Hoja na maswali utata kwenye uumbwaji wa mwanadamu katika imani ya Kikristo. Je, wenzetu imani zao zinasemaje?

Hoja na maswali utata kwenye uumbwaji wa mwanadamu katika imani ya Kikristo. Je, wenzetu imani zao zinasemaje?

U
Simply ni kwamba shoga ni mwanaume anaetamani kuwa mwanamke lakini sheria ya ulimwengu ni kwamba mwanamke hujifungua ila shoga hajifungui kwasababu mfumo unamkataa kwahiyo mwanaume hata aigize vipi kuwa mwanamke hawezi kuwa mwanamke kwa maana kuna sifa za asili ya uumbaji wa mwanamke atazikosa... anyways.

Na mimi sijazungumzia tabia ila nimezungumzia nguvu nne za asili ya uumbaji wa ulimwengu na ndio ambazo nimezitaja kwenye andiko langu hapo juu na ukituliza akili na kusoma vizuri utaona kuna pahala nimekuwekea msisitizo ya kwamba nguvu mbili ya usaidizi na maono au uwezo wa kutengeneza mawazo yenye tija huwa ni asili ya nani na nani kutokana na uumbaji na ni kwanamna gani hizi nguvu baadae zilikuja kuvurugika na kuanza kutokea kiprobability.
Puuzi mtupu wa makanisani ..mnadanganywa kipumbavu sana na wahuni wakina gamanywa na wezi wenziw😕😕😕
 
U

Puuzi mtupu wa makanisani ..mnadanganywa kipumbavu sana na wahuni wakina gamanywa na wezi wenziw😕😕😕
Kanisa gani ulilowahi kwenda ukakuta wanafundisha hayo mambo niliyoandika? Au imani gani ya dini ambayo inapingana na kauli yako ya mwanaume ndio kichwa cha familia or whatever? Sijawahi kuandika mambo ya kanisani wala msikitini tangu nijiunge hapa jukwaani mkuu, lakini nilichokuambia ndio uhalisia iwe unakubali Au hautaki.
 
Kwanza siamini kwenye kuamini.

Sina imani ya aina yeyote ile.

Sihitaji kuamini, Nahitaji kujua kwa uhakika, ushahidi na uthibitisho.

Hakuna uthibitisho wowote ule wa kwamba ulimwengu una chanzo.

Zilizopo ni nadharia za kidini, kihistoria na kisayansi tu zisizo na uthibitisho wowote ule.

Kwani hiyo computer ilijitengeneza yenyewe ikiwa na hizo languages?

Si ziliwekwa kwenye system ya kompyuta?

Kwani hivyo vitu vilivyo tokea kwa ghafla miaka ya 1950 si vilitengenezwa?

Au viliibuka tu vyenyewe from no where?

Hiyo nguvu unayodai inaendesha ulimwengu haipo, Ni wewe tu unalazimisha na kufosi ionekane ipo.
Kumbadili mtu imani ni ngumu mkuu so wewe na mimi tutabishana sana na hatuwezi kufikia muafaka.

Mimi imani nnayo ila haijawahi nifunga wala kunipa ukomo wa kutafuta ukweli wa mambo.

Wewe umesema yote yaliyopo ni nadhalia maybe yes but hizo nadhalia karibia zote ni za kipuuzi so hakuna hata moja yenye uwezo wa kuunganisha puzzle zilizomisi ili kumfanya mtu auelekee ukweli.

Mimi nnachoamini ni fikra zangu tu pekee, sijui ukifanya meditation huwa utulivu wako unakaa juu ya jambo gani ila mimi kila nikiunganisha hizi puzzle naona kabisa kuna jambo haliko sawa na kuna fact nyingi sana so wacha nitulie nitakuja na uzi ili tuweze kueleweshana kwa hoja vizuri... wacha tuupe nafasi huu uzi wa jamaa ubaki kwenye lengo la maswali yake.
 
Kanisa gani ulilowahi kwenda ukakuta wanafundisha hayo mambo niliyoandika? Au imani gani ya dini ambayo inapingana na kauli yako ya mwanaume ndio kichwa cha familia or whatever? Sijawahi kuandika mambo ya kanisani wala msikitini tangu nijiunge hapa jukwaani mkuu, lakini nilichokuambia ndio uhalisia iwe unakubali Au hautaki.
Wewe upo dhehebu gani ...ukisha tiishwa kwenye madhehebu tayari upo mikononi mwa matapeli
 
Back
Top Bottom