N'yadikwa
JF-Expert Member
- Aug 10, 2014
- 7,427
- 10,905
Mchungaji Gwajima hii barabara ni muhimu sana. Tumeshaisemea sana SISI WANANCHI WA jimbo la Kawe hasa tunaoishi huku Bunju.
Asubuhi inakuwa kero sana kufika mjini ila sasa wizara ya Ujenzi imeleta bajeti yake hatukuoni ukiitetea ili tupate double lane muendelezo wa iliyoishia njiapanda ya Tegeta Nyuki.
Mzee baba fanya uwaambie Wizara tunahitaji double lane hapa, tunaopanga kukupinga 2025 hii tutaitumia kama pointi ya kukuchallenge.
Act accordingly Mheshimiwa.
Asubuhi inakuwa kero sana kufika mjini ila sasa wizara ya Ujenzi imeleta bajeti yake hatukuoni ukiitetea ili tupate double lane muendelezo wa iliyoishia njiapanda ya Tegeta Nyuki.
Mzee baba fanya uwaambie Wizara tunahitaji double lane hapa, tunaopanga kukupinga 2025 hii tutaitumia kama pointi ya kukuchallenge.
Act accordingly Mheshimiwa.