Hoja fikirishi: Nini kilitokea kabla ya Mwanzo 1:2

Hoja fikirishi: Nini kilitokea kabla ya Mwanzo 1:2

Hapa na kupinga kuna sehemu unashindwa kuelewa.
Umri wa dunia unakadiriwa kuwa takriban bilioni 4.54 (4,540,000,000) miaka. Makadirio haya yanatokana na uchunguzi wa miamba ya zamani duniani na vipimo vya isotopu za elementi kama uranium na lead. Pia, wanasayansi hutumia vipimo vya miamba ya anga kama meteorite ili kusaidia kuthibitisha umri huu.
Ni sawa umri wa dunia inaweza kuwa miaka hiyo ila uwepo wa sisi Binadamu wa sasa kwa kulingana na uumbaji wa Pili inaweza ikawa miaka 6000 Plus.

Ukisoma Biblia katika
Mwanzo 1
1 Hapo mwanzo Mungu aliziumba mbingu na nchi.

Hapa haionyeshi wala kusema ni lini. Haina "time frame " kwahiyo inawezekana ndio hiyo miaka kwani wanasayansi pia wanapima na miamba na kiukweli kwenye uumbaji kwa kufuata Biblia Mungu hakuumba nchi kavu ila aliyakusanya maji sehemu moja na nchi kavu ikaonekana ikiwemo na hiyo miamba.

Binafsi naungana na matokeo ya kisayansi kuhusu umri wa dunia.
 
Mungu haaminiwi hayupo.

Mimi siamini kwamba Mungu hayupo.

Mimi napinga madai yenu ya kusema Mungu yupo kwa kusema hayupo.

Mimi siamini kwenye kuamini.

Sina imani ya aina yeyote ile.

Sihitaji kuamini.

Nahitaji kujua kwa uhakika, ushahidi na uthibitisho.
Hujui nini maana ya imani. Unatuchosha tu na ukilaza wako.
 
Atashindaje kwa hoja za kijinga?
Usimpe ushindi azidi kuharibu wengine
This kind of fallacy is called ad hominem attack.

This fallacy occurs when, instead of addressing someone's arguments and points, You attack the person.

Umeshindwa kujibu hoja unaleta Viroja.

You are a halfwit bastard!!
 
Big Up kwako. Kimsingi nilikiwa nalijua hili na nilikiwa nataka nipate nyongeza ya madini toka kwa wadau kama nyie. Hongera umelieleza vizuri mkuu.

Kimsingi wanazuoni na wanatheologia wa kikristo wamegawanyika kwenye makundi 2 tokana na Kifungu hiko cha Mwanzo 1:2
Kundi la kwanza ni kama mimi ambao tunaamini kulikuwa na uumbaji wa kwanza kabla yetu na baada ya UASI, Vurugu na chaos Mungu alikifuta kizazi kile cha wakati ule kwa maji na ndio maana Roho wa Mungu alipewa jukumu la kuilinda dunia.

Nilisikiliza ushuhuda mmoja wa miaka 990 katika ufalme wa giza toka kwa mama mmoja mnigeria anaitwa Funimilayo huko anaeleza namna gani alifanya kazi kwenye ufalme wa giza. Kuna sehemu anaadithia "MAPEPO YANASEMA YALIKUWEPO MIAKA NA MIAKA DUNIANI WAKATI DUNIA IKIWA GIZA NA IMEZINGIRWA NA MAJI. WANAJUA YOTE KUHUSU MUNGU NA UUMBAJI NA WAKATI MUNGU ANAUMBA VYOTE WALIKUWEPO NA WALISHUHUDIA JAPO HAWAJAJUA SIRI YA PUMZI YA AMBAYO MUNGU ALIMPULIZIA MWANADAMU WAO WANADAI HII DUNIA NI YAO NA WAO NDIO WAMILIKI NA SIO SISI WANADAMU WA SASA"

Umeandika kuhusu EZEKIEL 28:1-8 unaona akielezewa "KERUBI" aliyekuwa mtawala wa "Eden" ambaye kimsingi kwa kuwa alikuwa mmiliki wa "EDEN" alienda mdanganyifu mwanadamu aliyekabidhiwa "EDEN" aitunze kama Mwanzo 3 isemayo.

Kundi la pili la Wanazuoni na Wanatheolojia wanaamini uumbaji wa Mwanzo 1 na 2 ndio Uumbaji fresh na hakukuwa na maisha kabla yetu.

Hongera umedadavua vizuri mkuu japo hilo la uumbaji wa kwanza na kile kilichotokea hatukifundishi wala kuihubiri kwa Wakristo wachanga tutawachanganya zaidi.

Binafsi katika mambo ambayo namuombaga Mungu na hajawahi nipa jibu ni Pamoja na hilo kwamba nini kilitokea kabla ya uwepo wetu? Huwaga namuulizaga Roho wa Bwana kwanini ulitulia juu ya maji na kuilinda dunia ila sijawahi pata jibu. Naamini kuna siku nitapata jibu hilo toka kwake.
Yeah Kuna Mengi sana Huwa najilaumu Kwanini sikwahi Kuwafundisha watu kipindi Niliwa na nafasi nzuri ya Kuwafundisha nagundua Kuwa hata watu wenyewe Bado hawapo kwenye nafasi ya Kuujua Ukweli
 
Umeshindwa kujibu hoja unaanza kufanya ad hominem attack.

Huna hoja unaleta Viroja

Wewe ndio MPUMBAVU.

Find someone of your league to parallel your mediocrity.
Mjinga tu wewe huna lolote nani kati yangu mimi na wewe kaanza lugha za kashfa??

Na kingereza chako cha kukopa unafikiri unaweza mtisha kila mtu.

Waalimu bwana, kingereza kingi hata kiatu huna.
 
Bwana mkubwa usiniharibie uzi wangu. Basi umeshinda yaishe mkuu.
Hapa ni public forum.

Ukishaweka uzi wako hapa, umeuweka public.

Mtu yeyote anaweza kuchangia chochote kwa wakati wowote.

Mimi siharibu uzi wako.

Namjibu huyo mpumbavu anayenitukana badala ya kujenga hoja, akidhani mimi siyajui matusi.
 
Hapa ni public forum.

Ukishaweka uzi wako hapa, umeuweka public.

Mtu yeyote anaweza kuchangia chochote kwa wakati wowote.

Mimi siharibu uzi wako.

Namjibu huyo mpumbavu anayenitukana badala ya kujenga hoja, akidhani mimi siyajui matusi.
Haya basi yameisha msamehe.
 
Biblia katika kitabu cha Mwanzo 1:2 inaeleza

Mwanzo 1
2 Nayo nchi ilikuwa ukiwa, tena utupu, na giza lilikuwa juu ya uso wa vilindi vya maji; Roho ya Mungu ikatulia juu ya uso wa maji.

Katika mstari huu kuna vitu vya kujiuliza ambavyo Natumai wajuzi wa haya mambo mtanisaidia?
1. Kwanini nchi ilikuwa ukiwa tena utupu?
2. Kwanini nchi ilizingirwa au jazba na maji?
3. Kwanini giza lilitanda juu ya uso wa vilindi vya maji?
4. Kwanini Roho wa Mungu alitulia juu ya uso wa maji?

Nakaribisha mawazo huru tuweze kutengana wana JF.

Please huu sio uzi wa kidini.

Kiswahili kigumu sana aisee sasa kama si uzi wa kidini kinachojadiliwa ni nini?
 
Kwanza jua kwenye Biblia umeachiwa vitu vichache sana kwa ufahamu wa wengi ukifika level za juu za ufahamu kwenye dini utajua siri nyingi.
"Ukifika level za juu za ufahamu"

Unajuaje kama mtu hajafika au kafika level za juu za ufahamu? Mfano nikikwambia mimi nimefika level za juu za ufahamu unaweza kuthibitisha au kunipinga kwa hoja zipi? Na nani aliyeweka standard ya kujua hizo level za juu za ufahamu?
 
"Ukifika level za juu za ufahamu"

Unajuaje kama mtu hajafika au kafika level za juu za ufahamu? Mfano nikikwambia mimi nimefika level za juu za ufahamu unaweza kuthibitisha au kunipinga kwa hoja zipi? Na nani aliyeweka standard ya kujua hizo level za juu za ufahamu?
Inapimwa kwa madini unayotoa pili kuzijua baadhi ya siri ya vitu.
 
Kichwa maji ni wewe ambaye jambo dogo tu kujua Mungu yupo au hayupo linakushinda,
Kujua jambo unaweza hata kujua jambo la uongo.

Hata mimi naweza kusema kwamba ninajua kwamba kuna vibwengo, mazombi na Dragons 🐉 watemao moto midomoni mwao.

Lakini nisipotoa uthibitisho wa uwepo wa hao Vibwengo, mazombi na Dragons. Nitakua muongo kusema hivyo.

Sasa ili tuhakikishe na tuthibitishe hilo jambo unalolijua ni ukweli, lazima pawepo ushahidi na uthibitisho.

Kujua Mungu yupo bila uthibitisho ni uongo.

Leta uthibitisho wa uwepo wa huyo Mungu ili tuhakikishe kweli Mungu huyo yupo.
Hayo mengine ndio utayaweza sasa??
 
Back
Top Bottom