Hofu ya maambukizi ya VVU inanimaliza kiafya, nilishiriki ngono na muathirika wa UKIMWI

Hofu ya maambukizi ya VVU inanimaliza kiafya, nilishiriki ngono na muathirika wa UKIMWI

Hujakutana nao mkuu na normally binadamu ni mkaidi likimfika ndo majuto,maradhi hayazoeleki na wala hayafanani.

Yupo jamaa yangu hizi ndo zilikuwa kauli zake alikuja kukutana na wire mmoja wa moto sana hakuweza kuhimili majibu miezi minne tukamfukia chini 6foots,fikiria miaka 33 wazazi wamepoteza pesa kisha mtu anakufa kizembe.
Huyo kilichomkuta hakuwa tayari kukubali kuwa ameukwaa,ukijikana tu lazima ukutese mnoo,ukija kushtuka umeshakuchosha na hata ukitumia dawa zinagoma,hapo ndipo alipofanya kosa,narudia tena,ukimwi sio ugonjwa,pata kansa uone kama utachukua round na mateso yake usiombe kabisa mkuu
 
Nataka unambie kwa nini katikati ya tendo wewe ndo ukaomba kuvua kinga? Nini kilikupata?😂

Ila waoga tuko wengi hapa duniani mimi na umri huu mkubwa hivi hata tupime mara mia mbili siwezi shiriki tendo bila kinga.niko tiyari nimpoteze mwanaume ambae nampenda pale anapoomba tusitumie kinga.

Hapa nawaza ikitokea nikapata ndoa itakuwaje maana nasikia kwenye ndoa hawavaagi ma mifuko haya.
Kwanza nawazaga nikipata mimba itakuwaje? Nikipata ukimwi itakuwaje?

Hapa kuna dada namzidi umri yeye ana 28 usimwambie mambo ya kinga, kwa kweli duniani kuna watu waoga mimi ni no moja.

Anyway, kwakuwa umemaliza dawa, fanya hivi nenda damu salama, ukadonate damu, kwanza watakupima wingi wa damu wakikuta inatosha wataitoa, sasa damu ile vile vipimo vyao hata ukimwi wa siku moja lazima uonekane.
Watakupa siku 14 ndo uende kuchukuwa majibu. Wakikuta damu yako ni salama watakupa tena trh ya kwenda ku donate mara ya pili.

Ila kwa maelezo yako, uko salama.punguza woga.
Hii brain wash tulofanyiwa ni ya kiwango cha bahari asee. Yani umekaa zaidi ya mwezi(muda mliopewa na matapeli kwamba virusi vitakuwa vimeonekana) umepima huna kitu. Lakini bado una kiherehere et yawezekana vipimo vimekosea au sijui virusi vimejificha kwenye angle flani ya mwli kwo unahitaji kipimo sijui cha ukubwa gani. Lakini tambua yote hiyo ni janja ya tapeli kunetia mwili wako ili mradi tu vichore vimstari viwili aanze kuvuna mahela.

Kwa nn malaria au tb ni mara moja tu. Unayo unayo kweli huna huna kweli
 
Ni siku ya 31 leo tangu nianze kutumia dawa za Kuzuia maambukizi ya Ukimwi kwa watu walio hatarishi kupata ugonjwa huo (PEP), Dozi hii nimeimaliza jana.Hofu niliyo nayo imenifanya nishndwe kufanya kitu chochote cha maana zaidi ya kuzorota mwili.

Binafsi nina utaratibu wa kupima afya kwa kila mwanamke mpya ninaekutana nae, lakini siku ya kufa nyani miti yote huteleza.
Huyu mdada sikuwahi kukutana nae katika maisha yangu, kwa mara ya kwanza nimekutana nae MALAIKA BEACH HOTEL MWANZA ilikuwa ni usiku wa Jumapili, Mimi nikiwa ni mgeni pale kwa siku kadhaa na huyu dada alikuwa na marafiki zake kwenye meza iliyokuwa pembeni yangu. Kwa umbo na uzuri wamebarikiwa haswa.

Alikuwa amevaa vazi ambalo ukichanganya umbo na rangi yake kwa namna yoyote ile mwanaume yeyote aliyekamilika lazma atatamani kuwa karibu, na vyombo vilikuwa vimeshanikolea kama saa 6 hivi usiku nikamuita kumuomba kampani ahamie kwenye meza yangu hakusita, huo ukawa mwanzo ambao mwisho wake tukawa wote kwenye room yangu niliyofkia pale hotelini. Siku hii sikuwa na vipimo, nilijaribu kutafuta pale hotelini nikakosa ilibidi nichukue condom, Tukafanya sikuwa na vurugu katkati ya mchezo mwenyewe nikaomba kuchomoa ile condom akakubali hata hivyo sikuchukua mda nikamaliza baada ya kumaliza nikawa najilaumu sana na sikurudia tena mpaka alivyoondoka tukapanga, tukutane kesho yake ili tuweze kupima tufanye mambo yetu kwa uhuru, Akakubali.

kesho yake Jumatatu Akaja, na mimi nikawa tayari nimeshanunua Vipimo. Mwenzangu akabadilika akagoma kupima baada ya kumbembeleza kwa mda mrefu akakubali kwa sharti nianze mimi na majibu yeye nisimpe nibaki nayo mimi. Baada ya kupima majibu yake yakawa na changamoto. Nilijihisi kufa na isitoshe kipindi tunapimana ile kujitoboa nilishika kile kidole chake bila tahadhari, Sehemu ya damu yake ikagusana na kidole chngu nilichojitoboa kutoa damu. Hapa nilichanganyikiwa zaidi.

Asubuhi ya Jumanne nimeamka mapema kazi ilikuwa ni kusaka hospital ambayo naweza Kupata dawa za PEP ili nianze dozi, nilizunguka na boda kama kichaa. Jana nimemaliza hii dozi na kila wiki tangu nianze kutumia hii dozi nacheki afya yangu. Mpaka mda huu bado sijapata maambukizi ila nina hofu sana.

Kila nikifikiria huu ugonjwa napata shida sana.
Tulia wewe'!
 
Mimi hata nikiupata sasa hv,sitajuta,sana sana nitakula mbaazi na kuendelea na maisha yng,siwezi kujikondesha halafu nijifie niwaache watoto wangu wajiteseka
Hizo mbaazi ndo zinaenda kukuua vibaya sana. Pengine hata kuacha familia yako na umasikini wa kutupwa

Mfano mdogo tu, ushawahi kufikiria kuhusu gharama ya kufanyiwa dialysis?
 
Hizo mbaazi ndo zinaenda kukuua vibaya sana. Pengine hata kuacha familia yako na umasikini wa kutupwa

Mfano mdogo tu, ushawahi kufikiria kuhusu gharama ya kufanyiwa dialysis?
Dalysis utaanzwa kufanyiwa baada ya miaka 20 mbele huko,na kama una Bima hakuna matata
 
Unawapoteza wenzako mkuu

Jirani yangu (18yrs form 3) kapimwa kakutwa nao

Acha kabisa huu ugonjwa upo
nimeogopa sana
Mkuu naomba nikuulize swali, hivi kazi ya antibody ni nini? Na pia unafahamu nini maana ya antigens?
 
No kuna mtu X namfaham alikua anaishi na mtu but hakuwahi kujua kama ana hiv na hajawai kumuona akimeza dawa au kuona dawa zake kwa kifupi hamezi dawa Yan mpaka leo na wala haumwi na ukimuona huwezi jua kama anao but baada ya muda yule mtu X akaanza kuumwa mara kikohozi mara kwa mara na mwili ulianza kubadilika ikabid aende hosp kubwa wakampima TB ikawa +ve wakamwambia lazima apime HIV akakutwa nayo,alichanganyikiwa sana but wakamshauri vizur nakumwambia amuite huyo mtu wake alikubali ikawa +ve nae anyway point yangu Mbona huyu mtu X hakujua kama alikua nao but mwisho wa siku akaanza kuugua?
Unaelewa nn kuhusu antibody na antigens mkuu? Tuanzie hapo
 
Binafsi ningeweza kukuunga mkono kwa hili, but no research, no right to speak, and when you do the research you must come out with evidence which contains data from authenticated sources which can provide truth information about certain phenomena.
Ndio sina research,hii ni circumstancial evidence,ila it is very compelling.Kumbuka kwamba hii ni issue yao,so kuifanyia utafiti is next to impossible.

Hata hivyo to me the fact that hawaja tuonyesha huyo Virus(kama ilivyo kwenye Covid) wanayedai kwamba ana-cause Aids,inahakikisha kwamba wanadanganya.Hii haina tofauti na assertion kwamba mvua ikinyesha na Jua linawaka,basi Simba anazaa.Ni mjinga tu anayeweza kuamini ujinga huu.
 
Kwa taarifa yako TB na malaria kali hupelekea vipimo kusoma +ve. Na kumbuka TB ni magojwa yanayoambukizwa kwa njia ya hewa so obviously huyo mwenza wake asingeweza kuepuka majibu yaliyo sawa na partner wake. We unafukiri kuna cha ajab hapo¡!!!?
Ni ngumu kuwaelewesha watu walioshikilia mitazamo yao kwa nguvu zote.
 
Acha kudanganya watu ww kijana, Ukimwi upo na ulikua unauwa watu Sanaa zamani kabla ya Kuthibitika, watu walikua hawajui wanakufa na nini, wanakonda, kuharisha na Kutapika mpaka ilipokuja Kuthibitika ni Ugonjwa wa Ukimwi.

Pili huu Ugonjwa ilishawekwa Wazi ni Ugonjwa uliotengenezwa maabara Marekani Kwa lengo la kuwamaliza watu weusi na maandiko Yako wazi tu ni uvivu wako kusoma.
Wewe umekaririshwa tu kwamba ukimwi umetengenezwa maabala. Sasa wewe unafikiri watafanya nini ili kukuaminisha kwamba kweli ukimwi upo.

Hivi unahabari kuwa hizo dawa za ukimwi unazopewa wakati huo zikiitwa AZT,zilitumika kwa watu wa kansa kabla hata ya huo ukimwi kugunduliwa. Na unajua sababu ya kufanya hivo

Hivi unajua hakuna jopo la wanasayansi lililokaa(kama ilivyo kwa magonjwa mengine) na kuthibitisha kuwa kweli kirusi cha HIV kinashusha kinga ya mwili zaidi ya watu wachache kujitangazia njama yao kwa malengo yao wayajuayo

Lakini pia hivi unajua hata mgunduzi wa hicho kirus anakiri kwa kinywa chake kuwa hakina uwezo wa kushusha kinga ya mwili zaidi ya poor life style ya binadam

Endelea kuamini kwamba ukimwi ulitengenezwa maabala
 
Dalysis utaanzwa kufanyiwa baada ya miaka 20 mbele huko,na kama una Bima hakuna matata
Weww unaongea may be kwa kuwa uchumi wako upo vzr na una uwezo wa kubima. Jiulize kwa mtu anaeishi kwa chini ya nusu dola itakuaje.
 
Nilianza ku-doubt ukweli wa HIV-Aids zamani sana mkuu.Kwa nini nilianza ku-doubt kama kweli HIV-Aids ipo?

Moja,Daktari mmoja alinitonya kwamba walipokuwa wanapima Aids bila kuingiliwa na wanaoitwa kimakosa wafadhili(hawa ni matapeli na wezi tu kama wengine),wao kama wao hawakupata cases za Aids.Daktari huyo akaendelea kuniambia something queer hapenned:Wafadhili hao walichagua watu wao,na hawajui kilichotokea, ila baada ya hapo,cases za HIV zikaanza kuwa reported.Daktari huyo anasema most likely hela ilitembea (kama ilivyotembea kwenye Covid).Akamalizia kusema,ukweli ni kwamba watu wengi wamesingiziwa wana Aids,na wanafakamia madawa ambayo hatimaye yata-wadhuru.

Pili,kwa muda mrefu sasa nimekuwa najaribu kupata Scientist yeyote ambaye ameshawahi ku-isolate the HIV-Virus sijapata.Nimekuwa nafanya hivyo hivyo kwenye Covid,lakini sijafanikiwa.Naomba kama yupo mtu hapa JF or anywhere ambaye ana scientific evidence kwamba the HIV Virus or the Covid Disease Virus has been isolated anipe,I will very much appreciate it.

Tatu na Mwisho,the former South African President Mbeki also doubted the assertion that HIV-Aids is caused by a Virus.He said, "AIDS is not caused by a Virus but rather by poisoning from from various sources including medication,on the shelf foods,plastics,air pollution etc.etc." Indeed the symptoms of HIV-Aids resemble very much those of slow poisoning over time.
Uko sahihi mkuu. Watu wengi wasichojua ni namna gani HIV AIDS inapipwa, na hapo ndipi wanapopigiwa.

Mwili wa binadamu umeumbwa kiasi kwamba unaweza kupambana na magonjwa kwa kutumia Kinga hasili ya mwili/antibody (assume antibody ni kama wizara ya ulinzi). Leo hii uking'atwa na mbu wa malaria, antibody (wizara ya ulinzi) ikidetect ilo jambo itarelease antigens (assume hawa ni askari sasa) ili kuweza kufight vimelea vya malaria. Na ikivishinda, mwili utakuwa salama, hautopata malaria. Kwahiyo tukisema tukupime wewe, tukikuta una antigens waliokuwa wanapigana na vimelea vya malaria, hatuwez kusema unamalaria, Bali tutaupongeza mwili kwa kuweza kujilinda. Ili tuseme una Malaria, lazima wale bacteria wanaosababisha Malaria wawe nidetected, wakishaonekana kwenye vipimo hapo tunasema unamalaria, then unapewa dozi ya malaria. Na antigens wapo wa aina tofauti tofauti kutegemeana na mwili unapambana na tatizo gani.

Sasa tukirudi kwa upande wa ukimwi, jinsi unavyopimwa ndio inashangaza. Vipimo karibia vyote vya huu ugonjwa fake vinapima uwepo wa antigens. Kwamba Kuna specific antigens wakiwa detected tu, basi utaambiwa una ukimwi. Yani badala waupongeze mwili kwamba umetoa askari wa kuupambania, wao wanauhukumu na kusema uwepo wa wale Askari (antigens) maana yake ww ni mgonjwa. Kwanini magonjwa mengine yote huwa tunapima vimelea vya ugonjwa husika, Ila kwa ukimwi tunapima antigens?

UKIMWI = Upungufu wa Kinga Mwilini, yani wakuu mnaamini kuwa Upungufu wa Kinga aliokuwa nao mtu mmoja, unaweza kuambukiza mtu mwingine?

Tuchukulie mfano rahisi, yani mpenzi wako akiwa na utapiamlo, then akuambukize utapiamlo wake kwa kujamiiana? [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Yeah hamna labda kwasababu ni bure ndio mana.
arv sio Bure. Serikali inaingia gharama kwa ajili ya hizo dawa. Achana na neno msaada unalosikia wanasema hao watu wa West
 
Uko sahihi mkuu. Watu wengi wasichojua ni namna gani HIV AIDS inapipwa, na hapo ndipi wanapopigiwa.

Mwili wa binadamu umeumbwa kiasi kwamba unaweza kupambana na magonjwa kwa kutumia Kinga hasili ya mwili/antibody (assume antibody ni kama wizara ya ulinzi). Leo hii uking'atwa na mbu wa malaria, antibody (wizara ya ulinzi) ikidetect ilo jambo itarelease antigens (assume hawa ni askari sasa) ili kuweza kufight vimelea vya malaria. Na ikivishinda, mwili utakuwa salama, hautopata malaria. Kwahiyo tukisema tukupime wewe, tukikuta una antigens waliokuwa wanapigana na vimelea vya malaria, hatuwez kusema unamalaria, Bali tutaupongeza mwili kwa kuweza kujilinda. Ili tuseme una Malaria, lazima wale bacteria wanaosababisha Malaria wawe nidetected, wakishaonekana kwenye vipimo hapo tunasema unamalaria, then unapewa dozi ya malaria. Na antigens wapo wa aina tofauti tofauti kutegemeana na mwili unapambana na tatizo gani.

Sasa tukirudi kwa upande wa ukimwi, jinsi unavyopimwa ndio inashangaza. Vipimo karibia vyote vya huu ugonjwa fake vinapima uwepo wa antigens. Kwamba Kuna specific antigens wakiwa detected tu, basi utaambiwa una ukimwi. Yani badala waupongeze mwili kwamba umetoa askari wa kuupambania, wao wanauhukumu na kusema uwepo wa wale Askari (antigens) maana yake ww ni mgonjwa. Kwanini magonjwa mengine yote huwa tunapima vimelea vya ugonjwa husika, Ila kwa ukimwi tunapima antigens?

UKIMWI = Upungufu wa Kinga Mwilini, yani wakuu mnaamini kuwa Upungufu wa Kinga aliokuwa nao mtu mmoja, unaweza kuambukiza mtu mwingine?

Tuchukulie mfano rahisi, yani mpenzi wako akiwa na utapiamlo, then akuambukize utapiamlo wake kwa kujamiiana? [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Asante sana mkuu,umesaidia sana ku-expand my comment with simplified scientific facts.Thankyou so much.Niseme hivi,the intelligent see what is happening,lakini wajinga na wapumbavu wataendelea kudanganywa.
 
Wewe umekaririshwa tu kwamba ukimwi umetengenezwa maabala. Sasa wewe unafikiri watafanya nini ili kukuaminisha kwamba kweli ukimwi upo.

Hivi unahabari kuwa hizo dawa za ukimwi unazopewa wakati huo zikiitwa AZT,zilitumika kwa watu wa kansa kabla hata ya huo ukimwi kugunduliwa. Na unajua sababu ya kufanya hivo

Hivi unajua hakuna jopo la wanasayansi lililokaa(kama ilivyo kwa magonjwa mengine) na kuthibitisha kuwa kweli kirusi cha HIV kinashusha kinga ya mwili zaidi ya watu wachache kujitangazia njama yao kwa malengo yao wayajuayo

Lakini pia hivi unajua hata mgunduzi wa hicho kirus anakiri kwa kinywa chake kuwa hakina uwezo wa kushusha kinga ya mwili zaidi ya poor life style ya binadam

Endelea kuamini kwamba ukimwi ulitengenezwa maabala
Huko kwenye AZT umeenda mbali. Warejee historia ya ugunduzi wa huo ukimwi wao ndo watapata picha.
 
Mimi niliishi na hiyo hofu zaidi ya miaka kumi mpaka pale nilipokata shauri na kuamua kupima kwa hiari, nilishatembea na Wanawake waathirika zaidi ya watatu bila kujua, wawili wameshafariki and were corfimed HIV +, "Mungu azilaze roho zao mahali pema peponi".

Mapenzi ya siri ni mabaya sana, maana kama ningeweka wazi ningeambiwa mapema sana maana mmoja kati ya rafiki zangu alikuwa anajua status ya Mwanamke ambaye nipo naye kwenye mahusiano kuwa ni HIV +.

Kuna siku nilimwambia Moja ya rafiki zangu kuwa natoka na huyo Mwanamke, jamaa alikuwa jasiri sana wala hakunificha, alinieleza hali halisi, tangu hapo niliishi maisha ya hofu sana, ilifika sehemu hata Wife alipokuwa mjamzito niligoma kabisa kwenda kupima.

My take. Mkienda miji ya watu unatakiwa kuuliza kwa wenyeji kabla ya kuanza kufakamia Wanawake au Wanaume.
Vipi ulipima na kujua Afya yako??.
 
Hujakutana nao mkuu na normally binadamu ni mkaidi likimfika ndo majuto,maradhi hayazoeleki na wala hayafanani.

Yupo jamaa yangu hizi ndo zilikuwa kauli zake alikuja kukutana na wire mmoja wa moto sana hakuweza kuhimili majibu miezi minne tukamfukia chini 6foots,fikiria miaka 33 wazazi wamepoteza pesa kisha mtu anakufa kizembe.
Usiogope.
 
Back
Top Bottom