chizcom
JF-Expert Member
- Jul 31, 2016
- 8,680
- 18,035
Miaka 3500 kwa hiyo ndio dunia iliumbwaKitabu cha mwanzo kimeandikwa na Mussa miaka 3500 baada.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Miaka 3500 kwa hiyo ndio dunia iliumbwaKitabu cha mwanzo kimeandikwa na Mussa miaka 3500 baada.
Wakati Nabii Mussa anaandika kitabu cha Mwanzo ilikuwa imeshapita miaka 3500 soma vizuri.Miaka 3500 kwa hiyo ndio dunia iliumbwa
Kwa mujibu wa biblia giza halikuumbwa.Huu ndo mstari ulikuwa unawapa nguvu falme za giza kwamba giza lilitangulia nuru,kulikuwa na pin kubwa sana hapo mpaka Muumba mwenyewe alipotutoa hapo.
Hapa na kupinga kuna sehemu unashindwa kuelewa.Wakati Nabii Mussa anaandika kitabu cha Mwanzo ilikuwa imeshapita miaka 3500 soma vizuri.
Ila Inaonekana kulingana na Biblia Alikuja Mungu tena Kuimba Mwanga na GizaKwa mujibu wa biblia giza halikuumbwa.
Hiyo darkness ilitoka wapi?Tafsiri ya Kiswahili ndio imeweka neno ukiwa, lakini kwenye Biblia zilizoandikwa Kiingereza neno ukiwa limetajwa kama formless...
Genesis 1:2
Now the earth was formless and empty, darkness was over the surface of the deep, and the Spirit of God was hovering over the waters.
Kutoka kamusi ya merrian-webster, neno formless limepewa tafsiri kama ifuatavyo:
1: having no regular form or shape
2: lacking order or arrangement
3: having no physical existence
Hivyo inaonesha dunia ilikuwa ni eneo lisilo na umbo pangiliwa
Halafu huyo Musa mwenyewe kazaliwa kwenye kitabu cha Kutoka.Kitabu cha mwanzo kimeandikwa na Mussa miaka 3500 baada.
Yeah isaya 45:7Ila Inaonekana kulingana na Biblia Alikuja Mungu tena Kuimba Mwanga na Giza
Hatuwezi kujadili vitu vyenye logical inconsistency.Ndio maana mkuu nimeleta kwa wadau tujadili hilo.
Hakuna Mungu aliyetufanya vipofu.Ukitaka kumtawala mtu basi mfanye kipofu kwenye mambo fulani.
Mungu ametufanya vipofu kwenye baadhi ya mambo ili atutawale.
Hakuna cha fumbo kubwa.Fumbo kubwa
Hakuna siri yoyote kwenye Biblia zaidi ya hadithi za uongo njoo utamu kolea.Kwanza jua kwenye Biblia umeachiwa vitu vichache sana kwa ufahamu wa wengi ukifika level za juu za ufahamu kwenye dini utajua siri nyingi.
Usinipangie cha kuamini.Hakuna Mungu aliyetufanya vipofu.
Upofu mmejipa wenyewe kwa kuamini vitu ambavyo havipo.
Hakuna Mungu.
NITAJARIBU HOJA MOJA PEKEE;Biblia katika kitabu cha Mwanzo 1:2 inaeleza
Mwanzo 1
2 Nayo nchi ilikuwa ukiwa, tena utupu, na giza lilikuwa juu ya uso wa vilindi vya maji; Roho ya Mungu ikatulia juu ya uso wa maji.
Katika mstari huu kuna vitu vya kujiuliza ambavyo Natumai wajuzi wa haya mambo mtanisaidia?
1. Kwanini nchi ilikuwa ukiwa tena utupu?
2. Kwanini nchi ilizingirwa au jazba na maji?
3. Kwanini giza lilitanda juu ya uso wa vilindi vya maji?
4. Kwanini Roho wa Mungu alitulia juu ya uso wa maji?
Nakaribisha mawazo huru tuweze kutengana wana JF.
Please huu sio uzi wa kidini.
Hizo za kuchanganya unazo lkn?😂