Hmmm....eti ni kweli...?

Hmmm....eti ni kweli...?

Tunacheateana wote hakuna asiyecheat na tunajua............Mume mwenyewe si wamjua weye ataacha kucheat yule kha usiniangushe vipi kale kaserengeti boy leo vipi kanatoa Tusker malt au???

Lol........kashamba kale leo kako bize na vinuka maziwa!tujiendee tu kwa mzee wetu.
 
yeye mwanaume hayapati hayo kwako? mbona ana cheat?, na kumbuka wanawake wengi tunafanya haya coz ya hawa wanaume ze2, mtu anafanya anajisahau kabisa kabisa kama ana majukumu yanamkabili,heshima ya nyumba kai2pilia mbali, tufanyaje? ni hivi ukimkuta mwanamke anae cheat wakati kwake mambo shwari huyo ana ugonjwa wa kutekenywa, tunafanya coz wanatufanya/wanatulazimisha tufanye.....haki sawa kwa kila mtanzania....mkwe naendelea hapa najua tarehe bado zinasoma ucjeniacha nikakabwa hapa na wahudumu.....mie nimecharara kabisa pesa zote nimemalizia kwenye michango ya kitchen party!

Kwa kweli Nyamayao unaweka mapoint ya kueleweka
Nitakucheki midamida ..mie yangu moyoni hapa...maana jioni inaweza kuwa mzungu four
 
Dena Amsi umeibukia wapi wewe mdada
Mzee kishapita hapa kuchungulia eti anahoji wife mnaongelea nini hapa kwenye hii sread na mbona wewe hufunguki ha ha ha ...sasa ngoja niende kwenye siasa ..:israel:

Nimemsoma ndo kanishitua hebu ingia huko kwa cheaters wenzio mkashangilie huoni nilivyokuja mbio..............

Ha??!!! Siasa mie sitaki stress za weekend nikashindwa kunywa Tusker Malt yangu bure...............
 
Better cheaters!
it is not a new revelation. Tumesema humu mara nyingi. TukiAMUA kucheat tunaweza vizuri kuliko men.

Cheating is up because we have the means and the motive!
Motivation ya kucheat sidhani kama ni moja kwa kila mwanamke; uwezo wa kifedha humfanya mwanamke kuweza kuamua kuend up mahusiano na si kuvumilia na kuamua kucheat!

Kwenye article hiyo ninachokubaliana nacho ni kuwa mwanamke akiamua kucheat anafanya vizuri kuliko mwanaume.

Na list ya wapenzi, huoni kuwa wanaume wengi husababisha kudanganywa kwa kuwa hawawezi meza ukweli! Refer thread za Erotica kuhusu mwanaume wa 40. Alishambuliwa na wanaume wengi sana. Sasa mtu akija na list ya ukweli say in my 10 years ya mahusiano nimekuwa na mahusiano mara 5 na hit n run 4 utamwelewa kweli? Ndio maana mnaishia kupata wewe ni wapili! LOL
kweli kabisa mdada..............
hapo kwenye idadi, ingekuwa yale mambo mengine hayapo tungekuwa tunawaambia "wewe ndo wa kwanza" lol!
 
Tuulize kila mmoja kawapanga wangapi, utapewa jibu
 
I m back,naona hapa waungwana mnaongelea mambo mawili,kuiba na kutunza siri sasa sijui nianzia wapi,lakini anyway nitaanzia na kuiba kwa nilivyoona mimi binafsi na kushuhudia kwa wengine ni kuwa kwa kiasi kikubwa binadamu wote awe mume au mke anaiba au alishawahi kuiba,tofauti inakuja katika kutunza siri.Kiukweli ni kuwa mwanamke ana uwezo mkubwa sana wa kutunza siri na ndio sababu huwa inaonekana kuwa hawachit lakini kosa moja wanalifanya ni kutunza siri kwa muhusika tu na si kwa jamii inayoshuhudia wizi huo.Kwa hiyo Nkwingwa Nyani Ngabu aliyetoa hiyo statement wala hajakosea sababu asilimia kubwa ya wasichana wana misururu mikubwa ya washiriki kutuzidi hata sisi ila kila anayepita huwa anaambiwa mimi napenda siri bwana akijua wazi kuwa akionekana mgawaji mzuri basi na soko litapungua..
 
Last edited by a moderator:
I m back,naona hapa waungwana mnaongelea mambo mawili,kuiba na kutunza siri sasa sijui nianzia wapi,lakini anyway nitaanzia na kuiba kwa nilivyoona mimi binafsi na kushuhudia kwa wengine ni kuwa kwa kiasi kikubwa binadamu wote awe mume au mke anaiba au alishawahi kuiba,tofauti inakuja katika kutunza siri.Kiukweli ni kuwa mwanamke ana uwezo mkubwa sana wa kutunza siri na ndio sababu huwa inaonekana kuwa hawachit lakini kosa moja wanalifanya ni kutunza siri kwa muhusika tu na si kwa jamii inayoshuhudia wizi huo.Kwa hiyo Nkwingwa Nyani Ngabu aliyetoa hiyo statement wala hajakosea sababu asilimia kubwa ya wasichana wana misururu mikubwa ya washiriki kutuzidi hata sisi ila kila anayepita huwa anaambiwa mimi napenda siri bwana akijua wazi kuwa akionekana mgawaji mzuri basi na soko litapungua..
una hakika yaani mtu watu wawili wakukwide kwa wakati mmoja? never
 
FL1 hakuna cha mzungu four wala five mwaga sera hapa bana. Unacheat au unacheatiwa
oooh mama unataka kuvunja ndoa ikiwa bado changa hehehehehe si unajua muzee ni memba halali wa JF nikisema nachitiwa kasheshe .. mie sichiti ...ingawa sometimes shetani anapigana na imani yangu ...oyoyo oyoyo oyooooo:sleepy:
 
i wish to find one who can lie to me and keep secrets

i am so good at uncover secrets that i hate myself for that....

we umeishadanganywa na amekeep secrets sema huwezi kujua umedanganya mpaka ujue ukweli na huwezi kujua ana siri mpaka ujue hiyo siri which means unaweza ukawa umedanganya zaidi ukijua ni ukweli kumbe sio.
 
una hakika yaani mtu watu wawili wakukwide kwa wakati mmoja? never



Mh Smile,unanishangaza mama we unasema wawili tu au unataka kunidanganya na mimi.Watu wanakwidwa na watano mpaka kumi na wote hao hawajuani kila mmoja kwa muda wake na mnabakia kutusingizia tu eti mwanaume ndio chanzo mh....
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom