Hizi tabia kwenye daladala ziliniumizaga sana

Hizi tabia kwenye daladala ziliniumizaga sana

Kuna siku gari la gongolamboto,mbaba mtu mzima anambambia mtoto kama wa 16 hivi,mtoto kakosa amani akisogea anamfuata,anambambia.....weeeee nikaona huyu Mzee analeta uhayawani huyu....nikamwitaa "we Mzee wewe,niingize gari kituoni?nikajifanya askari kanzu,[emoji1787][emoji1787][emoji1787]akauchuna anajifanya kakaza macho nje "nikarudia we Mzee mwenye kofia nakuuliza niingize gari kituoni?watu hawaelewi[emoji16]!huwezi amini Ile gari ilikuwa kwenye foleni njia panda ya segerea yule baba akashuka,...nikacheka rohoni huyu nae angejua Mimi ni kanjanja tu asingeshuka[emoji23][emoji23][emoji23]

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]
Kweli wewe ni sister angu kabisa tunafanana uchizi!! Safi ulimkomesha.

Hapo ungejifanya bandidu unajipigisha simu ya uongo na ungemkaripia konda hakuna kusimamisha gari mpk kituoni, mbona hadi nauli ungelipiwa
 
Asee kwani hupendi kugusishiwa kidogo tu, wengine tuna ukame wa miezi 9 huku tuoneeni huruma basi 🤣🤣🤣
Sijui huwa najisikaje yaaniaka mwanamnme simjui aanze jisugulisha dude lake kwenye mwili wangu,kweli I feel bad!
Kuna style Yao nyingine ukipanda daladala ukapata siti mwanamme anakuja anasimama usawa wa bega lako anakandamiza dudu lake hapo gari ikiyumba anataka ajisuguesugue pale begani....nikihisi tu huo mchezo lazima nimtoe mtu nishai...."kaka heshima kitu Cha bure hebu simama vizuri"
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]
Kweli wewe ni sister angu kabisa tunafanana uchizi!! Safi ulimkomesha.

Hapo ungejifanya bandidu unajipigisha simu ya uongo na ungemkaripia konda hakuna kusimamisha gari mpk kituoni, mbona hadi nauli ungelipiwa
🤣🤣🤣🤣Ningejifanya"Halo,Afande Mwita,Sitaki Shari,naingiza gari kituoni Nina mtuhumiwa,OVA!
Angerukaa🤣🤣🤣
Dar ni mji WA hovyo sana ukiishi kilokole utaonewa sana.....
 
Sijui huwa najisikaje yaaniaka mwanamnme simjui aanze jisugulisha dude lake kwenye mwili wangu,kweli I feel bad!
Kuna style Yao nyingine ukipanda daladala ukapata siti mwanamme anakuja anasimama usawa wa bega lako anakandamiza dudu lake hapo gari ikiyumba anataka ajisuguesugue pale begani....nikihisi tu huo mchezo lazima nimtoe mtu nishai...."kaka heshima kitu Cha bure hebu simama vizuri"
🤣🤣🤣🤣, alafu ukute kwenye bamsi au break, hivi kama umesimama kando ya lidada unalineseshea kabisa..

Mi kuna mida nilikuwa nawapata kweli yaani mpaka raha dudu zima linalalia dera kwa juu aseee, sijui kwann sikuizi sibahatiki tena
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ningejifanya"Halo,Afande Mwita,Sitaki Shari,naingiza gari kituoni Nina mtuhumiwa,OVA!
Angerukaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Dar ni mji WA hovyo sana ukiishi kilokole utaonewa sana.....

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ungepewa rushwa nakwambia sijui ulifeli wapi sis
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787], alafu ukute kwenye bamsi au break, hivi kama umesimama kando ya lidada unalineseshea kabisa..

Mi kuna mida nilikuwa nawapata kweli yaani mpaka raha dudu zima linalalia dera kwa juu aseee, sijui kwann sikuizi sibahatiki tena

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] litakukuta jambo iko siku
 
Kwa nini unalalamika sasa? Maana mtu tangu anaanza kukukaribia umekaa kimya ameanza kukugusisha umekaa kimya mpaka umepata hamu ya kutaka akupenyezee halafu unakuja hapa kulalamika? Hili tatizo halitomalizika ikiwa nyinyi wenyewe wanawake mnakaa kimya ilhali mkijua kuwa kuna mtu anakugusisha kwa makusudi kabisa! Ni wanawake kama wewe ambao wanawapa hawa perverts impression ya kuwa mnaupenda mtindo huu.
Wewe bwana wanawake wote wanapenda dungadunga watakataa hapa ila ukweli ni huo wanapenda kubambiwa
 
Mbele yako akiwa mwanamke sawa
Tena jioni ndo inakuwa abiria wengi kutoka makazini huko.
Shida mbele yako lipo dume yaani unalibambia
Inakera na kutibua nyongo.

Anyway jf wote tuna magari kasoro wewe umekiri kupanda daladala.
 
Back
Top Bottom