Hoja fikirishi: Nini kilitokea kabla ya Mwanzo 1:2

Ni sawa umri wa dunia inaweza kuwa miaka hiyo ila uwepo wa sisi Binadamu wa sasa kwa kulingana na uumbaji wa Pili inaweza ikawa miaka 6000 Plus.

Ukisoma Biblia katika
Mwanzo 1
1 Hapo mwanzo Mungu aliziumba mbingu na nchi.

Hapa haionyeshi wala kusema ni lini. Haina "time frame " kwahiyo inawezekana ndio hiyo miaka kwani wanasayansi pia wanapima na miamba na kiukweli kwenye uumbaji kwa kufuata Biblia Mungu hakuumba nchi kavu ila aliyakusanya maji sehemu moja na nchi kavu ikaonekana ikiwemo na hiyo miamba.

Binafsi naungana na matokeo ya kisayansi kuhusu umri wa dunia.
 
Hujui nini maana ya imani. Unatuchosha tu na ukilaza wako.
 
Atashindaje kwa hoja za kijinga?
Usimpe ushindi azidi kuharibu wengine
This kind of fallacy is called ad hominem attack.

This fallacy occurs when, instead of addressing someone's arguments and points, You attack the person.

Umeshindwa kujibu hoja unaleta Viroja.

You are a halfwit bastard!!
 
Yeah Kuna Mengi sana Huwa najilaumu Kwanini sikwahi Kuwafundisha watu kipindi Niliwa na nafasi nzuri ya Kuwafundisha nagundua Kuwa hata watu wenyewe Bado hawapo kwenye nafasi ya Kuujua Ukweli
 
Umeshindwa kujibu hoja unaanza kufanya ad hominem attack.

Huna hoja unaleta Viroja

Wewe ndio MPUMBAVU.

Find someone of your league to parallel your mediocrity.
Mjinga tu wewe huna lolote nani kati yangu mimi na wewe kaanza lugha za kashfa??

Na kingereza chako cha kukopa unafikiri unaweza mtisha kila mtu.

Waalimu bwana, kingereza kingi hata kiatu huna.
 
Bwana mkubwa usiniharibie uzi wangu. Basi umeshinda yaishe mkuu.
Hapa ni public forum.

Ukishaweka uzi wako hapa, umeuweka public.

Mtu yeyote anaweza kuchangia chochote kwa wakati wowote.

Mimi siharibu uzi wako.

Namjibu huyo mpumbavu anayenitukana badala ya kujenga hoja, akidhani mimi siyajui matusi.
 
Hapa ni public forum.

Ukishaweka uzi wako hapa, umeuweka public.

Mtu yeyote anaweza kuchangia chochote kwa wakati wowote.

Mimi siharibu uzi wako.

Namjibu huyo mpumbavu anayenitukana badala ya kujenga hoja, akidhani mimi siyajui matusi.
Haya basi yameisha msamehe.
 

Kiswahili kigumu sana aisee sasa kama si uzi wa kidini kinachojadiliwa ni nini?
 
Kwanza jua kwenye Biblia umeachiwa vitu vichache sana kwa ufahamu wa wengi ukifika level za juu za ufahamu kwenye dini utajua siri nyingi.
"Ukifika level za juu za ufahamu"

Unajuaje kama mtu hajafika au kafika level za juu za ufahamu? Mfano nikikwambia mimi nimefika level za juu za ufahamu unaweza kuthibitisha au kunipinga kwa hoja zipi? Na nani aliyeweka standard ya kujua hizo level za juu za ufahamu?
 
Inapimwa kwa madini unayotoa pili kuzijua baadhi ya siri ya vitu.
 
Kichwa maji ni wewe ambaye jambo dogo tu kujua Mungu yupo au hayupo linakushinda,
Kujua jambo unaweza hata kujua jambo la uongo.

Hata mimi naweza kusema kwamba ninajua kwamba kuna vibwengo, mazombi na Dragons 🐉 watemao moto midomoni mwao.

Lakini nisipotoa uthibitisho wa uwepo wa hao Vibwengo, mazombi na Dragons. Nitakua muongo kusema hivyo.

Sasa ili tuhakikishe na tuthibitishe hilo jambo unalolijua ni ukweli, lazima pawepo ushahidi na uthibitisho.

Kujua Mungu yupo bila uthibitisho ni uongo.

Leta uthibitisho wa uwepo wa huyo Mungu ili tuhakikishe kweli Mungu huyo yupo.
Hayo mengine ndio utayaweza sasa??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…