Hofu inayotawala Mataifa ya Ulaya Dhidi ya Waafrika na Bara lao

baada ya kutuletea Corona,wakasema wanategemea katika miezi sita ijayo maiti zitajaa barabarani kwenye bara la Afrika, matokeo yake wao ndio maiti zinajaa kwenye majumba yao, pia wamewalazimisha viongozi vilaza kuhumiza wanachi wao wapate chanjo kwa lazima,hizi chanjo tunazopewa bure hata huku kwao hawazitumii na muda wake wa matumizi umeshapita wao ndio hutuletea huku,sote tunajua kutumia dawa iliyopita muda wake wa matumizi ni kuleta madahara kwa anayetumia, hapa hutasikia serikali zetu zikisema,pia uhifadhi wa hizo chanjo huku kwetu ni wa kiwango cha chini sana kiasi kwamba ubora wa hizo chanjo pamoja na kuwa zimeexpire huwa wa kiwango duni kabisa.Kwa kifupi wazungu si watu wazuri, miaka ya mwishoni mwa 80 walileta chanjo ambayo wanafunzi wengi walichanjwa mashuleni,hadi sasa wengi wao ni tasa na wanapata matatizo ya uzazi na siku zao. Mwendazake alituonya lakini ndivyo hivyo.
 
Sababu kubwa ni wazungu ambao wanawatumia viongozi wetu wasiyo jielewa
Wazungu wanasababisha matatizo ulimwengu mzima si Africa pekee
Nani anaeweka viongozi wasiojielewa madarakani,kama awajielewi kwann msiwatupe jela,ni afrika pekee ndipo kiongozi anayo kinga ya kutokushtakiwa hata akifanya uovu wowote ruksa kuiba,kuuwa,kupora wake za watu, kuweka ndugu zake madarakani,kujipendelea kwao,mabara mengine kiongozi ukifanya hivyo utapotea jela milele.
Kule Wana viongozi afrika kuna watawala ambao wengi wamejiweka wao madarakani.
Afrika sanduku la kura haliheshimiwi ni la kutimizia wajibu tu kuwahadaa watoa misaada yaani wafadhili.
 
Mtutu wa bunduki wa nini dogo!!!...jiwe kaondoka kwa mtutu wa bunduki weye? usilazimishe mtutu bana.....nani akakae porinia umwe na mbung'o? eti ale kwa mashaka! hiyo ni zamni bin kale...nchi yetu wenyewe tukakae porini unaumwa au?
Yanayoendelea congo ni kushindwa kwa serikali ya congo.
Mobutu ndie asili ya vita endelevu vya congo ambapo mnufaika ni kagame na m7 kuvifadhili vikundi vya waasi Ili wapore congo.Hao wakifa na vita vitakwisha congo
 
Ndo maana nilikuambia penye haki Hakuna vita.Panapo haki amani Utawala.
Vita vyote Afrika chanzo ni watawala kuwanyima haki wanaotawaliwa,vita ni mlipuko wa hasira za miaka mingi sababu ya ukosefu wa haki.
Wale wa Msumbiji waliovurushwa kibiti zile ni takataka yaani wahuni wachache waliomudu kupata silaha nchi za vita Mzungu hawezi tuma takataka kama zile hawana tofauti na panyaroad wao uvamia na kupotea.
Takataka za nini gharama yote ile hali chochote wakitakacho afrika ukipata tena kwa kutupa oda,nataka tani 200 za copper,chokaa,shaba popote panapo soko tunawapelekea.
Hii hoja ya wao ndio wanaanzisha vita Ili wapate wakitakacho ni propaganda za kijamaa tu za miaka ya 70.
Nini kinachowazuia kukipata afrika hadi waingie gharama kuanzisha vita Ili ndo wapate,hali wao ndio wanaoingia gharama kuhudumia wakimbizi,pili afrika sio mnunuzi mkuu wa silaha za viwanda vya ulaya na hata tukinunua ni zile outdated used na nyingi uuzwa na wafanyabiashara haramu.
 
Hujui Vita ilianzia mbinguni!! uroho wa shetani......sasa hapa Duniani kwa nini kusiwe na vita!! wkt kuna mifani ilile ya Mungu? nashetani?

eti amani itawale ndg umesomakweli wewe?...hata hujui maana ya Maadui wa ndani na nje mweee! rudi drsani dogo! sasa km Mbinguni tu kulikuwa hkn amani duniani je?
 
Yanayoendelea congo ni kushindwa kwa serikali ya congo.
Mobutu ndie asili ya vita endelevu vya congo ambapo mnufaika ni kagame na m7 kuvifadhili vikundi vya waasi Ili wapore congo.Hao wakifa na vita vitakwisha congo
Muongo!! hujui yaani kamtu kaje tu!! li nchi kubwa lile tuanze kupigana, si na wao wapigane?
 
Kama

Kama tumeshindwa kuvigeuza fursa Ili tupate basic needs vinatufaa nini sasa.
Kwa raslimali tele tunawazidi lkn kama hazitusaidii tunatofauti gani na mfugaji mwenye ng'ombe elf 2 lakini apati basic needs
Ukikosa basic needs si unakufa mbona hawajafa au mie ndo si elewi
 
Muongo!! hujui yaani kamtu kaje tu!! li nchi kubwa lile tuanze kupigana, si na wao wapigane?
Soma asili ya vita vya congo.
Mobutu alimsaidia savimbi Angola aliwasaidia waaasi wa Rwanda na uganda ikiwemo Joseph Kony waasi wote hawa walizipiga nchi hizo tokea Congo kwa msaada wa mobutu.
Kabila baba akaungana na Rwanda, Uganda na Tza kwa upande wa mashariki kumpiga mobutu angola akaungana na south africa, zimbabwe,na zambia kumpiga mobutu toka kusini,mobutu akiwa na jeshi dhaifu akazidikiwa akatoroka nchini.Savimbi akauliwa.Waasi wa uganda na Rwanda wakafatwa hadi congo, m7 na PAKA walipoingia congo wakakuta mali tele wakaanza uporaji kwa kisingizio cha kuwafurusha waasi wao ukosefu wa usalama congo mashariki ukazaliwa makundi mengi ya waasi kujinufaisha na utajiri wa congo.
 
Ukikosa basic needs si unakufa mbona hawajafa au mie ndo si elewi
Watz wanakosa 500 ya dawa,wanaishi nyumba za nyasi na udongo kama panya,maji mtihani kupata,wengi wanaishi stone age chini ya dola 1,watu wamepigika haswa vijijini
 
Ukitenda haki maadui watoke wapi,mbona Iran, China hazijasambaratika jibu ni sababu serikali zao uwatendea haki watu wao.
 
Makala yako ni parochial , narrow minded.
Africa population 1.34 bil
China peke yske1.43 bil
India 1.38 bil
Kwanini threat iwe Africa tu wakati Asia peke yake ina 4.6 bil.
India na china hawana resource's kama Africa!!hizo data unaziaminije???we huoni hata bara la africa ni kubwa lenye rasilimali nyingi ambazo wao wanazitegemea?kwanini ppn ya Africa usiwe threat kwao???halafu race ya muafrika mweusi inarithowa bila kupoteza kama ya mzungu!!!muafrika akizaa na mzungu lazima mtoto awe half-caste tu hivyo race ya mzungu kuwa hatarini kutoweka!!
 
Ukitenda haki maadui watoke wapi,mbona Iran, China hazijasambaratika jibu ni sababu serikali zao uwatendea haki watu wao.
wao ni wao sisi ni sisi tuna taratibu zetu zifuate hutaki si kaishi nao! uone muziki wake!! km hujakuja huku unalia....MUZiki wa china urusi uko kivingine kabisa wala haufanani na wa iraq
 
Ndo maana wengi wanakufa vijijini
wanastahili kufa tena wachapeni viboko mahiti zao maana ni mikosi.......ardhi yooote hii!...ukicheka na nyani ndo hao sasa!!! sawa na walee watumishi waliopewa talanta na bwana wao wakachimbia.......
 
Watz wanakosa 500 ya dawa,wanaishi nyumba za nyasi na udongo kama panya,maji mtihani kupata,wengi wanaishi stone age chini ya dola 1,watu wamepigika haswa vijijini
kweli wapo kulee Mahurunga Ntwara njia panda ya mikindani!! sasa wale wana akili au wagonjwa wale!! mtu mzima tena msomi unawaza serkali ikupe dawa bure??

halafu sasa unadharau miti shamba?? quinine ya mzungu imetokana na miti shamba hiyo hiyo! hao wanastahili kifo! Nyumba za nyasi hazina tatizo!! tatizo ni mtu wenyewe anavyo zitengeneza kwanza tope nyasi jua ni bure kabisa! angalia wenzako tunavopeta na nyumba za nyasi hapo hata panya anaona aibu kuingia, nenda kanda ya ziwa huko Musoma ukajifunze kujenga km hivi hutaki tukufanyeje sasa!! yaani hizi usione aibu rasili mali kibao ziko chini ya ardhi unazo tena bureee!!

hujui kutumia akili zako vizuri! hata ukipewa mjighorofa utacahafuka tu utaishi na panya tu, plus kubomoka tu utashindwa kulitunza/fanya repair!! kaeni huko huko na panya wenu, make nyie sasa ni mzigo wa taifa!! hata hatutaki kuwaolea!!! nani aoe vimeo!!! sisi huku kwetu ndo kama hivi nyumba rahisiiiiiiii tena ni bora mnooo!!

kifupi mnastahili kubaguliwa sasa km maisha yako mwenyewe yame kushinda utawezaje kukamata sirikali tata???
 
maji mtihani kupata,wengi wanaishi stone age
Nimeishi kijijini mie maji tulivuna ya mvua!! ambayo tulikuwa tuna tumia mwaka mzima tena na mifugo hapo hapo mweee!! unataka maji gani wewe!! hivi huoni una tatizo la msingi weye!!!! tena yale hayana gharama kabisaaaaa!
 
Nonsense!
Maneno ya vijiweni.
 
Nimeishi kijijini mie maji tulivuna ya mvua!! ambayo tulikuwa tuna tumia mwaka mzima tena na mifugo hapo hapo mweee!! unataka maji gani wewe!! hivi huoni una tatizo la msingi weye!!!! tena yale hayana gharama kabisaaaaa!
Manyara mifugo inakufa ukame
 
Usinichallenge binafsi nazungumzia nyumba za nyasi vijijini zinafanana hivi.
Hii ni picha ya hotel za kitalii na sio nyumba za waafrika wengi vijijini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…