Hoja fikirishi: Nini kilitokea kabla ya Mwanzo 1:2

Hoja fikirishi: Nini kilitokea kabla ya Mwanzo 1:2

Dunia imewahi kaliwa na watu kabla ya binadamu.
Hata hii itapita watakuja wengine.
Na dunia ni sehemu tu ya uumbaji kati ya sayari zingine mamilioni ambazo Bado hazijagundulika na wanasayansi wa kibinadamu
Hoja yako ungeiweka kithiolojia ingekuwa na mantiki
 
Actually!
Nikiri kwamba Hii Mada Inachanganya Sana na Sidhani kama Ni Mada salama Sana kwa Wakristo kwa Sababu inaweza Ikaibua Vitu ambavyo hawakuwahi kuviamini kama vipo.. Ila Kwa wayahudi Na waislamu kwao Sio Mada Ngeni sana ila Nitaenda Kuichambua Kwa mapana Yake so tutaelewana vizuri..

Cautions!
Ninaweza Kuandika Maelezo marefu Sana So ili kuelewa Every single dot inabidi Kuyasoma Yote..na ieleweke kuwa Sipo kutetea ,Kutangaza au Kuidogosha/Kuitukana Imani ya Mtu yoyote, I am just here to explore Kijielimu nilicho nacho kwa Wote ili tupate kauelewa niliko nako..


So let me start!..
Waislamu na Wayahudi Wanakubaliana kwamba Kabla ya uumbaji (Ambao tunaufahamu) ulikuwepo Uumbaji mwingine ambao Ulipitia Upotevu na Ukaadhibiwa..

Waislamu wanaamini Kuwa kabla ya Binadamu Waliumbwa Majini kwanza Na Majini walipofanya Dhambi na Uharibifu waliadhibiwa Ikiwa ni pamoja na Kufukuzwa Duniani (Kutoikalia Dunia)..

Wayahudi wanaamini Uumbaji Ule uliharibiwa na baada ya Kuharibiwa Binadamu wa kwanza aliyefanya Dhambi "Lilith" alisababisha Dunia iharibiwe na Baadae Kutokana na Hasira aliyokuwa nayo Mungu aliharibu kila kitu ila baadae ilibidi aweke kila kitu sawa..

ili kujibu Mada hizo kwa Facts tutapitia 3 Concepts..
  • Textual Analysis of Genesis (Uchambuzi wa Andiko)
  • Agreed Theorism
  • Esoteric Knowlege and Kaballah

Textual Analysis of Genesis (Uchambuzi wa Andiko).

Tuanze na Andiko lenyewe lenye Utata Bere'shit (Mwanzo) 1:1-2

בְּרֵאשִׁית בָּרָא אֱלֹהִים אֵת הַשָּׁמַיִם וְאֵת הָאָרֶץ׃
וְהָאָרֶץ הָיְתָה תֹהוּ וָבֹהוּ וְחֹשֶׁךְ עַל פְּנֵי תְהוֹם וְרוּחַ אֱלֹהִים מְרַחֶפֶת עַל פְּנֵי הַמָּיִם׃

Inatamkika Hivi:

Bereshit bara Elohim et hashamayim ve'et ha'aretz.
Veha'aretz hayetah tohu vaBohu vechoshech al penei tehom veruach Elohim merahefet al penei hamayim.


Tafiri Iliyorasimishwa (Ambayo baadaye nitaielezea)

"Hapo mwanzo, Mungu aliziumba mbingu na dunia
Nayo dunia ilikuwa ukiwa, tena utupu; giza lilikuwa juu ya uso wa vilindi vya maji, na Roho wa Mungu alikuwa akitanda juu ya uso wa maji."


Neno Nililolowekea Alama Nyekundu Ndo msingi Hasa wa Kuchunguza Andiko hilo Ili kupata maana Halisia..
Neno Tohu vaBohu" (תֹהוּ וָבֹהוּ), Ukilingalia Kwa haraka haraka Unaweza Ukasema Ni neno Moja tu ila Hilo ndio neno ambalo Linaweza Kubadili Asili ya Uumbaji wote au kupreserve aslili ya Uumbaji kama Wakristo wanavyoiamini

Neno Tohu (תֹהוּ ) lina maana zifuatazo confused State, chaos au Chaotic state pia emptiness na formlessness..

Pia Va humaanisha "na" na Hiyo Bohu humaanisha Void au Emptiness..

Sasa je Yanaweza Kutafsiriwa Vipi unaweza Ukasema Kuwa Ni Chaotic Void (Vurugu Iliyotawala, Vurugu iliyozidi, Machafuko yaliyokithiri au Utupu wenye machafuko au Jangwa la Machafuko)..

Kingine Tafsiri ya Neno Roho wa Mungu haijakaa Poa kwa sababu Neno ve Ruach (וְרוּחַ)halimaanishi roho Peke yake Linamaanisha Upepo Mkali pia "Tungeweza Kusema Upepo mkali Kutoka kwa Mungu" yaani "veruach Elohim"

So Tukiacha maana Halisi tuliyoambiwa Pia Ukiangalia maana Moja moja Unaweza ukaaandila Tena Hicho kipande cha Aya Hivi.. (Mwanzo 1:1-2

"Hapo mwanzo, Mungu aliziumba mbingu na dunia
Nayo dunia ilikuwa kwenye Machafuko na ukiwa, tena utupu; giza lilikuwa juu ya uso wa vilindi vya maji, na Upepo Mkali kutoka kwa Mungu ulikuwa ukitanda juu ya uso wa maji."


Umeona Tulivyofanya Tafsiri Ya maneno mawili Maana Ya Andilo Ilivyobadilika?

Kwahiyo kwa Kusema Kuwa Dunia Iliumbwa Ukiwa Na Tupu Wayahudi na Watu wa Esoteric wanakataa hiyo kitu..
Tusome kwenye..Isaya 45:18

"Maana Bwana, aliyeziumba mbingu, asema hivi; Yeye ni Mungu; ndiye aliyeiumba dunia na kuifanya; ndiye aliyeifanya imara; hakuiumba ukiwa......."

Na Pia hata Tukisoma Kwenye 2 Petro 3:5-6, tunasoma:

"Kwa kuwa wanapuuza jambo hili kwa hiari yao, ya kuwa zamani za kale kulikuweko mbingu pamoja na nchi iliyotokana na maji, na kwa maji ..."


Wanatheolojia Wengi sana Wanaamini kwamba Mungu aliumba Kawaida Ila Baadaye Kukatokea Tatizo mahali Vita na Baadaye Dunia Hiyo ikaangamizwa na Baadaye Mungu akaanza Kuumba Mtu atakayeweza Kuitunza na Kuilinda..

Na wengine wanasema Kwamba Hata kitabu cha Yeremia 4:23-26 Haikuwa Tabiri wa Unabii Bali ilikuwa Ni Historia Ya Ilivyotokea Baada ya Uuambaji wa kwanza...

Yeremia 4:23-26
"23 Naliiangalia nchi, na tazama, ilikuwa ukiwa, haina watu; naliziangalia mbingu, nazo zilikuwa hazina nuru.

24 Naliiangalia milima, na tazama, ilitetemeka, na milima yote ilisogea huko na huko.

25 Nikaangalia, na tazama, hapakuwa na mtu hata mmoja, na ndege wote wa angani wamekwenda zao.

26 Nikaangalia, na tazama, shamba lililozaa sana (Edeni) limekuwa ukiwa, na miji yake yote ilikuwa imebomoka mbele za Bwana, na mbele za hasira yake kali."


Na Hiyo Verse Ndo inaelezea zaidi Kuhusu Mwanzo 1:2 tunayoitafuta Sasa..

Swali Ni kwamba Nini Kilifanyika Baada ya Uumbaji na Hapo Ndo inakuja 2nd concepts Inaitwa Gap Theory
images (9).jpeg

Screenshot_20250302_110754_Chrome.jpg


Sasa Hapa ndo Kuna Utata Wote..

Ngoja kwanza Nipumzike 😀😀
min -me | Mangi Meno | Aaliyyah

Kuna swali?
 
Actually!
Nikiri kwamba Hii Mada Inachanganya Sana na Sidhani kama Ni Mada salama Sana kwa Wakristo kwa Sababu inaweza Ikaibua Vitu ambavyo hawakuwahi kuviamini kama vipo.. Ila Kwa wayahudi Na waislamu kwao Sio Mada Ngeni sana ila Nitaenda Kuichambua Kwa mapana Yake so tutaelewana vizuri..

Cautions!
Ninaweza Kuandika Maelezo marefu Sana So ili kuelewa Every single dot inabidi Kuyasoma Yote..na ieleweke kuwa Sipo kutetea ,Kutangaza au Kuidogosha/Kuitukana Imani ya Mtu yoyote, I am just here to explore Kijielimu nilicho nacho kwa Wote ili tupate kauelewa niliko nako..


So let me start!..
Waislamu na Wayahudi Wanakubaliana kwamba Kabla ya uumbaji (Ambao tunaufahamu) ulikuwepo Uumbaji mwingine ambao Ulipitia Upotevu na Ukaadhibiwa..

Waislamu wanaamini Kuwa kabla ya Binadamu Waliumbwa Majini kwanza Na Majini walipofanya Dhambi na Uharibifu waliadhibiwa Ikiwa ni pamoja na Kufukuzwa Duniani (Kutoikalia Dunia)..

Wayahudi wanaamini Uumbaji Ule uliharibiwa na baada ya Kuharibiwa Binadamu wa kwanza aliyefanya Dhambi "Lilith" alisababisha Dunia iharibiwe na Baadae Kutokana na Hasira aliyokuwa nayo Mungu aliharibu kila kitu ila baadae ilibidi aweke kila kitu sawa..

ili kujibu Mada hizo kwa Facts tutapitia 3 Concepts..
  • Textual Analysis of Genesis (Uchambuzi wa Andiko)
  • Agreed Theorism
  • Esoteric Knowlege and Kaballah

Textual Analysis of Genesis (Uchambuzi wa Andiko).

Tuanze na Andiko lenyewe lenye Utata Bere'shit (Mwanzo) 1:1-2

בְּרֵאשִׁית בָּרָא אֱלֹהִים אֵת הַשָּׁמַיִם וְאֵת הָאָרֶץ׃
וְהָאָרֶץ הָיְתָה תֹהוּ וָבֹהוּ וְחֹשֶׁךְ עַל פְּנֵי תְהוֹם וְרוּחַ אֱלֹהִים מְרַחֶפֶת עַל פְּנֵי הַמָּיִם׃

Inatamkika Hivi:

Bereshit bara Elohim et hashamayim ve'et ha'aretz.
Veha'aretz hayetah tohu vaBohu vechoshech al penei tehom veruach Elohim merahefet al penei hamayim.


Tafiri Iliyorasimishwa (Ambayo baadaye nitaielezea)

"Hapo mwanzo, Mungu aliziumba mbingu na dunia
Nayo dunia ilikuwa ukiwa, tena utupu; giza lilikuwa juu ya uso wa vilindi vya maji, na Roho wa Mungu alikuwa akitanda juu ya uso wa maji."


Neno Nililolowekea Alama Nyekundu Ndo msingi Hasa wa Kuchunguza Andiko hilo Ili kupata maana Halisia..
Neno Tohu vaBohu" (תֹהוּ וָבֹהוּ), Ukilingalia Kwa haraka haraka Unaweza Ukasema Ni neno Moja tu ila Hilo ndio neno ambalo Linaweza Kubadili Asili ya Uumbaji wote au kupreserve aslili ya Uumbaji kama Wakristo wanavyoiamini

Neno Tohu (תֹהוּ ) lina maana zifuatazo confused State, chaos au Chaotic state pia emptiness na formlessness..

Pia Va humaanisha "na" na Hiyo Bohu humaanisha Void au Emptiness..

Sasa je Yanaweza Kutafsiriwa Vipi unaweza Ukasema Kuwa Ni Chaotic Void (Vurugu Iliyotawala, Vurugu iliyozidi, Machafuko yaliyokithiri au Utupu wenye machafuko au Jangwa la Machafuko)..

Kingine Tafsiri ya Neno Roho wa Mungu haijakaa Poa kwa sababu Neno ve Ruach (וְרוּחַ)halimaanishi roho Peke yake Linamaanisha Upepo Mkali pia "Tungeweza Kusema Upepo mkali Kutoka kwa Mungu" yaani "veruach Elohim"

So Tukiacha maana Halisi tuliyoambiwa Pia Ukiangalia maana Moja moja Unaweza ukaaandila Tena Hicho kipande cha Aya Hivi.. (Mwanzo 1:1-2

"Hapo mwanzo, Mungu aliziumba mbingu na dunia
Nayo dunia ilikuwa kwenye Machafuko na ukiwa, tena utupu; giza lilikuwa juu ya uso wa vilindi vya maji, na Upepo Mkali kutoka kwa Mungu ulikuwa ukitanda juu ya uso wa maji."


Umeona Tulivyofanya Tafsiri Ya maneno mawili Maana Ya Andilo Ilivyobadilika?

Kwahiyo kwa Kusema Kuwa Dunia Iliumbwa Ukiwa Na Tupu Wayahudi na Watu wa Esoteric wanakataa hiyo kitu..
Tusome kwenye..Isaya 45:18

"Maana Bwana, aliyeziumba mbingu, asema hivi; Yeye ni Mungu; ndiye aliyeiumba dunia na kuifanya; ndiye aliyeifanya imara; hakuiumba ukiwa......."

Na Pia hata Tukisoma Kwenye 2 Petro 3:5-6, tunasoma:

"Kwa kuwa wanapuuza jambo hili kwa hiari yao, ya kuwa zamani za kale kulikuweko mbingu pamoja na nchi iliyotokana na maji, na kwa maji ..."


Wanatheolojia Wengi sana Wanaamini kwamba Mungu aliumba Kawaida Ila Baadaye Kukatokea Tatizo mahali Vita na Baadaye Dunia Hiyo ikaangamizwa na Baadaye Mungu akaanza Kuumba Mtu atakayeweza Kuitunza na Kuilinda..

Na wengine wanasema Kwamba Hata kitabu cha Yeremia 4:23-26 Haikuwa Tabiri wa Unabii Bali ilikuwa Ni Historia Ya Ilivyotokea Baada ya Uuambaji wa kwanza...

Yeremia 4:23-26
"23 Naliiangalia nchi, na tazama, ilikuwa ukiwa, haina watu; naliziangalia mbingu, nazo zilikuwa hazina nuru.

24 Naliiangalia milima, na tazama, ilitetemeka, na milima yote ilisogea huko na huko.

25 Nikaangalia, na tazama, hapakuwa na mtu hata mmoja, na ndege wote wa angani wamekwenda zao.


26 Nikaangalia, na tazama, shamba lililozaa sana (Edeni) limekuwa ukiwa, na miji yake yote ilikuwa imebomoka mbele za Bwana, na mbele za hasira yake kali."


Na Hiyo Verse Ndo inaelezea zaidi Kuhusu Mwanzo 1:2 tunayoitafuta Sasa..

Swali Ni kwamba Nini Kilifanyika Baada ya Uumbaji na Hapo Ndo inakuja 2nd concepts Inaitwa Gap Theory View attachment 3255592
View attachment 3255593


Sasa Hapa ndo Kuna Utata Wote..

Ngoja kwanza Nipumzike 😀😀
min -me | Mangi Meno | Aaliyyah

Kuna swali?
eleza na mwanzo wa andiko lako najua sio utafiti binafsi
 
Usinipangie cha kuamini.
Hupangiwi cha kuamini.

Kuamini ni uhuru wako wa kikatiba kabisa.

Hata ukiamua kuamini mawe, milima, mapango, majabali makubwa, makaburi, miti mikubwa au chochote kile, you are free to do so.

Lakini ukianza kudai kwamba imani yako ina ukweli lazima uthibitishe hilo.
 
Dunia ni project ya Mungu.
Kabla ya kusema Dunia ni project ya Mungu, Kwanza thibitisha uwepo wa huyo Mungu na ueleze huyo Mungu alitoka wapi au aliumbwa na nani?

Kusema tu, Dunia ni project ya Mungu bila kuthibitisha uwepo wa huyo Mungu ni kufanya logical fallacy ya non-sequitur.

Una unganisha vitu viwili tofauti visivyo na uhusiano wowote ule, kuunda hitimisho potofu.
 
eleza na mwanzo wa andiko lako najua sio utafiti binafsi
Maybe Hunijui Vizuri Ninachokiandika Ni utafiti Binafsi..
Na Nimekuwa Nikifanya Utafiti kuhusu Mambo ya Kiroho Pengine kuliko hata Umri wako..

Nimeanza Kufanya Utafiti mwaka 1999..
Hata Nilipokuwa Mwanatholojia Bado Nilikuwa Nikifanya Utafiti, Nilipokuwa Myahudi Bado nilifanya Utafiti Na Nilipokuwa Muislamu bado nilifanya Utafiti..

Itoshe Kusema Watu wa Aina Yako wana Mengi ya Kujifunza ila Kama Una swali Unakaribishwa
 
Actually!
Nikiri kwamba Hii Mada Inachanganya Sana na Sidhani kama Ni Mada salama Sana kwa Wakristo kwa Sababu inaweza Ikaibua Vitu ambavyo hawakuwahi kuviamini kama vipo.. Ila Kwa wayahudi Na waislamu kwao Sio Mada Ngeni sana ila Nitaenda Kuichambua Kwa mapana Yake so tutaelewana vizuri..

Cautions!
Ninaweza Kuandika Maelezo marefu Sana So ili kuelewa Every single dot inabidi Kuyasoma Yote..na ieleweke kuwa Sipo kutetea ,Kutangaza au Kuidogosha/Kuitukana Imani ya Mtu yoyote, I am just here to explore Kijielimu nilicho nacho kwa Wote ili tupate kauelewa niliko nako..


So let me start!..
Waislamu na Wayahudi Wanakubaliana kwamba Kabla ya uumbaji (Ambao tunaufahamu) ulikuwepo Uumbaji mwingine ambao Ulipitia Upotevu na Ukaadhibiwa..

Waislamu wanaamini Kuwa kabla ya Binadamu Waliumbwa Majini kwanza Na Majini walipofanya Dhambi na Uharibifu waliadhibiwa Ikiwa ni pamoja na Kufukuzwa Duniani (Kutoikalia Dunia)..

Wayahudi wanaamini Uumbaji Ule uliharibiwa na baada ya Kuharibiwa Binadamu wa kwanza aliyefanya Dhambi "Lilith" alisababisha Dunia iharibiwe na Baadae Kutokana na Hasira aliyokuwa nayo Mungu aliharibu kila kitu ila baadae ilibidi aweke kila kitu sawa..

ili kujibu Mada hizo kwa Facts tutapitia 3 Concepts..
  • Textual Analysis of Genesis (Uchambuzi wa Andiko)
  • Agreed Theorism
  • Esoteric Knowlege and Kaballah

Textual Analysis of Genesis (Uchambuzi wa Andiko).

Tuanze na Andiko lenyewe lenye Utata Bere'shit (Mwanzo) 1:1-2

בְּרֵאשִׁית בָּרָא אֱלֹהִים אֵת הַשָּׁמַיִם וְאֵת הָאָרֶץ׃
וְהָאָרֶץ הָיְתָה תֹהוּ וָבֹהוּ וְחֹשֶׁךְ עַל פְּנֵי תְהוֹם וְרוּחַ אֱלֹהִים מְרַחֶפֶת עַל פְּנֵי הַמָּיִם׃

Inatamkika Hivi:

Bereshit bara Elohim et hashamayim ve'et ha'aretz.
Veha'aretz hayetah tohu vaBohu vechoshech al penei tehom veruach Elohim merahefet al penei hamayim.


Tafiri Iliyorasimishwa (Ambayo baadaye nitaielezea)

"Hapo mwanzo, Mungu aliziumba mbingu na dunia
Nayo dunia ilikuwa ukiwa, tena utupu; giza lilikuwa juu ya uso wa vilindi vya maji, na Roho wa Mungu alikuwa akitanda juu ya uso wa maji."


Neno Nililolowekea Alama Nyekundu Ndo msingi Hasa wa Kuchunguza Andiko hilo Ili kupata maana Halisia..
Neno Tohu vaBohu" (תֹהוּ וָבֹהוּ), Ukilingalia Kwa haraka haraka Unaweza Ukasema Ni neno Moja tu ila Hilo ndio neno ambalo Linaweza Kubadili Asili ya Uumbaji wote au kupreserve aslili ya Uumbaji kama Wakristo wanavyoiamini

Neno Tohu (תֹהוּ ) lina maana zifuatazo confused State, chaos au Chaotic state pia emptiness na formlessness..

Pia Va humaanisha "na" na Hiyo Bohu humaanisha Void au Emptiness..

Sasa je Yanaweza Kutafsiriwa Vipi unaweza Ukasema Kuwa Ni Chaotic Void (Vurugu Iliyotawala, Vurugu iliyozidi, Machafuko yaliyokithiri au Utupu wenye machafuko au Jangwa la Machafuko)..

Kingine Tafsiri ya Neno Roho wa Mungu haijakaa Poa kwa sababu Neno ve Ruach (וְרוּחַ)halimaanishi roho Peke yake Linamaanisha Upepo Mkali pia "Tungeweza Kusema Upepo mkali Kutoka kwa Mungu" yaani "veruach Elohim"

So Tukiacha maana Halisi tuliyoambiwa Pia Ukiangalia maana Moja moja Unaweza ukaaandila Tena Hicho kipande cha Aya Hivi.. (Mwanzo 1:1-2

"Hapo mwanzo, Mungu aliziumba mbingu na dunia
Nayo dunia ilikuwa kwenye Machafuko na ukiwa, tena utupu; giza lilikuwa juu ya uso wa vilindi vya maji, na Upepo Mkali kutoka kwa Mungu ulikuwa ukitanda juu ya uso wa maji."


Umeona Tulivyofanya Tafsiri Ya maneno mawili Maana Ya Andilo Ilivyobadilika?

Kwahiyo kwa Kusema Kuwa Dunia Iliumbwa Ukiwa Na Tupu Wayahudi na Watu wa Esoteric wanakataa hiyo kitu..
Tusome kwenye..Isaya 45:18

"Maana Bwana, aliyeziumba mbingu, asema hivi; Yeye ni Mungu; ndiye aliyeiumba dunia na kuifanya; ndiye aliyeifanya imara; hakuiumba ukiwa......."

Na Pia hata Tukisoma Kwenye 2 Petro 3:5-6, tunasoma:

"Kwa kuwa wanapuuza jambo hili kwa hiari yao, ya kuwa zamani za kale kulikuweko mbingu pamoja na nchi iliyotokana na maji, na kwa maji ..."


Wanatheolojia Wengi sana Wanaamini kwamba Mungu aliumba Kawaida Ila Baadaye Kukatokea Tatizo mahali Vita na Baadaye Dunia Hiyo ikaangamizwa na Baadaye Mungu akaanza Kuumba Mtu atakayeweza Kuitunza na Kuilinda..

Na wengine wanasema Kwamba Hata kitabu cha Yeremia 4:23-26 Haikuwa Tabiri wa Unabii Bali ilikuwa Ni Historia Ya Ilivyotokea Baada ya Uuambaji wa kwanza...

Yeremia 4:23-26
"23 Naliiangalia nchi, na tazama, ilikuwa ukiwa, haina watu; naliziangalia mbingu, nazo zilikuwa hazina nuru.

24 Naliiangalia milima, na tazama, ilitetemeka, na milima yote ilisogea huko na huko.

25 Nikaangalia, na tazama, hapakuwa na mtu hata mmoja, na ndege wote wa angani wamekwenda zao.

26 Nikaangalia, na tazama, shamba lililozaa sana (Edeni) limekuwa ukiwa, na miji yake yote ilikuwa imebomoka mbele za Bwana, na mbele za hasira yake kali."


Na Hiyo Verse Ndo inaelezea zaidi Kuhusu Mwanzo 1:2 tunayoitafuta Sasa..

Swali Ni kwamba Nini Kilifanyika Baada ya Uumbaji na Hapo Ndo inakuja 2nd concepts Inaitwa Gap Theory View attachment 3255592
View attachment 3255593


Sasa Hapa ndo Kuna Utata Wote..

Ngoja kwanza Nipumzike 😀😀
min -me | Mangi Meno | Aaliyyah

Kuna swali?
Asante mkuu pumzika tunakusubiri
 
Kabla ya kusema Dunia ni project ya Mungu, Kwanza thibitisha uwepo wa huyo Mungu na ueleze huyo Mungu alitoka wapi au aliumbwa na nani?

Kusema tu, Dunia ni project ya Mungu bila kuthibitisha uwepo wa huyo Mungu ni kufanya logical fallacy ya non-sequitur.

Una unganisha vitu viwili tofauti visivyo na uhusiano wowote ule, kuunda hitimisho potofu.
Kuamini kuwa Mungu hayupo pia ni IMANI kama ilivyo kuamini kuwa Yupo.

Wanaoamini yupo wana sababu zao na wanaoamini hayupo wanazo zao, kila mtu aishi na imani yake, tusichoshane kwa maswali mengi.
 
Maybe Hunijui Vizuri Ninachokiandika Ni utafiti Binafsi..
Na Nimekuwa Nikifanya Utafiti kuhusu Mambo ya Kiroho Pengine kuliko hata Umri wako..

Nimeanza Kufanya Utafiti mwaka 1999..
Hata Nilipokuwa Mwanatholojia Bado Nilikuwa Nikifanya Utafiti, Nilipokuwa Myahudi Bado nilifanya Utafiti Na Nilipokuwa Muislamu bado nilifanya Utafiti..

Itoshe Kusema Watu wa Aina Yako wana Mengi ya Kujifunza ila Kama Una swali Unakaribishwa
Naona umejimilikisha uzee kuwa wengine ni watoto😂
 
Naona umejimilikisha uzee kuwa wengine ni watoto😂
Hapana Kama Umesoma Sentensi yangu its more bit of Probabilistic Logic ndo maana nimetumia Neno "Pengine" ambalo its more of Uncertain..

Ila Lets Stick kwenye Hoja Nakukaribisha kwa Swali kama Unalo au Nyongeza Nijifunze zaidi
 
Kwanza jua kwenye Biblia umeachiwa vitu vichache sana kwa ufahamu wa wengi ukifika level za juu za ufahamu kwenye dini utajua siri nyingi.
Hakuna siri kwenye dini, jibuni maswali ya waumini wenu.
 
Kuamini kuwa Mungu hayupo pia ni IMANI kama ilivyo kuamini kuwa Yupo.
Mungu haaminiwi hayupo.

Mimi siamini kwamba Mungu hayupo.

Mimi napinga madai yenu ya kusema Mungu yupo kwa kusema hayupo.
Wanaoamini yupo wana sababu zao na wanaoamini hayupo wanazo zao, kila mtu aishi na imani yake, tusichoshane kwa maswali mengi.
Mimi siamini kwenye kuamini.

Sina imani ya aina yeyote ile.

Sihitaji kuamini.

Nahitaji kujua kwa uhakika, ushahidi na uthibitisho.
 
Actually!
Nikiri kwamba Hii Mada Inachanganya Sana na Sidhani kama Ni Mada salama Sana kwa Wakristo kwa Sababu inaweza Ikaibua Vitu ambavyo hawakuwahi kuviamini kama vipo.. Ila Kwa wayahudi Na waislamu kwao Sio Mada Ngeni sana ila Nitaenda Kuichambua Kwa mapana Yake so tutaelewana vizuri..

Cautions!
Ninaweza Kuandika Maelezo marefu Sana So ili kuelewa Every single dot inabidi Kuyasoma Yote..na ieleweke kuwa Sipo kutetea ,Kutangaza au Kuidogosha/Kuitukana Imani ya Mtu yoyote, I am just here to explore Kijielimu nilicho nacho kwa Wote ili tupate kauelewa niliko nako..


So let me start!..
Waislamu na Wayahudi Wanakubaliana kwamba Kabla ya uumbaji (Ambao tunaufahamu) ulikuwepo Uumbaji mwingine ambao Ulipitia Upotevu na Ukaadhibiwa..

Waislamu wanaamini Kuwa kabla ya Binadamu Waliumbwa Majini kwanza Na Majini walipofanya Dhambi na Uharibifu waliadhibiwa Ikiwa ni pamoja na Kufukuzwa Duniani (Kutoikalia Dunia)..

Wayahudi wanaamini Uumbaji Ule uliharibiwa na baada ya Kuharibiwa Binadamu wa kwanza aliyefanya Dhambi "Lilith" alisababisha Dunia iharibiwe na Baadae Kutokana na Hasira aliyokuwa nayo Mungu aliharibu kila kitu ila baadae ilibidi aweke kila kitu sawa..

ili kujibu Mada hizo kwa Facts tutapitia 3 Concepts..
  • Textual Analysis of Genesis (Uchambuzi wa Andiko)
  • Agreed Theorism
  • Esoteric Knowlege and Kaballah

Textual Analysis of Genesis (Uchambuzi wa Andiko).

Tuanze na Andiko lenyewe lenye Utata Bere'shit (Mwanzo) 1:1-2

בְּרֵאשִׁית בָּרָא אֱלֹהִים אֵת הַשָּׁמַיִם וְאֵת הָאָרֶץ׃
וְהָאָרֶץ הָיְתָה תֹהוּ וָבֹהוּ וְחֹשֶׁךְ עַל פְּנֵי תְהוֹם וְרוּחַ אֱלֹהִים מְרַחֶפֶת עַל פְּנֵי הַמָּיִם׃

Inatamkika Hivi:

Bereshit bara Elohim et hashamayim ve'et ha'aretz.
Veha'aretz hayetah tohu vaBohu vechoshech al penei tehom veruach Elohim merahefet al penei hamayim.


Tafiri Iliyorasimishwa (Ambayo baadaye nitaielezea)

"Hapo mwanzo, Mungu aliziumba mbingu na dunia
Nayo dunia ilikuwa ukiwa, tena utupu; giza lilikuwa juu ya uso wa vilindi vya maji, na Roho wa Mungu alikuwa akitanda juu ya uso wa maji."


Neno Nililolowekea Alama Nyekundu Ndo msingi Hasa wa Kuchunguza Andiko hilo Ili kupata maana Halisia..
Neno Tohu vaBohu" (תֹהוּ וָבֹהוּ), Ukilingalia Kwa haraka haraka Unaweza Ukasema Ni neno Moja tu ila Hilo ndio neno ambalo Linaweza Kubadili Asili ya Uumbaji wote au kupreserve aslili ya Uumbaji kama Wakristo wanavyoiamini

Neno Tohu (תֹהוּ ) lina maana zifuatazo confused State, chaos au Chaotic state pia emptiness na formlessness..

Pia Va humaanisha "na" na Hiyo Bohu humaanisha Void au Emptiness..

Sasa je Yanaweza Kutafsiriwa Vipi unaweza Ukasema Kuwa Ni Chaotic Void (Vurugu Iliyotawala, Vurugu iliyozidi, Machafuko yaliyokithiri au Utupu wenye machafuko au Jangwa la Machafuko)..

Kingine Tafsiri ya Neno Roho wa Mungu haijakaa Poa kwa sababu Neno ve Ruach (וְרוּחַ)halimaanishi roho Peke yake Linamaanisha Upepo Mkali pia "Tungeweza Kusema Upepo mkali Kutoka kwa Mungu" yaani "veruach Elohim"

So Tukiacha maana Halisi tuliyoambiwa Pia Ukiangalia maana Moja moja Unaweza ukaaandila Tena Hicho kipande cha Aya Hivi.. (Mwanzo 1:1-2

"Hapo mwanzo, Mungu aliziumba mbingu na dunia
Nayo dunia ilikuwa kwenye Machafuko na ukiwa, tena utupu; giza lilikuwa juu ya uso wa vilindi vya maji, na Upepo Mkali kutoka kwa Mungu ulikuwa ukitanda juu ya uso wa maji."


Umeona Tulivyofanya Tafsiri Ya maneno mawili Maana Ya Andilo Ilivyobadilika?

Kwahiyo kwa Kusema Kuwa Dunia Iliumbwa Ukiwa Na Tupu Wayahudi na Watu wa Esoteric wanakataa hiyo kitu..
Tusome kwenye..Isaya 45:18

"Maana Bwana, aliyeziumba mbingu, asema hivi; Yeye ni Mungu; ndiye aliyeiumba dunia na kuifanya; ndiye aliyeifanya imara; hakuiumba ukiwa......."

Na Pia hata Tukisoma Kwenye 2 Petro 3:5-6, tunasoma:

"Kwa kuwa wanapuuza jambo hili kwa hiari yao, ya kuwa zamani za kale kulikuweko mbingu pamoja na nchi iliyotokana na maji, na kwa maji ..."


Wanatheolojia Wengi sana Wanaamini kwamba Mungu aliumba Kawaida Ila Baadaye Kukatokea Tatizo mahali Vita na Baadaye Dunia Hiyo ikaangamizwa na Baadaye Mungu akaanza Kuumba Mtu atakayeweza Kuitunza na Kuilinda..

Na wengine wanasema Kwamba Hata kitabu cha Yeremia 4:23-26 Haikuwa Tabiri wa Unabii Bali ilikuwa Ni Historia Ya Ilivyotokea Baada ya Uuambaji wa kwanza...

Yeremia 4:23-26
"23 Naliiangalia nchi, na tazama, ilikuwa ukiwa, haina watu; naliziangalia mbingu, nazo zilikuwa hazina nuru.

24 Naliiangalia milima, na tazama, ilitetemeka, na milima yote ilisogea huko na huko.

25 Nikaangalia, na tazama, hapakuwa na mtu hata mmoja, na ndege wote wa angani wamekwenda zao.


26 Nikaangalia, na tazama, shamba lililozaa sana (Edeni) limekuwa ukiwa, na miji yake yote ilikuwa imebomoka mbele za Bwana, na mbele za hasira yake kali."


Na Hiyo Verse Ndo inaelezea zaidi Kuhusu Mwanzo 1:2 tunayoitafuta Sasa..

Swali Ni kwamba Nini Kilifanyika Baada ya Uumbaji na Hapo Ndo inakuja 2nd concepts Inaitwa Gap Theory View attachment 3255592
View attachment 3255593


Sasa Hapa ndo Kuna Utata Wote..

Ngoja kwanza Nipumzike 😀😀
min -me | Mangi Meno | Aaliyyah

Kuna swali?
Big Up kwako. Kimsingi nilikiwa nalijua hili na nilikiwa nataka nipate nyongeza ya madini toka kwa wadau kama nyie. Hongera umelieleza vizuri mkuu.

Kimsingi wanazuoni na wanatheologia wa kikristo wamegawanyika kwenye makundi 2 tokana na Kifungu hiko cha Mwanzo 1:2
Kundi la kwanza ni kama mimi ambao tunaamini kulikuwa na uumbaji wa kwanza kabla yetu na baada ya UASI, Vurugu na chaos Mungu alikifuta kizazi kile cha wakati ule kwa maji na ndio maana Roho wa Mungu alipewa jukumu la kuilinda dunia.

Nilisikiliza ushuhuda mmoja wa miaka 990 katika ufalme wa giza toka kwa mama mmoja mnigeria anaitwa Funimilayo huko anaeleza namna gani alifanya kazi kwenye ufalme wa giza. Kuna sehemu anaadithia "MAPEPO YANASEMA YALIKUWEPO MIAKA NA MIAKA DUNIANI WAKATI DUNIA IKIWA GIZA NA IMEZINGIRWA NA MAJI. WANAJUA YOTE KUHUSU MUNGU NA UUMBAJI NA WAKATI MUNGU ANAUMBA VYOTE WALIKUWEPO NA WALISHUHUDIA JAPO HAWAJAJUA SIRI YA PUMZI YA AMBAYO MUNGU ALIMPULIZIA MWANADAMU WAO WANADAI HII DUNIA NI YAO NA WAO NDIO WAMILIKI NA SIO SISI WANADAMU WA SASA"

Umeandika kuhusu EZEKIEL 28:1-8 unaona akielezewa "KERUBI" aliyekuwa mtawala wa "Eden" ambaye kimsingi kwa kuwa alikuwa mmiliki wa "EDEN" alienda mdanganyifu mwanadamu aliyekabidhiwa "EDEN" aitunze kama Mwanzo 3 isemayo.

Kundi la pili la Wanazuoni na Wanatheolojia wanaamini uumbaji wa Mwanzo 1 na 2 ndio Uumbaji fresh na hakukuwa na maisha kabla yetu.

Hongera umedadavua vizuri mkuu japo hilo la uumbaji wa kwanza na kile kilichotokea hatukifundishi wala kuihubiri kwa Wakristo wachanga tutawachanganya zaidi.

Binafsi katika mambo ambayo namuombaga Mungu na hajawahi nipa jibu ni Pamoja na hilo kwamba nini kilitokea kabla ya uwepo wetu? Huwaga namuulizaga Roho wa Bwana kwanini ulitulia juu ya maji na kuilinda dunia ila sijawahi pata jibu. Naamini kuna siku nitapata jibu hilo toka kwake.
 
NITAJARIBU HOJA MOJA PEKEE;

WATAFITI NA WANA THEOLOJIA;
Mara nyingi katika kuyachimba maandiko na kutafiti nyakati za biblia, wamefanya tafiti mbalimbali ili kujiridhisha majira na nyakati ambazo vitabu mbalimbali katika biblia kuwa viliandikwa nyakati gani katika historia.

Katika utafiti huo, kitabu cha AYUBU kimewapa wakati mgumu kujua kuwa Ayubu kuwa;
  • Aliishi nyakati gani?
  • Nchi ya Usi alikoishi Ayubu ilipatikana wapi?

Kwa kukosa majibu ya maswali hayo, hawa watafiti wa maandiko wengi wao wamejaribu kwenda mbali zaidi na kuamini;
-Huenda kulikuwa na dunia au maishi mengine kabla ya sasa
- Huenda Mungu aliiangamiza dunia ya kale kabla ya hii mpya ambayo labda nchi ya Usi alipoishi Ayubu ilipatikana.

Note;
Huu ukiwa wa dunia unaoongelewa Mwanzo 1.2 huenda umetokana na kutoweshwa kwa viumbe wa dunia ya Mwanzo.

Note; nilisema najaribu
Upo sahihi. Kulikuwa na maisha kabla yetu mkuu.
 
Hatuwezi kujadili vitu vyenye logical inconsistency.

Lazima kwanza viwe kwenye logical consistency ndio vilete maana.

Ni sawa na tuanze kujadili hekaya za Abunuwasi, Esopo, kalume kenge au Alfu lela ulela.
Haya umeshinda. Hongera.
 
Huu ndo mstari ulikuwa unawapa nguvu falme za giza kwamba giza lilitangulia nuru,kulikuwa na pin kubwa sana hapo mpaka Muumba mwenyewe alipotutoa hapo.
Hahahaha, walikuwa na hoja lakini mkuu.😀😀😀
 
Back
Top Bottom