Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Itakusaidia nini?Kuna hizi tetesi kwamba Gerald Hando hana taaluma ya habari, na kwamba kitaaluma ni fundi Bomba.
Anayemjua vizuri atupe za ndani
Njaa kali huyo kwa mizinga huyooo.....Ukute Malope amemtolea nje gani ili amsifie huyo ana price tag njaa kali ..subiri waje alipita IFM pale.....kama sijasahau....Kuna hizi tetesi kwamba Gerald Hando hana taaluma ya habari, na kwamba kitaaluma ni fundi Bomba.
Anayemjua vizuri atupe za ndani
Mshaanza figisu. Yaani siku hizi ukisema ukweli tu ni shida.Kuna hizi tetesi kwamba Gerald Hando hana taaluma ya habari, na kwamba kitaaluma ni fundi Bomba.
Anayemjua vizuri atupe za ndani
Kosa la Hando ni kusema ukweli wake kuwa hapendi serikali inavyokopa-kopa.Kutokuwa na taaluma ya habari maana yake ni nini? Si mtangazaji?
Tanzania hakuna waandishi wa habariNinahitaji kujua
Sijui kwanini watu wote mnaomfahamu huyu jamaa mnasema either mlevi,wewe unasema njaa kaliNjaa kali huyo kwa mizinga huyooo.....Ukute Malope amemtolea nje gani ili amsifie huyo ana price tag njaa kali ..subiri waje alipita IFM pale.....kama sijasahau....
Kila mwanaume rijali ni fundi bomba, connecting peopleKuna hizi tetesi kwamba Gerald Hando hana taaluma ya habari, na kwamba kitaaluma ni fundi Bomba.
Anayemjua vizuri atupe za ndani
Acheni kupenda kukopa kopa hovyo, na mwisho wa siku kuwatesa wananchi kupitia mitozo yenu isiyo na kichwa wala miguu.Kuna hizi tetesi kwamba Gerald Hando hana taaluma ya habari, na kwamba kitaaluma ni fundi Bomba.
Anayemjua vizuri atupe za ndani
Tunawajua huyo mlevi na njaa kali ....omba omba kitonga huyooo sasa Ukute wamemtolea nje kumpa mpunga awasifieeeeSijui kwanini watu wote mnaomfahamu huyu jamaa mnasema either mlevi,wewe unasema njaa kali
Yes pia ni engineer by professionalamesoma turdaco(tumaini camps ya dar) kama sikosei kamaliza 2011