Hizi taarifa kwamba Gerald Hando hana taaluma ya uandishi wa habari ni kweli? Kwamba alisomea ufundi bomba?

Hizi taarifa kwamba Gerald Hando hana taaluma ya uandishi wa habari ni kweli? Kwamba alisomea ufundi bomba?

Kuna hizi tetesi kwamba Gerald Hando hana taaluma ya habari, na kwamba kitaaluma ni fundi Bomba.

Anayemjua vizuri atupe za ndani
Nchi hii Media asilimia kubwa wengi si waandishi wa habari,ila siyo sababu ya kumfuta kazi cos hakukosea alichokisema
 
Kasema kweli CHAWA WA MAMA wanakuja juu.
Tanganyika inauzwa muda so mrefu kwa madeni anayokopa Mzanzibari.
Atarudi kwao Zenji Michungwani akiambatana na KILAZA MWENZAKE mwenyeji wa Tanganyika Mwigulu
 
Back
Top Bottom