Mangi Meno
JF-Expert Member
- Jun 26, 2024
- 292
- 895
Biblia katika kitabu cha Mwanzo 1:2 inaeleza
Mwanzo 1
2 Nayo nchi ilikuwa ukiwa, tena utupu, na giza lilikuwa juu ya uso wa vilindi vya maji; Roho ya Mungu ikatulia juu ya uso wa maji.
Katika mstari huu kuna vitu vya kujiuliza ambavyo Natumai wajuzi wa haya mambo mtanisaidia?
1. Kwanini nchi ilikuwa ukiwa tena utupu?
2. Kwanini nchi ilizingirwa au jazba na maji?
3. Kwanini giza lilitanda juu ya uso wa vilindi vya maji?
4. Kwanini Roho wa Mungu alitulia juu ya uso wa maji?
Nakaribisha mawazo huru tuweze kutengana wana JF.
Please huu sio uzi wa kidini.
Mwanzo 1
2 Nayo nchi ilikuwa ukiwa, tena utupu, na giza lilikuwa juu ya uso wa vilindi vya maji; Roho ya Mungu ikatulia juu ya uso wa maji.
Katika mstari huu kuna vitu vya kujiuliza ambavyo Natumai wajuzi wa haya mambo mtanisaidia?
1. Kwanini nchi ilikuwa ukiwa tena utupu?
2. Kwanini nchi ilizingirwa au jazba na maji?
3. Kwanini giza lilitanda juu ya uso wa vilindi vya maji?
4. Kwanini Roho wa Mungu alitulia juu ya uso wa maji?
Nakaribisha mawazo huru tuweze kutengana wana JF.
Please huu sio uzi wa kidini.