Hizi taarifa kwamba Gerald Hando hana taaluma ya uandishi wa habari ni kweli? Kwamba alisomea ufundi bomba?

Hizi taarifa kwamba Gerald Hando hana taaluma ya uandishi wa habari ni kweli? Kwamba alisomea ufundi bomba?

Babako alikuwa au kama bado yupo hai ni mchicha mwiba! Unapenda kusingizia wenziyo na kuwatuhumu kwa mambo ambayo wazi ni ya uwongo. Huoni Gerald ana mke na watoto, tena wanaye wengine ni watu wazima?
Sijamzingizia nimesema wameshawahi mtuhumu hvyo...nimenukuu waliyoyasema watu...
Nimemsingizia nani?una visa na Mimi,baba angu kakukosea Nini?Kwa nini unapenda kutukana mtu asiyehusika
Hiki ulichokifanya Kwa mzazi wangu sijakusamehe mpk siku ya mwisho
 
Babako alikuwa au kama bado yupo hai ni mchicha mwiba! Unapenda kusingizia wenziyo na kuwatuhumu kwa mambo ambayo wazi ni ya uwongo. Huoni Gerald ana mke na watoto, tena wanaye wengine ni watu wazima?
Sizungumzii Gerald, ila huu utetezi usiutumie tena

Mashoga huwa na family pia
 
Acheni kupenda kukopa kopa hovyo, na mwisho wa siku kuwatesa wananchi kupitia mitozo yenu isiyo na kichwa wala miguu.

Watanzania Wazalendo wote tuko upande wake. Wenzenu wanakopa kwa malengo, nyinyi mnakopa ili kujengea vyumba vya madarasa, na vituo vya afya! Yaani miaka zaidi ya 60 bado mnapambana dhidi ya maadui wale wale; ujinga, maradhi, na umaskini!!

Shame on you.
Us ina miaka 200 tangu ipate uhuru lkn wanaongoza kwa madeni.... Hakuna nchi duniani isiyokopa.
 
ukikosoa serikali kumbuka haya : sio mtanzania,umetumwa na wapinzani,gaidi,elimu feki,utakatishaji na mwisho wa siku ujulikani umepotea wapi
Na magu ndio katuletea huu ujinga, enzi za kikwete hata atukanwe yee anacheka tu.
 
Kosa la Hando ni kusema kuwa hapendi serikali inavyokopa-kopa.
Wala hakusema hivyo Ila alifafa vizuri Sana mambo ambayo tuliokua hatuyajui wananchi alieleza masharyi ya mikopo na namna yanavyodidimiza uchumi kwa sababu hayaruhusu uongeze mshahara Wala uajiri na wanataka upunguze wages kitu ambacho kinaua uchumi wa nchi maana watu wanakaa bila ajira.

BAHATI MBAYA SERIKALI YA FISIEMU NI KIPOFU
 
Hamtaki kuambiwa ukweli ...nchi ina utajiri wa madini,misitu,mbuga z wanyama,mlima mrefu barani afrika,bahari,maziwa na mito...halafu tunaenda kukopa kwa ajili ya kujenga madarasa na mashimo ya choo..hii nchi ina viongozi kweli?
 
Bado wale wa uraia hawajaibuka..
Tayari tushamtafutia nchi huyu ni mrundi tu.
Babu wa bibi na babaake mdogo aliyemzaa na shangazi yake akaolewa na mjomba kisha mshenga shemeji yake na mkewe baba mkubwa wake alikua kutoka kigoma na baba yake urundi kama sikosei lakini.
Ngoja nikahakikishe☝️
 
Wala hakusema hivyo Ila alifafa vizuri Sana mambo ambayo tuliokua hatuyajui wananchi alieleza masharyi ya mikopo na namna yanavyodidimiza uchumi kwa sababu hayaruhusu uongeze mshahara Wala uajiri na wanataka upunguze wages kitu ambacho kinaua uchumi wa nchi maana watu wanakaa bila ajira.

BAHATI MBAYA SERIKALI YA FISIEMU NI KIPOFU
Yes, wewe ulisikia vizuri sana. Hiki kitu alikiongea vizuri sana siku ya kwanza na akafafanua masharti kama hayo kwamba hatutakiwi kuongeza matumizi kwa kuajiri.

Na hapo walikuwa wanazungumzia deni lilipofikia yaani 91, japo wahusika ndio hawatuambiagi hayo masharti. Siku hii walikuwa Gerald, Mussa na Kitenge.

Sasa siku nyingine tena (nadhani ni ndani ya wiki) ndio akasema binafsi hapendi serikali inavyokopakopa, hii hali ngumu tunayopitia ni kwa ajili ya madeni.
Nadhani hiki ndicho kilichowauma wahusika ingawa pia hakuongea kitu kibaya.
Siku hii walikuwa yeye na Mussa.
 
Us ina miaka 200 tangu ipate uhuru lkn wanaongoza kwa madeni.... Hakuna nchi duniani isiyokopa.
Wanakopa kwa malengo! Ni wazalendo kwa nchi yao. Vipi kuhusu sisi? Tunakopa kwa malengo? Au ndiyo yale ya kukopa ili kwenda kulipa madeni mengine?

Viongozi wetu ni Wazalendo kwa nchi yao? Au wanaangalia kwanza nafsi zao, na pia chama chao?
 
Back
Top Bottom