Mangi Meno
JF-Expert Member
- Jun 26, 2024
- 292
- 895
Ndio maana mkuu nimeleta kwa wadau tujadili hilo.Hapa tayari ushafanya logical contradiction.
Unasema kwamba nchi ilikuwa tupu (bila chochote).
Halafu tena unasema nchi ilizingirwa na maji na ilikuwa na giza.
Hii tayari ni logical fallacy.
Hayo maji yalitoka wapi?
Hilo giza liliumbwa na nani?
Huyo Mungu aliumbwa na nani?
Hapa tayari ushafanya logical contradiction.
Unasema kwamba nchi ilikuwa tupu (bila chochote).
Halafu tena unasema nchi ilizingirwa na maji na ilikuwa na giza.
Hii tayari ni logical fallacy.
Hayo maji yalitoka wapi?
Hilo giza liliumbwa na nani?
Huyo Mungu aliumbwa na nani?
Mhn ephen🙄Ukitaka kumtawala mtu basi mfanye kipofu kwenye mambo fulani.
Mungu ametufanya vipofu kwenye baadhi ya mambo ili atutawale.
Jamaa atakuwa muoga kinyama, karne zote yupo mafichoni.Ukitaka kumtawala mtu basi mfanye kipofu kwenye mambo fulani.
Mungu ametufanya vipofu kwenye baadhi ya mambo ili atutawale.
Nafikiri sio lengo la uzi. Kama huna cha kuchangia potezea huu uzi nenda kwenye majukwaa mengineyo mkuu.Jamaa atakuwa muoga kunyama, karne zote yupo mafichoni.
Alafu anaagiza wajumbe waje wakusanye sadaka, cha ajabu hatuoni wakimplekea hizo sadaka.
Siri tenaKwanza jua kwenye Biblia umeachiwa vitu vichache sana kwa ufahamu wa wengi ukifika level za juu za ufahamu kwenye dini utajua siri nyingi.
Nini?Mhn ephen🙄
MUNGU aliumbwa na nani? and begore Dunia kuumbwa . How was the situation. And kwa nini binadamu tuliumbwa only on earth and not other planets. Je mungu wa earth.ndo.huyo huyo.wa pluto.mars.etc?Biblia katika kitabu cha Mwanzo 1:2 inaeleza
Mwanzo 1
2 Nayo nchi ilikuwa ukiwa, tena utupu, na giza lilikuwa juu ya uso wa vilindi vya maji; Roho ya Mungu ikatulia juu ya uso wa maji.
Katika mstari huu kuna vitu vya kujiuliza ambavyo Natumai wajuzi wa haya mambo mtanisaidia?
1. Kwanini nchi ilikuwa ukiwa tena utupu?
2. Kwanini nchi ilizingirwa au jazba na maji?
3. Kwanini giza lilitanda juu ya uso wa vilindi vya maji?
4. Kwanini Roho wa Mungu alitulia juu ya uso wa maji?
Nakaribisha mawazo huru tuweze kutengana wana JF.
Please huu sio uzi wa kidini.
Dunia ina siriSiri tena
Na aliyeandika alikuwa wapiBiblia katika kitabu cha Mwanzo 1:2 inaeleza
Mwanzo 1
2 Nayo nchi ilikuwa ukiwa, tena utupu, na giza lilikuwa juu ya uso wa vilindi vya maji; Roho ya Mungu ikatulia juu ya uso wa maji.
Katika mstari huu kuna vitu vya kujiuliza ambavyo Natumai wajuzi wa haya mambo mtanisaidia?
1. Kwanini nchi ilikuwa ukiwa tena utupu?
2. Kwanini nchi ilizingirwa au jazba na maji?
3. Kwanini giza lilitanda juu ya uso wa vilindi vya maji?
4. Kwanini Roho wa Mungu alitulia juu ya uso wa maji?
Nakaribisha mawazo huru tuweze kutengana wana JF.
Please huu sio uzi wa kidini.
Huu ndo mstari ulikuwa unawapa nguvu falme za giza kwamba giza lilitangulia nuru,kulikuwa na pin kubwa sana hapo mpaka Muumba mwenyewe alipotutoa hapo.Biblia katika kitabu cha Mwanzo 1:2 inaeleza
Mwanzo 1
2 Nayo nchi ilikuwa ukiwa, tena utupu, na giza lilikuwa juu ya uso wa vilindi vya maji; Roho ya Mungu ikatulia juu ya uso wa maji.
Katika mstari huu kuna vitu vya kujiuliza ambavyo Natumai wajuzi wa haya mambo mtanisaidia?
1. Kwanini nchi ilikuwa ukiwa tena utupu?
2. Kwanini nchi ilizingirwa au jazba na maji?
3. Kwanini giza lilitanda juu ya uso wa vilindi vya maji?
4. Kwanini Roho wa Mungu alitulia juu ya uso wa maji?
Nakaribisha mawazo huru tuweze kutengana wana JF.
Please huu sio uzi wa kidini.
Kitabu cha mwanzo kimeandikwa na Mussa miaka 3500 baada.Na aliyeandika alikuwa wapi