Hizi tabia kwenye daladala ziliniumizaga sana


[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]
Kweli wewe ni sister angu kabisa tunafanana uchizi!! Safi ulimkomesha.

Hapo ungejifanya bandidu unajipigisha simu ya uongo na ungemkaripia konda hakuna kusimamisha gari mpk kituoni, mbona hadi nauli ungelipiwa
 
Asee kwani hupendi kugusishiwa kidogo tu, wengine tuna ukame wa miezi 9 huku tuoneeni huruma basi 🤣🤣🤣
Sijui huwa najisikaje yaaniaka mwanamnme simjui aanze jisugulisha dude lake kwenye mwili wangu,kweli I feel bad!
Kuna style Yao nyingine ukipanda daladala ukapata siti mwanamme anakuja anasimama usawa wa bega lako anakandamiza dudu lake hapo gari ikiyumba anataka ajisuguesugue pale begani....nikihisi tu huo mchezo lazima nimtoe mtu nishai...."kaka heshima kitu Cha bure hebu simama vizuri"
 
🤣🤣🤣🤣Ningejifanya"Halo,Afande Mwita,Sitaki Shari,naingiza gari kituoni Nina mtuhumiwa,OVA!
Angerukaa🤣🤣🤣
Dar ni mji WA hovyo sana ukiishi kilokole utaonewa sana.....
 
🤣🤣🤣🤣, alafu ukute kwenye bamsi au break, hivi kama umesimama kando ya lidada unalineseshea kabisa..

Mi kuna mida nilikuwa nawapata kweli yaani mpaka raha dudu zima linalalia dera kwa juu aseee, sijui kwann sikuizi sibahatiki tena
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ningejifanya"Halo,Afande Mwita,Sitaki Shari,naingiza gari kituoni Nina mtuhumiwa,OVA!
Angerukaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Dar ni mji WA hovyo sana ukiishi kilokole utaonewa sana.....

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ungepewa rushwa nakwambia sijui ulifeli wapi sis
 

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] litakukuta jambo iko siku
 
Wewe bwana wanawake wote wanapenda dungadunga watakataa hapa ila ukweli ni huo wanapenda kubambiwa
 
Mbele yako akiwa mwanamke sawa
Tena jioni ndo inakuwa abiria wengi kutoka makazini huko.
Shida mbele yako lipo dume yaani unalibambia
Inakera na kutibua nyongo.

Anyway jf wote tuna magari kasoro wewe umekiri kupanda daladala.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…