Kwa kweli Nyamayao unaweka mapoint ya kueleweka
Nitakucheki midamida ..mie yangu moyoni hapa...maana jioni inaweza kuwa mzungu four
oooh mama unataka kuvunja ndoa ikiwa bado changa hehehehehe si unajua muzee ni memba halali wa JF nikisema nachitiwa kasheshe .. mie sichiti ...ingawa sometimes shetani anapigana na imani yangu ...oyoyo oyoyo oyooooo:sleepy:
si rahisi mkuu huyo ni malaya lakini mahusiano ya kweli kucheat hata na mmoja tu ni kazi kweli kweli watu wanakabaje?Mh Smile,unanishangaza mama we unasema wawili tu au unataka kunidanganya na mimi.Watu wanakwidwa na watano mpaka kumi na wote hao hawajuani kila mmoja kwa muda wake na mnabakia kutusingizia tu eti mwanaume ndio chanzo mh....
hahaha anajua upo humu? hahaha mapendo/mapenzi ya agape hayo....Dena nimekumiso mwaaahh!
kweli kabisa ibilisi wa mtu ni mtu mwenyewe!hilo halina ubishi. Siri ya mtoto aijuaye mama.
Ila unaweza kuwa msiri kwangu lakini kama kawaida yenu mna "wasiri" wenu. Na si unajua ibilisi wa mtu ni mtu mwenyewe?
unamwambia wewe ni wa kwanza kumbe fangasi nazo zinatoa bikra...
nyamayao una hasira leo... mimi sijawai kucheat wala sitokaa ila si rahis i mwanaume kujua siri zangu...kwanza ni upuuzi kuulizana umetembea na wangapi kama vipi watuwekee luku zisome units.ikitoka si imetoka jamani no ya nini?hahaha anajua upo humu? hahaha mapendo/mapenzi ya agape hayo....Dena nimekumiso mwaaahh!
FL1, mimi nadhani hakuna sababu ya kucheat, ni litabia tu. kuna watu ambao hawapati kabisa hayo mapenzi kwa wenzi wao lakini hawezi kabisa kutoka nje ya mwenza wake, na wengine wanapata kila kitu lakini kila siku yupo na mtu tofauti.hahahah Mama Mkwe umenichekesha sana karibu sana weekend
Kula kunywa kulala bure .
Ila bado najiuliza kama kila kitu unapata kwa mwenza upendo,mapenzi,mahitaji muhimu
Sababu ya kucheat ni nini?
nyamayao una hasira leo... mimi sijawai kucheat wala sitokaa ila si rahis i mwanaume kujua siri zangu...kwanza ni upuuzi kuulizana umetembea na wangapi kama vipi watuwekee luku zisome units.ikitoka si imetoka jamani no ya nini?
ha haaaaaaaaaaaaaaaaaaaa, best mimi ni mmoja tu. kweli tena!kwani wewe wamekukwida watu wangapi best?
naona watu wanafunguka hii kitu ipo
Labda kwa rehema ya mungu tutapona
eheheee bora maana zingekuwa zinasoma nyingine zishablock no more penetration ohohoooo mi bikra jamaniWewe mtoto wewe umekuwa sana siku hizi. hiyo kitu haina alama bana Nanukuu "Kama nanihii zingekuwa zinatoa matundu ............................" Hii thread sijui nani aliiianzisha sikumbuki vile..............
Kucheat si ni kumpa mtu mwingine k ambaye si wa kwako wa kila siku au?? Mie sijui bana
ahahaaaaaaaaaaa icho kicheko tu kimenionyesha unaenda no kumi na kitu now ....ahahaaaaaha haaaaaaaaaaaaaaaaaaaa, best mimi ni mmoja tu. kweli tena!
hata mimi nilikumisso sana my dear.hahaha anajua upo humu? hahaha mapendo/mapenzi ya agape hayo, hivi huwa mnawaambiaga kabisa nipo JF na ID yangu ni FL1? hahaha.....Dena nimekumiso mwaaahh!
si rahisi mkuu huyo ni malaya lakini mahusiano ya kweli kucheat hata na mmoja tu ni kazi kweli kweli watu wanakabaje?
eheheee bora maana zingekuwa zinasoma nyingine zishablock no more penetration ohohoooo mi bikra jamani
umenionea bwana, huko mbali sana, khaaaaahahaaaaaaaaaaa icho kicheko tu kimenionyesha unaenda no kumi na kitu now ....ahahaaaaa
Smile unakataa hapa sababu,labda utakuwa bado ndio unapalilia penzi jipya au unaye na yumo humuhumu anajua ID yako lakini ukweli hapo hakuna suala la umalaya wala nini,mfano mimi niliwahi kuwa na mkurugenzi wangu kazini hapohapo Dar ambaye ameolewa na Dr mmoja mkubwa tu mjini,lakini yule mama alinitamkia wazi kuwa mumewe kazidisha safari na anajali zaidi majukumu yake hivyo yeye hafurahii kabisa tendo la ndoa nyumbani kwake na akaniomba niwe msiri wake ili nimuokoe na mateso anayoyapata.Na kunihakikishia analolisema first meeting ilikuwa London alipoenda kuwakilisha kampuni yake nami nikawekwa kwenye list ya safari.Sasa kwa mama kama huyo unaweza kumwita malaya au mtu aliyezidiwa na anahitaji huduma..