo? Pia nilitegemea ungeleta estimation ya gharama ambazo unadhani zingekuwa sahihi. Kusema m 3 ni nyingi bila kuwa reference point inakuwa haieleweki, nyingi ukilingalisha na nini? Hiyo ni relative term
KiJakote nacho kimeona UFISADI ndio UCCM KMILI .
Na asome alama za nyakati hizo taaa kama ananunua kwa pesa ya mshahara wake sawa.
Hizi hapa hazifiki lakiTaa za solar Auto zinawaka na kujizima zenyewe zenye watts 120 wanauza laki na 80,sasa hizo taa moja milioni tatu na laki 2 sijui za wapi.
Huo umuimu wa hizo taa ni upi?Usialalishe ujinga mwingine kwa ujinga mwingine maana wote ni ujinga.Hizo taa zina umuhimu mkubwa kuliko hiyo gharama mnayoona kubwa. Je kwenye mafuta ya Kigamboni tumepigwa pesa ngapi?
Mwizi Jakote Mwizi.. anaiba kodi zetu , MaCCM MIJIZITaa za solar Auto zinawaka na kujizima zenyewe zenye watts 120 wanauza laki na 80,sasa hizo taa moja milioni tatu na laki 2 sijui za wapi.
wahusika wako hapa kwenye huu uzi wana hasira kali sana utaitwa maskini ,mjinga ,wansema serikali ilisema hainunui za bei rahisi tena mmoja kasema huwa inanununua milioni 5 taa moja?hawa ndiyo wanatka watu walipe kodi za uzalendo kweli?Labda zina almasi
Mh rais waambie watu wako wafatilie hili swala.