Hongera Camilius Wambura kwa utulivu huu nchini

Hongera Camilius Wambura kwa utulivu huu nchini

Takriban miezi 2 kufika leo media zote zilijaa mambo ya upotoshaji kutoka kwa akina Mwabukusi, Dr. Slaa, Mdude, Nshala, Lissu etc. Hawa walikuwa wanatumia lugha ya vitisho na matusi dhidi ya viongozi wa Serikali kuhusiana na Mkataba wa Bandari na DP World.

Wapo pia waliotumia fursa zao kukosoa bila matusi wala jazba baadhi ya vipengere kama Prof. Tibaijuka, Prof Shivji, Joseph Butiku, Jaji Warioba etc.

Hata mimi ninazo nyuzi zangu ambazo nimekosoa kwa staha tu vipengere ambavyo havina masilahi.

Kuanzia jana na leo tumetulia kusoma na kusikia clips za matusi toka kwa akina Mwabukusi, Mdude na Dr Slaa.

Nawapongeza Tanzania Police chini ya IGP Camilius Wambura na TISS kama imehusika kwa kuliheshimisha Taifa.

Bandari haijauzwa, tuachane na hii taharuki.
Takataka tupu
 
Tumefungua Kesi hii, Under Certificate of Urgency, Wakati Wapiganaji wenzetu Wapo Korokorini. Ndio njia pekee ya kuwatia moyo. It's high Time kusimama na kuungana Ili twende kwenye kwenye Muafaka Mwema Maslahi mapana na Taifa Letu. TUSIOGOPE[emoji3578]View attachment 2717185

Sent using Jamii Forums mobile app
Hii ndiyo njia mwafaka lakini siyo mitusi na kuhamasisha civil unrest
 
Tumefungua Kesi hii, Under Certificate of Urgency, Wakati Wapiganaji wenzetu Wapo Korokorini. Ndio njia pekee ya kuwatia moyo. It's high Time kusimama na kuungana Ili twende kwenye kwenye Muafaka Mwema Maslahi mapana na Taifa Letu. TUSIOGOPE[emoji3578]View attachment 2717185

Sent using Jamii Forums mobile app
Mleta uzi akiona hii tumbo linamsokota kama mtu aliyekula uchafu.
 
Unafiki unatutesa sana'' wa TZ, utasikia mama mi 5 tena!! Unajiuliza kwa lipo?
Sio mitano, raia huku utanzaniani tunataka aongezewe hadi 30.

Unauliza kwa lipi?!!! Are u serious?!!! You must have eyes on your back.

Sisi tunaona maendeleo, tunaona utulivu, tunaona uhuru wa kutoa maoni na sasa tunaona ushughulikiwaji wa kistaarabu kabisa kwa waliolenga kuanzia taharuki kwa kupitia dini, ukanda, uvyama na jinsi.
 
Sio mitano, raia huku utanzaniani tunataka aongezewe hadi 30.

Unauliza kwa lipi?!!! Are u serious?!!! You must have eyes on your back.

Sisi tunaona maendeleo, tunaona utulivu, tunaona uhuru wa kutoa maoni na sasa tunaona ushughulikiwaji wa kistaarabu kabisa kwa waliolenga kuanzia taharuki kwa kupitia dini, ukanda, uvyama na jinsi.
Bora uwaambie
 
Mleta uzi akiona hii tumbo linamsokota kama mtu aliyekula uchafu.
Siwezi kuhara kwa comment hii. Kwanza nimei like. Hii ndiyo njia sahihi ya ku resolve issues za kisheria na siyo maandamano ya kuleta civil unrest
 
Takriban miezi 2 kufika leo media zote zilijaa mambo ya upotoshaji kutoka kwa akina Mwabukusi, Dr. Slaa, Mdude, Nshala, Lissu etc. Hawa walikuwa wanatumia lugha ya vitisho na matusi dhidi ya viongozi wa Serikali kuhusiana na Mkataba wa Bandari na DP World.

Wapo pia waliotumia fursa zao kukosoa bila matusi wala jazba baadhi ya vipengere kama Prof. Tibaijuka, Prof Shivji, Joseph Butiku, Jaji Warioba etc.

Hata mimi ninazo nyuzi zangu ambazo nimekosoa kwa staha tu vipengere ambavyo havina masilahi.

Kuanzia jana na leo tumetulia kusoma na kusikia clips za matusi toka kwa akina Mwabukusi, Mdude na Dr Slaa.

Nawapongeza Tanzania Police chini ya IGP Camilius Wambura na TISS kama imehusika kwa kuliheshimisha Taifa.

Bandari haijauzwa, tuachane na hii taharuki.
Bandari imehongwa arabuni
 
Bandari imehongwa arabuni
Njoo kesho Ubungo Kibo nikupeleke Kurasini kama hutaikuta bandari. Hizi kauli za kishenzi ndiyo zikienea zinaleta taharuki.

Mwanachi wa kawaida anataka efficiency ya bandari na mapato yatokanayo na bandari bila kujali wanaoendesha ni waarabu au wazungu au wasukuma
 
Njoo kesho Ubungo Kibo nikupeleke Kurasini kama hutaikuta bandari. Hizi kauli za kishenzi ndiyo zikienea zinaleta taharuki.

Mwanachi wa kawaida anataka efficiency ya bandari na mapato yatokanayo na bandari bila kujali wanaoendesha ni waarabu au wazungu au wasukuma
Efficiency ndio kuandika mkataba wa kimangungo. Wahi kachue mgao dubai
 
Takriban miezi 2 kufika leo media zote zilijaa mambo ya upotoshaji kutoka kwa akina Mwabukusi, Dr. Slaa, Mdude, Nshala, Lissu etc. Hawa walikuwa wanatumia lugha ya vitisho na matusi dhidi ya viongozi wa Serikali kuhusiana na Mkataba wa Bandari na DP World.

Wapo pia waliotumia fursa zao kukosoa bila matusi wala jazba baadhi ya vipengere kama Prof. Tibaijuka, Prof Shivji, Joseph Butiku, Jaji Warioba etc.

Hata mimi ninazo nyuzi zangu ambazo nimekosoa kwa staha tu vipengere ambavyo havina masilahi.

Kuanzia jana na leo tumetulia kusoma na kusikia clips za matusi toka kwa akina Mwabukusi, Mdude na Dr Slaa.

Nawapongeza Tanzania Police chini ya IGP Camilius Wambura na TISS kama imehusika kwa kuliheshimisha Taifa.

Bandari haijauzwa, tuachane na hii taharuki.
Utulivu!
 
Njoo kesho Ubungo Kibo nikupeleke Kurasini kama hutaikuta bandari. Hizi kauli za kishenzi ndiyo zikienea zinaleta taharuki.

Mwanachi wa kawaida anataka efficiency ya bandari na mapato yatokanayo na bandari bila kujali wanaoendesha ni waarabu au wazungu au wasukuma
Wewe bandari ikiuzwa unafikiri itapelekwa Dubai? Acha hoja dhaifu.
 
Efficiency ndio kuandika mkataba wa kimangungo. Wahi kachue mgao dubai
Je unayo elimu ya mikataba? Je unajuwa kuwa kilichosainiwa ni IGA? Na IGA haiwezi kuwa enforceable in the court of law?
 
Back
Top Bottom