#COVID19 Hoja za Askofu Gwajima zimewaumbua wataalam wetu na waliomuingiza 'mkenge' Rais Samia kwenye chanjo ya Corona

#COVID19 Hoja za Askofu Gwajima zimewaumbua wataalam wetu na waliomuingiza 'mkenge' Rais Samia kwenye chanjo ya Corona

Hata mwanafunzi anapofeli kujibu mtihani huwa hakosi kuweka visingizio.

Jikite kujibu hoja acha kukwepa....!!!
Hakuna hoja za msingi apo.Tanzania hakuna wataalamu wa chanjo.Sisi tunajua kujifukiza na tiba za asili.Mambo ya chanjo tuwaachie wataalamu wa Virology and Immunology.
 
Hakuna wa kuweza kumjibu Gwajima , sababu hzo chanjo ni agenda ya Siri ambayo gwajima yeye mwenyewe anaijua na Raisi anaijua...!! Sema Raisi kabanwa na wala sio maamuz yake hayo ....!!Hana namna , na sote tutachanjwa ni Suala la mda tuu

Upumbavu ndio huu, ujinga huna ninaamini. Hapa nasema wewe sio ignorant, ni fool! Maawali yote aliyouliza Dr. Gwajima na unayoshadidia yanajibiwa na jibu moja tu - hakuna popote, narudia popote ambapo mtaalamu yeyote au mtengeneza chanjo amesema kuwa hizi ni chanjo za KUZUIA corona au KUZUIA maambukizi! Kila mtaalamu (asiye kanjanja) kasema chanjo hizo zinazuia severe sickness (hospitalization) na vifo!! Na tunachojitaji kwa muda huu ni kutoumwa na kutokufa!! Basi!!

Swali ambalo mnashindwa kujibu sasa hivi ni kuna watu wangapi wamechanjwa lakini wakaugua na kufa!! Mpaka sasa wanaukufa 100% ni ambao hawajachanjwa na watu wawili katika kila 100 waliochanjwa ndio wanapata mild symptoms (maana yake 98 hata kusikia kichwa kinauma hawasikii).

Kuweni wakweli na kama mna scientific data mzitoe. Mambo haya ni ya kisayansi - sio ya kiroho wala kisiasa. Ingekuwa ya kiroho badala ya Gwajima kurusha maswali - ANGEPONYA!!

Upumbavu umewajaa mpaka unaelekea kuchua nafasi ya ujinga kiasi mtakuwa hamfundishiki!!
 
Upumbavu ndio huu, ujinga huna ninaamini. Hapa nasema wewe sio ignorant, ni fool! Maawali yote aliyouliza Dr. Gwajima na unayoshadidia yanajibiwa na jibu moja tu - hakuna popote, narudia popote ambapo mtaalamu yeyote au mtengeneza chanjo amesema kuwa hizi ni chanjo za KUZUIA corona au KUZUIA maambukizi! Kila mtaalamu (asiye kanjanja) kasema chanjo hizo zinazuia severe sickness (hospitalization) na vifo!! Na tunachojitaji kwa muda huu ni kutoumwa na kutokufa!! Basi!!

Swali ambalo mnashindwa kujibu sasa hivi ni kuna watu wangapi wamechanjwa lakini wakaugua na kufa!! Mpaka sasa wanaukufa 100% ni ambao hawajachanjwa na watu wawili katika kila 100 waliochanjwa ndio wanapata mild symptoms (maana yake 98 hata kusikia kichwa kinauma hawasikii).

Kuweni wakweli na kama mna scientific data mzitoe. Mambo haya ni ya kisayansi - sio ya kiroho wala kisiasa. Ingekuwa ya kiroho badala ya Gwajima kurusha maswali - ANGEPONYA!!

Upumbavu umewajaa mpaka unaelekea kuchua nafasi ya ujinga kiasi mtakuwa hamfundishiki!!
Asante sana kwa majibu mazuri na ya msingi.Hili genge na Gwajima na Polepole shabaha yao watu tufe kama kuku.
 
Upumbavu ndio huu, ujinga huna ninaamini. Hapa nasema wewe sio ignorant, ni fool! Maawali yote aliyouliza Dr. Gwajima na unayoshadidia yanajibiwa na jibu moja tu - hakuna popote, narudia popote ambapo mtaalamu yeyote au mtengeneza chanjo amesema kuwa hizi ni chanjo za KUZUIA corona au KUZUIA maambukizi! Kila mtaalamu (asiye kanjanja) kasema chanjo hizo zinazuia severe sickness (hospitalization) na vifo!! Na tunachojitaji kwa muda huu ni kutoumwa na kutokufa!! Basi!!

Swali ambalo mnashindwa kujibu sasa hivi ni kuna watu wangapi wamechanjwa lakini wakaugua na kufa!! Mpaka sasa wanaukufa 100% ni ambao hawajachanjwa na watu wawili katika kila 100 waliochanjwa ndio wanapata mild symptoms (maana yake 98 hata kusikia kichwa kinauma hawasikii).

Kuweni wakweli na kama mna scientific data mzitoe. Mambo haya ni ya kisayansi - sio ya kiroho wala kisiasa. Ingekuwa ya kiroho badala ya Gwajima kurusha maswali - ANGEPONYA!!

Upumbavu umewajaa mpaka unaelekea kuchua nafasi ya ujinga kiasi mtakuwa hamfundishiki!!
We k-ma nn
 
Nilitegemea wataalam wetu wa afya pamoja na washauri wa Rais waliomshauri kuagiza chanjo ya corona watakuwa mstari wa mbele kujibu hoja za askofu badala yake wamekuwa watu wa kumshambulia yeye binafsi na kumpa vitisho badala ya kujibu hoza zake kitaalam.

Katika hoja ya kwanza, Askofu gwajima ana hoji: Endapo mtu akichanjwa bado ataendelea kuambukiza na kuambukizwa virusi vya corona na kama ndivyo, kuna maana gani ya kuchanja?

Hoja ya pili Askofu anahoji endapo mtu amechanjwa bado atatakiwa kuchukua tahadhari zote ikiwemo kuvaa barakoa ili kujikinga na maambukizi. Askofu anataka kujua, kama kweli chanjo ya corona ni kinga kwanini mtu aliyechanjwa anatakiwa tena kuvaa barakoa?

Askofu anaendelea kuhoji, mataifa makubwa kama vile marekani yote yana chanjo zao. Kwa mfano, marekani wana chanjo ya jonhson&jonhson na moderna, china wana sinovac, uiongereza wana Astrazeneca, germany wana Pfizer, urusi wana ya kwao, Cuba pia wana ya kwao na mataifa mengine yana chanjo zao. Je ni kwanini haya mataifa yenyewe kwa yenyewe yanaogopana kutumia chanjo ya mwingine?

Gwajima ana hoji kwamba katika kipindi cha zaidi ya miezi sita iliyopita wataalam wetu wanaotaka tupambane na corona kwa njia ya chanjo ndio hawa hawa walisema tusiziamini chanjo kwamba zinaweza kuwa na madhara na kwamba tutumie njia za asili ikiwemo kujifukiza wakajenga hadi banda la kujifukizia pale muhimbili wengine wakafanya mahojiano TBC kuonyesha wasi wasi wao juu ya chanjo ya corona, kwanini leo wamebadilika?

Swali la nyongeza: kwenye fomu ya chanjo ya corona kuna kipengele kinasema serikali haitahusika kwa namna yoyote ile endapo mtu aliyechanjwa atapata maudhi ambayo kwa sasa hayafahamiki. Tunataka wataalam wetu watwambie kama hii chanjo wameifanyia utafiti wa kutosha kwanini wanasema tena kwamba mtu aliyechanjwa anaweza kupata maudhi ambayo hayafahamiki?

Napenda sana wataalam wajibu hoja za gwajima kwa sababu vile wanavyomshambulia badala ya kujibu hoja zake ni kudhihirisha kwamba hawana utaalam wa walichosomea kitu ambacho ni hatari kwa uhai na afya za watanzania.
Huyo gwajima naye muongo tu. OK tumechanjwa mbona hatujabadirika mazombi. Halafu ile kauli yake ya kuomba ili walochanjwa wabadilike mazombi iliharibu hoja zake zote zingine
 
Nilitegemea ile kamati iliyoshauri tuchanjwe iwe ya Kwanza kumjibu,lakini imeingia mitini maana haina majibu ya kisayansi zaidi ya kudai anapotosha tu.
 
Nilitegemea ile kamati iliyoshauri tuchanjwe iwe ya Kwanza kumjibu,lakini imeingia mitini maana haina majibu ya kisayansi zaidi ya kudai anapotosha tu.
Wameshakula posho ya mabilioni, wana shida gani tena kwani!???
 
Kabla hajajibiwa hoja yake atujb yeye kwanza kuwa ile video ya ngono atarudia party two au tuendelee na ile ile, pili yeye anasema ni mtu AWEZA fufua wafu,je hawez mfufua mwendazake tuendelee na msimamo ambao yeye gwajima anauamin kuhusu vita dhidi ya Corona?? asante
 
Gwajima hana njaa. Kama angekuwa nayo angekaa kimya na kuungana na wanafiki wengine kama akina kigwangala na wengineo kusapoti chanjo ili kulinda ubunge na vyeo vyao

Kwani chanjo uliambiwa ni tiba ya kufanya uepuke maambukiz au ni kiwezesho Cha kuimarisha kinga zako Dhidi ya maradhi?
 
Mbona hilo limejibiwa sana!Tatizo hamtaki kuelewa au sijui ni kujitia upofu!

Chanjo ni kwa ajili ya kuongeza uwezo wa mwili kupambana na virus wa Covid,waliochanjwa wakiugua wanakuwa na chance kubwa ya kupona na kutokuwa kwenye critical condition kama ambao hawajachanjwa!Kuva barakoa ni kwa ajili kujiepusha kuambikizwa na kuambukiza wengine!
Sasa pima halafu utaona kama uchanje au la hasha!

Hayo ndiyo majibu ya wataalamu waliotengeneza Chanjo!
Kama hujaridhika,usichanje!Full stop
Unajua maana ya chanjo?
 
Nilitegemea wataalam wetu wa afya pamoja na washauri wa Rais waliomshauri kuagiza chanjo ya corona watakuwa mstari wa mbele kujibu hoja za askofu badala yake wamekuwa watu wa kumshambulia yeye binafsi na kumpa vitisho badala ya kujibu hoza zake kitaalam.

Katika hoja ya kwanza, Askofu gwajima ana hoji: Endapo mtu akichanjwa bado ataendelea kuambukiza na kuambukizwa virusi vya corona na kama ndivyo, kuna maana gani ya kuchanja?

Hoja ya pili Askofu anahoji endapo mtu amechanjwa bado atatakiwa kuchukua tahadhari zote ikiwemo kuvaa barakoa ili kujikinga na maambukizi. Askofu anataka kujua, kama kweli chanjo ya corona ni kinga kwanini mtu aliyechanjwa anatakiwa tena kuvaa barakoa?

Askofu anaendelea kuhoji, mataifa makubwa kama vile marekani yote yana chanjo zao. Kwa mfano, marekani wana chanjo ya jonhson&jonhson na moderna, china wana sinovac, uiongereza wana Astrazeneca, germany wana Pfizer, urusi wana ya kwao, Cuba pia wana ya kwao na mataifa mengine yana chanjo zao. Je ni kwanini haya mataifa yenyewe kwa yenyewe yanaogopana kutumia chanjo ya mwingine?

Gwajima ana hoji kwamba katika kipindi cha zaidi ya miezi sita iliyopita wataalam wetu wanaotaka tupambane na corona kwa njia ya chanjo ndio hawa hawa walisema tusiziamini chanjo kwamba zinaweza kuwa na madhara na kwamba tutumie njia za asili ikiwemo kujifukiza wakajenga hadi banda la kujifukizia pale muhimbili wengine wakafanya mahojiano TBC kuonyesha wasi wasi wao juu ya chanjo ya corona, kwanini leo wamebadilika?

Swali la nyongeza: kwenye fomu ya chanjo ya corona kuna kipengele kinasema serikali haitahusika kwa namna yoyote ile endapo mtu aliyechanjwa atapata maudhi ambayo kwa sasa hayafahamiki. Tunataka wataalam wetu watwambie kama hii chanjo wameifanyia utafiti wa kutosha kwanini wanasema tena kwamba mtu aliyechanjwa anaweza kupata maudhi ambayo hayafahamiki?

Napenda sana wataalam wajibu hoja za gwajima kwa sababu vile wanavyomshambulia badala ya kujibu hoja zake ni kudhihirisha kwamba hawana utaalam wa walichosomea kitu ambacho ni hatari kwa uhai na afya za watanzania.
... huyo askofu ni mjinga! Hajui maana ya chanjo/kinga. Pili, ingekuwa taifa zima kila raia, kila mgeni amepata chanjo kusingekuwa na umuhimu wa kuvaa barakoa na tahadhari nyingine. Ila kwa kuwa sio wote wenye chanjo, bado tahadhari ni muhimu zaidi kuwakinga wale ambao bado hawajapata chanjo. Hoja za kipumbavu kabisa anauliza halafu eti ana title ya "Dr.".
 
Back
Top Bottom