Hizi taarifa kwamba Gerald Hando hana taaluma ya uandishi wa habari ni kweli? Kwamba alisomea ufundi bomba?

Hizi taarifa kwamba Gerald Hando hana taaluma ya uandishi wa habari ni kweli? Kwamba alisomea ufundi bomba?

Sio kwel mkuu,mliki naye anamakandokando mengi ndio maana katoka mbio kuomba radhi ,lakin kikatiba jamaa Yuko sawa maana katiba inasema kila mtu Yuko huru kutoa maoni yake tena haisemi atolee wapi . Lakin mkuu unazani tutakuwa na taifa la waoga kiasi hiki mpaka lini??
Lakini katiba haijasema chochote kuhusu nini kitatokea baada ya kutoa maoni.
 
Njaa kali huyo kwa mizinga huyooo.....Ukute Malope amemtolea nje gani ili amsifie huyo ana price tag njaa kali ..subiri waje alipita IFM pale.....kama sijasahau....
Lakini swali lilikuwa linauliza taaluma yake.Sidhani kama aliyeuliza alitaka kujua hayo ya mizinga.
 
Kuna hizi tetesi kwamba Gerald Hando hana taaluma ya habari, na kwamba kitaaluma ni fundi Bomba.
Yupo kwenye tasnia dosen of years, leo kipi kiwasibu mje muanze kupenyeza sumu juu yake,
Kwangu mimi he is a Hero amejaribu kusimama kwenye ukwelli wa anachokiamini na ambacho ndicho ukweli, than wale Ma Prof wanaompigia makofi Mh. Rais ali hali wanajua si Makofi yenye nia njema!!
 
Asilimia kubwa ya watu wanafanya kazi ambazo hawajasomea.kipi kigeni hapo ndugu yangu mtanzania?
Unaweza kuta mleta maad yeye ana vyeti vya kugushi alafa anataka kumsakama Mtu asiye na vyeti! Kumbe yeye aliyegushi vyeti ndiyo hatari zaidi kuliko asiyekua na vyeti kabisa!!
 
BORA HATA WAMEAMUA KUMUITA FUNDI BOMBA, WANAWEZA SEMA SIO RAIA.
KWANI RAIA WANA ASILI YA KUSIFIA SIFIA KILA KITU
 
Baba angu amekukosea Nini?
Ahsante barikiwa!ila sitakusamehe mpk siku ya hukumu...!!!
Babako alikuwa au kama bado yupo hai ni mchicha mwiba! Unapenda kusingizia wenziyo na kuwatuhumu kwa mambo ambayo wazi ni ya uwongo. Huoni Gerald ana mke na watoto, tena wanaye wengine ni watu wazima?
 
Hapo ushajiharishia kiduchu kwenye chupi. Ukihema kwa nguvu tu ushuzi unaachia.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] niwacheeeeeee mie.
Njoo ulambe sasa uharisho wangu unahusudu eeeh
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] niwacheeeeeee mie.
Njoo ulambe sasa uharisho wangu unahusudu eeeh
Wee kenua tu. Lkn ukweøi ndiyo huo. Unapigwa pipe hadi unajiharishia hovyo kama reymage pop
 
Back
Top Bottom