Hongera daughter. Division 2 ya point 20 from Kayumba School

My school hii hapa najua watt wanalipiwa ada 70k, yaani hakuna makuu na watakutana chuo, Kama Kuna scholarship watapata na watasoma , Kama kazi Fulani atafundishwa ataielewa na ataifanya vizuri bila ya kuangalia kuwa elimu yake alilipa milioni mia moja.
Nimesoma nikamaliza nikaishikilia degree hata milioni moja haijatumika. kusoma bana ni bure sema ni Ile ari ama kiu ya mtu kutafuta maarifa yaani maarifa yoyote unavyotaka yapo mbona bure na watu wanasoma wanamaliza Harvard business school baadaye wanakuja kukiri kuwa maarifa waliyopata mtandao YouTube etc ni zaidi walichopata Harvard so huko ni mbwembwe tu, na ku boast ego and euphoric
 
Kufaulu napo ni akili za maisha, kunaleta fursa.

Kuna dogo wa mzumbe alifaulu vizuri f4 akapata full ride scholarship ya IST ambapo itakuwa rahisi kwenda ivy leagues za marekani na T9 za china. Sio akili hiyo?

Kama sio vizuri kufaulu basi wasiende shule.

Kwenye academia kuna fursa sana tu, tena sana. Kila mtu akiendekeza kusoma kumaliza, tutapata wapi vipanga wanaobobea kwenye taaluma mbalimbali za muhimu?

Unadhani II 20 itatoa biomedical engineer mzuri kweli?

Aseme tu kapeleka mtoto kayumba kuokoa fedha, mambo mengine ayaache kama yalivyo.
 
100%. Fact
 
Hawa ni vipaji maalum mchanganyiko wa vipanga kayumba na ems na wengi huwa ems. Usisahau ukimaliza la saba uwe kayumba au ems mnachaguliwa serikalini hivyo uamuzi huwa wa mzazi akupeleke huko au uendelee private
 
Hizi hapa ni kayumba zote, yaani kusoma sio hela bana, kuelewa vitu kujifunza kitu ni ari ,yaani ni njaa yako ya kutaka kupata kitu ama kuelewa kitu hicho kitu mie ndicho nachoomba wanangu wazidi kuwa nacho, yaani washike kitabu wajisomee wenyewe bila ya external force, yaani Ile internal urge,force, voice, thirsty etc ni zaidi ya external force, kikungiacho hakikutii unajisikia Bali kikutokacho ndicho kinachokutia unajisi, when egg breaks by an external force life ends but when when egg breaks by an internal force life continues, mtt inabidi akomae aweze kuyachimba na kuyatafuta maarifa, Mana hakuna mtu atakayekuwekea kitu kichwani Bali mwenyewe kukomaa kwako, Yule wa nje ana play part kidogo mno.
 
My schools are Ilboru and Tabora boys , hao ndio wengine walikuwa watani wetu, boys mtu alikuwa anakomaa anatoka bila hata ya mwalimu kutoa mchango wowote, yaani tulizoea kukomaa wenyewe so inakujengea how to find out something for yourself
 
Shida yako hutaki kutafuta hela unatafuta kichaka cha kupunguza matumizi😂😂😂
 
Nina hakika huyo 4M4 Kayumba anapotezwa na dogo wa Kemiboss Grade 6. Kayumba nawajua
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…