Hizi taarifa kwamba Gerald Hando hana taaluma ya uandishi wa habari ni kweli? Kwamba alisomea ufundi bomba?

Hizi taarifa kwamba Gerald Hando hana taaluma ya uandishi wa habari ni kweli? Kwamba alisomea ufundi bomba?

Kuna hizi tetesi kwamba Gerald Hando hana taaluma ya habari, na kwamba kitaaluma ni fundi Bomba.

Anayemjua vizuri atupe za ndani
Acheni kupenda kukopa kopa hovyo, na mwisho wa siku kuwatesa wananchi kupitia mitozo yenu isiyo na kichwa wala miguu.

Watanzania Wazalendo wote tuko upande wake. Wenzenu wanakopa kwa malengo, nyinyi mnakopa ili kujengea vyumba vya madarasa, na vituo vya afya! Yaani miaka zaidi ya 60 bado mnapambana dhidi ya maadui wale wale; ujinga, maradhi, na umaskini!!

Shame on you.
 
Back
Top Bottom