Actually!
Nikiri kwamba Hii Mada Inachanganya Sana na Sidhani kama Ni Mada salama Sana kwa Wakristo kwa Sababu inaweza Ikaibua Vitu ambavyo hawakuwahi kuviamini kama vipo.. Ila Kwa wayahudi Na waislamu kwao Sio Mada Ngeni sana ila Nitaenda Kuichambua Kwa mapana Yake so tutaelewana vizuri..
Cautions!
Ninaweza Kuandika Maelezo marefu Sana So ili kuelewa Every single dot inabidi Kuyasoma Yote..na ieleweke kuwa Sipo kutetea ,Kutangaza au Kuidogosha/Kuitukana Imani ya Mtu yoyote, I am just here to explore Kijielimu nilicho nacho kwa Wote ili tupate kauelewa niliko nako..
So let me start!..
Waislamu na Wayahudi Wanakubaliana kwamba Kabla ya uumbaji (Ambao tunaufahamu) ulikuwepo Uumbaji mwingine ambao Ulipitia Upotevu na Ukaadhibiwa..
Waislamu wanaamini Kuwa kabla ya Binadamu Waliumbwa Majini kwanza Na Majini walipofanya Dhambi na Uharibifu waliadhibiwa Ikiwa ni pamoja na Kufukuzwa Duniani (Kutoikalia Dunia)..
Wayahudi wanaamini Uumbaji Ule uliharibiwa na baada ya Kuharibiwa Binadamu wa kwanza aliyefanya Dhambi "Lilith" alisababisha Dunia iharibiwe na Baadae Kutokana na Hasira aliyokuwa nayo Mungu aliharibu kila kitu ila baadae ilibidi aweke kila kitu sawa..
ili kujibu Mada hizo kwa Facts tutapitia 3 Concepts..
- Textual Analysis of Genesis (Uchambuzi wa Andiko)
- Agreed Theorism
- Esoteric Knowlege and Kaballah
Textual Analysis of Genesis (Uchambuzi wa Andiko).
Tuanze na Andiko lenyewe lenye Utata Bere'shit (Mwanzo) 1:1-2
ืึผึฐืจึตืืฉืึดืืช ืึผึธืจึธื ืึฑืึนืึดืื ืึตืช ืึทืฉืึผึธืึทืึดื ืึฐืึตืช ืึธืึธืจึถืฅื
ืึฐืึธืึธืจึถืฅ ืึธืึฐืชึธื ืชึนืืึผ ืึธืึนืืึผ ืึฐืึนืฉืึถืึฐ ืขึทื ืคึผึฐื ึตื ืชึฐืืึนื ืึฐืจืึผืึท ืึฑืึนืึดืื ืึฐืจึทืึถืคึถืช ืขึทื ืคึผึฐื ึตื ืึทืึผึธืึดืื
Inatamkika Hivi:
Bereshit bara Elohim et hashamayim ve'et ha'aretz.
Veha'aretz hayetah tohu vaBohu vechoshech al penei tehom veruach Elohim merahefet al penei hamayim.
Tafiri Iliyorasimishwa (Ambayo baadaye nitaielezea)
"Hapo mwanzo, Mungu aliziumba mbingu na dunia
Nayo dunia ilikuwa ukiwa, tena utupu; giza lilikuwa juu ya uso wa vilindi vya maji, na Roho wa Mungu alikuwa akitanda juu ya uso wa maji."
Neno Nililolowekea Alama Nyekundu Ndo msingi Hasa wa Kuchunguza Andiko hilo Ili kupata maana Halisia..
Neno
Tohu vaBohu" (ืชึนืืึผ ืึธืึนืืึผ), Ukilingalia Kwa haraka haraka Unaweza Ukasema Ni neno Moja tu ila Hilo ndio neno ambalo Linaweza Kubadili Asili ya Uumbaji wote au kupreserve aslili ya Uumbaji kama Wakristo wanavyoiamini
Neno Tohu (ืชึนืืึผ ) lina maana zifuatazo confused State, chaos au Chaotic state pia emptiness na formlessness..
Pia
Va humaanisha "
na" na Hiyo
Bohu humaanisha Void au Emptiness..
Sasa je Yanaweza Kutafsiriwa Vipi unaweza Ukasema Kuwa Ni Chaotic Void (Vurugu Iliyotawala, Vurugu iliyozidi, Machafuko yaliyokithiri au Utupu wenye machafuko au Jangwa la Machafuko)..
Kingine Tafsiri ya Neno
Roho wa Mungu haijakaa Poa kwa sababu Neno ve Ruach (ืึฐืจืึผืึท)halimaanishi roho Peke yake Linamaanisha Upepo Mkali pia "
Tungeweza Kusema Upepo mkali Kutoka kwa Mungu" yaani "
veruach Elohim"
So Tukiacha maana Halisi tuliyoambiwa Pia Ukiangalia maana Moja moja Unaweza ukaaandila Tena Hicho kipande cha Aya Hivi.. (Mwanzo 1:1-2
"
Hapo mwanzo, Mungu aliziumba mbingu na dunia
Nayo dunia ilikuwa kwenye Machafuko na ukiwa, tena utupu; giza lilikuwa juu ya uso wa vilindi vya maji, na Upepo Mkali kutoka kwa Mungu ulikuwa ukitanda juu ya uso wa maji."
Umeona Tulivyofanya Tafsiri Ya maneno mawili Maana Ya Andilo Ilivyobadilika?
Kwahiyo kwa Kusema Kuwa Dunia Iliumbwa Ukiwa Na Tupu Wayahudi na Watu wa Esoteric wanakataa hiyo kitu..
Tusome kwenye..Isaya 45:18
"
Maana Bwana, aliyeziumba mbingu, asema hivi; Yeye ni Mungu; ndiye aliyeiumba dunia na kuifanya; ndiye aliyeifanya imara; hakuiumba ukiwa......."
Na Pia hata Tukisoma Kwenye 2 Petro 3:5-6, tunasoma:
"
Kwa kuwa wanapuuza jambo hili kwa hiari yao, ya kuwa zamani za kale kulikuweko mbingu pamoja na nchi iliyotokana na maji, na kwa maji ..."
Wanatheolojia Wengi sana Wanaamini kwamba Mungu aliumba Kawaida Ila Baadaye Kukatokea Tatizo mahali Vita na Baadaye Dunia Hiyo ikaangamizwa na Baadaye Mungu akaanza Kuumba Mtu atakayeweza Kuitunza na Kuilinda..
Na wengine wanasema Kwamba Hata kitabu cha Yeremia 4:23-26 Haikuwa Tabiri wa Unabii Bali ilikuwa Ni Historia Ya Ilivyotokea Baada ya Uuambaji wa kwanza...
Yeremia 4:23-26
"23 Naliiangalia nchi, na tazama, ilikuwa ukiwa, haina watu; naliziangalia mbingu, nazo zilikuwa hazina nuru.
24 Naliiangalia milima, na tazama, ilitetemeka, na milima yote ilisogea huko na huko.
25 Nikaangalia, na tazama, hapakuwa na mtu hata mmoja, na ndege wote wa angani wamekwenda zao.
26 Nikaangalia, na tazama, shamba lililozaa sana (Edeni) limekuwa ukiwa, na miji yake yote ilikuwa imebomoka mbele za Bwana, na mbele za hasira yake kali."
Na Hiyo Verse Ndo inaelezea zaidi Kuhusu Mwanzo 1:2 tunayoitafuta Sasa..
Swali Ni kwamba Nini Kilifanyika Baada ya Uumbaji na Hapo Ndo inakuja 2nd concepts Inaitwa
Gap Theory View attachment 3255592
View attachment 3255593
Sasa Hapa ndo Kuna Utata Wote..
Ngoja kwanza Nipumzike ๐๐
min -me | Mangi Meno | Aaliyyah
Kuna swali?