Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu huyu aliymtoa baba yake na Deo kafr?BADO YULE SILAA WA UKONGA.
NAWASUBURI KWA HAMU KWENY BOX LA KURA
Sasa Chadema kujitwalia majimbo 2 in 1.....😀😀😀😀Hali ya Wabunge wa ccm Majimboni ni Dhooful Hali, baada ya 2020 kubebwa kama watoto njiti wenye utapia mlo na Mbeleko ya Magufuli, Dkt. Mahera na Wakurugenzi wa Halmashauri , sasa kila mmoja anapambana kivyake ili asisombwe na upepo mkali wa CHADEMA.
Mbunge wa Arusha Mjini ndugu Mrisho Gambo naye amejitokeza hadharani kuomba Serikali ya Tanzania kupanua goli kwa kuligawa Jimbo la Arusha Mjini na kuleta Jimbo Jipya la Murriet , hofu yake kuu ikiwa ni kupambana na Godbless Lema.
Tunatoa wito kwa wabunge wengine wa ccm wenye hofu ya kuangukia pua 2025 wajiorodheshe ili serikali ambayo nayo ni ya ccm iwafanyie wepesi.
---
Hapajawahi kuwa hoja ya kuligawa Jimbo la Arusha Mjini ili liwe na majimbo 2. Jimbo hili ni dogo sana na linaingia zaidi ya mara 40 ya Jimbo la Ngorongoro ambalo ni moja. Acheni kuweweseka, tukutane Field!
View attachment 2610657
Kama Petro alimkana Yesu, basi wao ni nani wasitamani hata kuzikana au kugawa nyumba zao???Huko tuendako,tuombe tu uhai,tutawaona wakitamani hata kugawa nyumba zao na kuzikana,kwani uovu hulipwa hapa hapa duniani 🏃🏃
Acha uongo weweMashauri ya Maridhiano??
CHADEMA ndio itakayokuja kugawa na hata kuuza Nchi hii kwa kuleta utawala wa Majimbo.
....Haya ya kugawa majimbo kuelekea 2025 ni moja kati ya mengi yanayoshinikizwa?? katika yale Maridhiano ya Siri.... kwani hizi taarifa zimekaa kimkakati. Wana testi Umma hawa Viongozi wa Kesho sio bure hii.
[emoji38][emoji38][emoji38]Arusha ikigawanywa, Lema ata kwenda kugombea atakapo gombea Gambo. Habari ndiyo hiyo.
Kila mkoa unatakiwa kuwa na wabunge 10 tu ingetoshaSisi wananchi walipa kodi tunataka majimbo yapunguzwe ili gharama za kuwalipa wabunge zipungue !! Jamani mutuonee huruma !!
Kabisa !!Kila mkoa unatakiwa kuwa na wabunge 10 tu ingetosha
Kuna sehemu zingine huduma azifiki Kwa wananchi inabidi majimbo yaongezwe Kwa sehemu zenye uhitaji.Ujue mzigo ni wetu wananchi tunaowalipa kwa kutumia kodi na tozo mbalimbali tunazotozwa kila siku !!
Kama vipi majimbo yasigawanywe. Na ikiwezekana hata majimbo mengine yaunganishwe Ili yawe machache tuone kama Chadema mtachomoa.Hali ya Wabunge wa ccm Majimboni ni Dhooful Hali, baada ya 2020 kubebwa kama watoto njiti wenye utapia mlo na Mbeleko ya Magufuli, Dkt. Mahera na Wakurugenzi wa Halmashauri , sasa kila mmoja anapambana kivyake ili asisombwe na upepo mkali wa CHADEMA.
Mbunge wa Arusha Mjini ndugu Mrisho Gambo naye amejitokeza hadharani kuomba Serikali ya Tanzania kupanua goli kwa kuligawa Jimbo la Arusha Mjini na kuleta Jimbo Jipya la Murriet , hofu yake kuu ikiwa ni kupambana na Godbless Lema.
Tunatoa wito kwa wabunge wengine wa ccm wenye hofu ya kuangukia pua 2025 wajiorodheshe ili serikali ambayo nayo ni ya ccm iwafanyie wepesi.
---
Hapajawahi kuwa hoja ya kuligawa Jimbo la Arusha Mjini ili liwe na majimbo 2. Jimbo hili ni dogo sana na linaingia zaidi ya mara 40 ya Jimbo la Ngorongoro ambalo ni moja. Acheni kuweweseka, tukutane Field!
View attachment 2610657
Thibitisha!Acha uongo wewe
Mbona Lowassa , Makamba na Kikwete waliporithisha majimbo watoto wao hukuja humu JF Kuropoka ?Wanyakyusa na wasafa wakimtoa Dr Tulia bila sababu za msingi basi itabidi wapimwe akili kama ziko sawa.
Sugu alishamaliza mda wake aangalie mambo yake kwani hakuna watu wengine huko Chadema? Jimbo limekuwa mali ya sugu, kwa nini baadhi ya wabunge wanataka kuwa wafalme majimboni, ni tabia mbaya na inataka kuzoeleka, hii ni kwa vyama vyote.
Mimi nitaenda kugombea atakapogombea Makonda,iwapo akathubutu kutaka kujirudisha kwenye siasa😂[emoji38][emoji38][emoji38]
we unajua maana ya ukubwa wa jimbo? we akili yako ni km hao nyumbu wa Ngorongoro. Jimbo la Arusha lina wakazi 617,631 na jimbo la Ngorongoro lina wakazi 273,349. Jimbo la Arusha ni zaidi ya mara 2 ya jimbo la Ngorongoro. au umehesabu na wanyama? Hivi kwanini wapumbavu km wewe huwa wanazaliwa? Nimesikitika sana. Hata hivyo sishabikii ugawaji wa majimbo kwani nashangaa mbunge moja anashindwaje kuhudumia wakazi km laki 7.Hali ya Wabunge wa ccm Majimboni ni Dhooful Hali, baada ya 2020 kubebwa kama watoto njiti wenye utapia mlo na Mbeleko ya Magufuli, Dkt. Mahera na Wakurugenzi wa Halmashauri , sasa kila mmoja anapambana kivyake ili asisombwe na upepo mkali wa CHADEMA.
Mbunge wa Arusha Mjini ndugu Mrisho Gambo naye amejitokeza hadharani kuomba Serikali ya Tanzania kupanua goli kwa kuligawa Jimbo la Arusha Mjini na kuleta Jimbo Jipya la Murriet , hofu yake kuu ikiwa ni kupambana na Godbless Lema.
Tunatoa wito kwa wabunge wengine wa ccm wenye hofu ya kuangukia pua 2025 wajiorodheshe ili serikali ambayo nayo ni ya ccm iwafanyie wepesi.
---
Hapajawahi kuwa hoja ya kuligawa Jimbo la Arusha Mjini ili liwe na majimbo 2. Jimbo hili ni dogo sana na linaingia zaidi ya mara 40 ya Jimbo la Ngorongoro ambalo ni moja. Acheni kuweweseka, tukutane Field!
View attachment 2610657
Haya matusi natukanwa mimi au Mrisho Gambo ?we unajua maana ya ukubwa wa jimbo? we akili yako ni km hao nyumbu wa Ngorongoro. Jimbo la Arusha lina wakazi 617,631 na jimbo la Ngorongoro lina wakazi 273,349. Jimbo la Arusha ni zaidi ya mara 2 ya jimbo la Ngorongoro. au umehesabu na wanyama? Hivi kwanini wapumbavu km wewe huwa wanazaliwa? Nimesikitika sana. Hata hivyo sishabikii ugawaji wa majimbo kwani nashangaa mbunge moja anashindwaje kuhudumia wakazi km laki 7.
Aliyeandika zile habari ya kwamba jimbo la Ngorongoro = 40 x jimbo la Arusha.Haya matusi natukanwa mimi au Mrisho Gambo ?
OkAliyeandika zile habari ya kwamba jimbo la Ngorongoro = 40 x jimbo la Arusha.