Sasa nyankurungu Ccm iogope hicho chama kwani hicho chama kina nini?Kwamba kumbe hayati JPM alikuwa anakubalika na wengi. The majority ya wananchi wanyonge ambao hata mumchafue vipi kwao yeye hachafuki maana wanajua kazi aliyoifanya kwa taifa lake.
Umoja party tayari imeshazichanga karata na inakwenda kuzoa lundo la wafuasi wapinga ufisadi na ubadhirifu na wananchi wa kawaida
Kwa nini mnaanza kutapatapa mapema namna hii?
Unajua kufanya tafiti? Ingia mitaani na ufanye tafiti.Magufuli hajawahi kukubalika basi to mnalazimisha Watu waongee uongo. 2015 alipata asilimia 57 Kura chache kuliko mgombea yeyote wa CCM kwenye nafasibya urais. Na 2020 akaamua kuiba na kuharibu uchaguzi na kutokana na hayo dhambi ikabidi karma iondoke naye.
Mimi sijui kina nini?Sasa nyankurungu Ccm iogope hicho chama kwani hicho chama kina nini?
Nyumbu watanyooka tu
Bwana Paulsylvester Chama hata usajiri bado hakijapata tayari kimeshaanza kuogopwa? Kwa lipi? kinakuja na nini?Nilikuwa nimekosa chama baada ya JPM R.I.P kukataliwa na kusemwa vibaya na chama chake na chadema!
Sasa Mimi rasimi Umoja Party
Wapuuzi tu wanaoubeza upepo wa Hayati JPM
Tayari ccm wanajinyea, chadema ndo kabisaa
Kama wewe ni machinga ni Sawa kumkubaliUnajua kufanya tafiti? Ingia mitaani na ufanye tafiti.
Nilikuwa nimekosa chama baada ya JPM R.I.P kukataliwa na kusemwa vibaya na chama chake na chadema!
Sasa Mimi rasimi Umoja Party
Wapuuzi tu wanaoubeza upepo wa Hayati JPM
Tayari ccm wanajinyea, chadema ndo kabisaa
Unalalamika au unalia?Leo mnaiunganisha chadema na CCM ili mpate milage. Wakati dictator anaipiga chadema mliona sawa mpaka kumpoteza saanane na kumlima risasi Lissu. Leo mnaona aliyofanya Ni mazuri kwa chadema . Sawa.
Ccm wanadhani wasomi pekee ndio kila kitu, wanawatupa wananchi wa chini, wamesahau hata kaulimbiu ya chama chao kuwa ni ccm si chama cha matajiriBwana Paulsylvester Chama hata usajiri bado hakijapata tayari kimeshaanza kuogopwa? Kwa lipi? kinakuja na nini?
Ccm chama dola chama dume ndio kiogope Umoja party kweli?
CHADEMA na Zito walishajifia hivyo tunataka changamoto mpya!
Umoja Party hoyee...Nilikuwa nimekosa chama baada ya JPM R.I.P kukataliwa na kusemwa vibaya na chama chake na chadema!
Sasa Mimi rasimi Umoja Party
Wapuuzi tu wanaoubeza upepo wa Hayati JPM
Tayari ccm wanajinyea, chadema ndo kabisaa
Nasubiri mwongozo mkuu, mbona kitaani huku ni ndelemoo!!!Umoja Party hoyee...
Tunaenda kuchukua wapi kadi boss?
Ndugu zako waliokufa karma iliondoka nao kwa dhambi zipi walizotenda?Magufuli hajawahi kukubalika basi to mnalazimisha Watu waongee uongo. 2015 alipata asilimia 57 Kura chache kuliko mgombea yeyote wa CCM kwenye nafasibya urais. Na 2020 akaamua kuiba na kuharibu uchaguzi na kutokana na hayo dhambi ikabidi karma iondoke naye.
😂👍Nasubiri mwongozo mkuu, mbona kitaani huku ni ndelemoo!!!
Woyoo woyoo!!
Tuliza boli kwanza.Kiongozi wa hii chama ni nani
Unajua kufanya tafiti? Ingia mitaani na ufanye tafiti.
Hatimaye wanyonge tunaenda kupata chama cha kweli cha kututetea, kama kweli watafuata itikadi za Umagufuli.Nasubiri mwongozo mkuu, mbona kitaani huku ni ndelemoo!!!
Woyoo woyoo!!