Hoja fikirishi: Nini kilitokea kabla ya Mwanzo 1:2

Inapimwa kwa madini unayotoa pili kuzijua baadhi ya siri ya vitu.

Madini kwa misingi ipi? Unajua madini ni very subjective? mfano kuna watu bila kuongelea habari za wokovu bado haujatoa madini, wengine kama haujaongelea habari za mafanikio na utajiri hapa duniani bado haujatoa madini, wengine bila kuongelea ndoa bado haujatoa madini, wengine bila kugusia uponyaji na kuwaonyesha kwamba njia unayotumia inaponya bado haujatoa madini n.k

Kila mtu ana kitu anachotaka kusikia ili ajue umetoa madini so bado swali linabaki pale pake BY WHOSE STANDARDS?
 
Na Quran je nayo ni hadithi hadithi?
 
Katika engo hizo mtu layerman na wiseman utawajua tu,aliyedeep na asiye deep
 
Katika engo hizo mtu layerman na wiseman utawajua tu,aliyedeep na asiye deep
Kwa standard zipi? Vipo kama huyo unayemuona layman mwengine anamuona ni "wiseman"? Hauoni kama italeta dillema? Nataka kujua standards za kumjua huyo mtu anayetoa "madini" nani aliziweka .
 
Vitabu vyote vya kidini Biblia, Quran, The Veda, Torah, The Kojik, The Guru granth sahib or whatever. Vyote ni hadithi hadithi tu.

Havina ukweli wala uhalisia wowote ule.
Thibitisha
 
Mpak hapo haupo fit rohoni. Maswali unayujiuliza ni ya mwili, maana yake majibu utakayoyapata lazima yatakuwa na limitations tuu, uchache.

Ukijiuliza ki roho utapataa majibu yote ya mwili..hata kama ni miaka milioni imepita.

Asante
 
Siri tena
Nimeaidie kuwa sio siri...amemaanisha codes....biblia ina codes nyingi ajabu.

Na rohoni ndio kuna codes tupu.

Chukulia mfano unaota umepigwa pingu miguuni na mikononi. Wajuzi wa tafsiri wanakuambia kuwa hapo ujue mambo yako yote yashadhibitiwa na mbaya wako....yaani hautofanya kazi ya mikono ukafanikiwa, au safari, au chochote kile cha kimaendeleo.

Lakini kwenye ulimwengu wa roho, umeota tuu kuwa umepigwa pingu, au umefungea mikono na miguu.

So kila kitendo na kila kipengele kwenye ulimwengu wa roho kina maana tena sana

Sasa kwenye biblia, unaeza kuta ka kimstari kamoja tuu kumbe kakawa na maana nzito ambayo tafsiri yake ukaandika vitabu na vitabu.

Happ kwenye dunia kuwa ukiwa na utupu, niliwahi kusoma sehemu tafsiri yake, (na imeelezewa kwenye isaya hamsini na ngapi sijui...sikumbuki vizuri) kuwa dunia iliwahi kukaliwa na watu wengine na kuiharibu vibayavibaya yaani...

So process za hapo mwanzo moja ni mamilioni ya miaka kupita.

Na ni nguku kujua zaidi mambo mengine kwa sababu uandishi wa biblia ni kwa aajili ya kumtukuza Mungu pekee, na sio wanadamu, mizimu, majini, wala shetani.

So shika hili. Kila kilichoandikwa kwenye Biblia ni kwa ajili ya Kumtukuza Mungu na ukuu wake...na sio Mwanadamu. Sanasana mwanadamu amepewa nafasi kuonesha jinsi anavyopendwa na Mungu...basi
 
MUNGU aliumbwa na nani? and begore Dunia kuumbwa . How was the situation. And kwa nini binadamu tuliumbwa only on earth and not other planets. Je mungu wa earth.ndo.huyo huyo.wa pluto.mars.etc?
Mungu kaumba ulimwengu mzima. Wewe mpaka sasa unajua dunia na visayari vichache.

Hata shetani ni wa ulimwengu mzima, wewe unamjua shetani wa hapa duniani, haujakutana na wa andromeda, wala far side of the universe hukooo.
 
Upo sahihi, umejaribu vyema. Viukbe wa mwanzo walikuwepo ndio wakazingua, Mungu akawafutilia Mbali. Ndio maana kwa nuhu walipozingua wakafutiliwa mbali kwa maji. So mchezo unekua ukiendelea, na sisi tunavyozingua hivi...shauri letu..
 
Man umeua...ushafungus codes za awali kiulainiiii
 
Ukitaka kumtawala mtu basi mfanye kipofu kwenye mambo fulani.

Mungu ametufanya vipofu kwenye baadhi ya mambo ili atutawale.
Na wewe tafuta wako wafanye vipofu ili utawale kama ni rahis
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ