Tunacheateana wote hakuna asiyecheat na tunajua............Mume mwenyewe si wamjua weye ataacha kucheat yule kha usiniangushe vipi kale kaserengeti boy leo vipi kanatoa Tusker malt au???
hapo hucheat bwana
yeye mwanaume hayapati hayo kwako? mbona ana cheat?, na kumbuka wanawake wengi tunafanya haya coz ya hawa wanaume ze2, mtu anafanya anajisahau kabisa kabisa kama ana majukumu yanamkabili,heshima ya nyumba kai2pilia mbali, tufanyaje? ni hivi ukimkuta mwanamke anae cheat wakati kwake mambo shwari huyo ana ugonjwa wa kutekenywa, tunafanya coz wanatufanya/wanatulazimisha tufanye.....haki sawa kwa kila mtanzania....mkwe naendelea hapa najua tarehe bado zinasoma ucjeniacha nikakabwa hapa na wahudumu.....mie nimecharara kabisa pesa zote nimemalizia kwenye michango ya kitchen party!
Dena Amsi umeibukia wapi wewe mdada
Mzee kishapita hapa kuchungulia eti anahoji wife mnaongelea nini hapa kwenye hii sread na mbona wewe hufunguki ha ha ha ...sasa ngoja niende kwenye siasa ..:israel:
kweli kabisa mdada..............Better cheaters!
it is not a new revelation. Tumesema humu mara nyingi. TukiAMUA kucheat tunaweza vizuri kuliko men.
Cheating is up because we have the means and the motive!
Motivation ya kucheat sidhani kama ni moja kwa kila mwanamke; uwezo wa kifedha humfanya mwanamke kuweza kuamua kuend up mahusiano na si kuvumilia na kuamua kucheat!
Kwenye article hiyo ninachokubaliana nacho ni kuwa mwanamke akiamua kucheat anafanya vizuri kuliko mwanaume.
Na list ya wapenzi, huoni kuwa wanaume wengi husababisha kudanganywa kwa kuwa hawawezi meza ukweli! Refer thread za Erotica kuhusu mwanaume wa 40. Alishambuliwa na wanaume wengi sana. Sasa mtu akija na list ya ukweli say in my 10 years ya mahusiano nimekuwa na mahusiano mara 5 na hit n run 4 utamwelewa kweli? Ndio maana mnaishia kupata wewe ni wapili! LOL
Kwa kweli Nyamayao unaweka mapoint ya kueleweka
Nitakucheki midamida ..mie yangu moyoni hapa...maana jioni inaweza kuwa mzungu four
sasa rafiki ana mkataba gani na k yako?Kucheat si ni kumpa mtu mwingine k ambaye si wa kwako wa kila siku au?? Mie sijui bana
unamwambia wewe ni wa kwanza kumbe fangasi nazo zinatoa bikra...kweli kabisa mdada..............
hapo kwenye idadi, ingekuwa yale mambo mengine hayapo tungekuwa tunawaambia "wewe ndo wa kwanza" lol!
sasa rafiki ana mkataba gani na k yako?
una hakika yaani mtu watu wawili wakukwide kwa wakati mmoja? neverI m back,naona hapa waungwana mnaongelea mambo mawili,kuiba na kutunza siri sasa sijui nianzia wapi,lakini anyway nitaanzia na kuiba kwa nilivyoona mimi binafsi na kushuhudia kwa wengine ni kuwa kwa kiasi kikubwa binadamu wote awe mume au mke anaiba au alishawahi kuiba,tofauti inakuja katika kutunza siri.Kiukweli ni kuwa mwanamke ana uwezo mkubwa sana wa kutunza siri na ndio sababu huwa inaonekana kuwa hawachit lakini kosa moja wanalifanya ni kutunza siri kwa muhusika tu na si kwa jamii inayoshuhudia wizi huo.Kwa hiyo Nkwingwa Nyani Ngabu aliyetoa hiyo statement wala hajakosea sababu asilimia kubwa ya wasichana wana misururu mikubwa ya washiriki kutuzidi hata sisi ila kila anayepita huwa anaambiwa mimi napenda siri bwana akijua wazi kuwa akionekana mgawaji mzuri basi na soko litapungua..
utakuwa na uhakika gani atakuoa? kwa nini asisubiri?Halafu wewe umeanza maswali gani tena haya alahhh ana mkataba sababu nimemwambia ni yeye peke yake mpaka tuoane
oooh mama unataka kuvunja ndoa ikiwa bado changa hehehehehe si unajua muzee ni memba halali wa JF nikisema nachitiwa kasheshe .. mie sichiti ...ingawa sometimes shetani anapigana na imani yangu ...oyoyo oyoyo oyooooo:sleepy:FL1 hakuna cha mzungu four wala five mwaga sera hapa bana. Unacheat au unacheatiwa
i wish to find one who can lie to me and keep secrets
i am so good at uncover secrets that i hate myself for that....
umeona eeeeeeeeeeeeeeeh.unamwambia wewe ni wa kwanza kumbe fangasi nazo zinatoa bikra...
utakuwa na uhakika gani atakuoa? kwa nini asisubiri?
una hakika yaani mtu watu wawili wakukwide kwa wakati mmoja? never
kwani wewe wamekukwida watu wangapi best?umeona eeeeeeeeeeeeeeeh.