machafuko jr
JF-Expert Member
- Sep 7, 2017
- 565
- 1,158
Tafsili yake ni kwamba jamaa aligusa kunako jipuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
yes alikuwq mwaka mmoja na sekiYes pia ni engineer by professional
ahahahah ukimjua huyu mbinguni hupenyi
Teh teh!
Kuna watu wamekariri uandishi wa habari lazima usomee.Kuna waliosomea uandishi wa habari lakini hawana ujasiri wa kuhoji mambo ya Msingi kama hayo, watupu.
Na hayo madarasa wanayojenga hayana walimu.Acheni kupenda kukopa kopa hovyo, na mwisho wa siku kuwatesa wananchi kupitia mitozo yenu isiyo na kichwa wala miguu.
Watanzania Wazalendo wote tuko upande wake. Wenzenu wanakopa kwa malengo, nyinyi mnakopa ili kujengea vyumba vya madarasa, na vituo vya afya! Yaani miaka zaidi ya 60 bado mnapambana dhidi ya maadui wale wale; ujinga, maradhi, na umaskini!!
Shame on you.
Mke akiona unakopa alafu hazimfikiii lazima akandie. Tukope ila zitufikie jamani.Kosa la Hando ni kusema kuwa hapendi serikali inavyokopa-kopa.
LabourKuna hizi tetesi kwamba Gerald Hando hana taaluma ya habari, na kwamba kitaaluma ni fundi Bomba.
Anayemjua vizuri atupe za ndani
Hapo umejibu swali au umemshambulia?Njaa kali huyo kwa mizinga huyooo.....Ukute Malope amemtolea nje gani ili amsifie huyo ana price tag njaa kali ..subiri waje alipita IFM pale.....kama sijasahau....
Na walimu wapo tele mtaani wanafanya bodaboda na umachingaNa hayo madarasa wanayojenga hayana walimu.
Hopeless Tz
Poor TZ
Acheni kupenda kukopa kopa hovyo, na mwisho wa siku kuwatesa wananchi kupitia mitozo yenu isiyo na kichwa wala miguu.
Watanzania Wazalendo wote tuko upande wake. Wenzenu wanakopa kwa malengo, nyinyi mnakopa ili kujengea vyumba vya madarasa, na vituo vya afya! Yaani miaka zaidi ya 60 bado mnapambana dhidi ya maadui wale wale; ujinga, maradhi, na umaskini!!
Shame on you.
Kikwete kafanya Nini?Binafsi niseme tatizo la Tanzania ni Kikwete
Computer engneering ni kasomeaKuna hizi tetesi kwamba Gerald Hando hana taaluma ya habari, na kwamba kitaaluma ni fundi Bomba.
Anayemjua vizuri atupe za ndani