Hongera Diamond kwa release ya Utanipenda, umenishika Nifah!

Hongera Diamond kwa release ya Utanipenda, umenishika Nifah!

Kabisa mkuu,nimeshindwa kuvumilia kwakweli.
Huu wimbo haukauki machoni mwangu,leo nitautia kwenye flash nizidi kuukosha moyo wangu.
Siuchoki kabisa.

Nakuheshimu kwa kusimamia ukweli na misimamo thabiti#
 
Kwanza kabisa naomba niwajuze wale wasiomfahamu nifah...
Mimi ni mkweli na mwenye msimamo mkali.
Huwa nasimamia katika kile ninachokiamini bila kuogopa wengine watapinga vipi au kunichukulia vipi.

Back to topic... Ni ukweli ulio dhahiri kuwa Diamond kafanya vizuri,na mimi kutokana na aya ya kwanza hapo juu sitaki kuwa mnafiki au kumung'unya maneno.....UMENISHIKA Diamond.
Nimependa Audio,video yaani kila kitu.
Tokea ulivyoutoa huu wimbo jumamosi nimekuwa nauangalia mara nyingi sana,na mara zote nimekuwa natikisa kichwa na kusema naam....hapa jamaa kaweza.

Ni unafiki na kuendeleza ubishani wa kipumbavu kwa kuponda vizuri kwa mwamvuli wa team, tuachane na huu ujinga na kuukubali ukweli.

Mimi kama mdau wa muziki mzuri,nasema huu wimbo wa Diamond ni mzuri sana.

#Note
Nimetoa hii post kwa mapenzi yangu mwenyewe,haina maana kwamba sasa nimekuwa team Diamond hapana,penye ukweli lazima niseme.
Sasa sitaki unafiki na kejeli kuwa nimesanda sijui na nini maana nawajua mashabiki wa Diamond vizuri tu.
Msilolijua ni kwamba nilikuwa shabiki mzuri tu Diamond, ila alikuja kunikera sehemu fulani (hata sasa simpendi ila nimeupenda wimbo wake).

Wale fans wa Kiba wenzangu bado nipo nanyi,ila tujifunze kusema ukweli.
Hata nyie majirani zetu pia....sio mnapenda wimbo lakini mnachokisema huku ni tofauti.
Period

Karibu sana #Nifah nakumbuka mara ya mwisho nilikuPM nawe pia ukafanya hivo leo tena apa ChibuDangoteDiamondPlatnumz
 
Last edited by a moderator:
et kwel wmbo mpya wa diamond unavoanza amemwambia wema sepetu tatzo la uzaz?

Mkuu nilivoelewa mimi kuwa pale Dk Mwaka kalipia lile tangazo kwan pale anapigiwa promo juu ya biashara yake ba chibu na si kuwa chibu aliweka lile kwa makusudi ila ni.moja ya watu walijitangaza kupitia music? ila nafikiri concept ya nyimbo inajulikana na wala haihusiani na ma matatizo ya uzazi.
 
Karibu sana #Nifah nakumbuka mara ya mwisho nilikuPM nawe pia ukafanya hivo leo tena apa ChibuDangoteDiamondPlatnumz
Hahahahaaa aisee umenifurahisha sana,umesahau ulinitumia friend request nikaaccept pia.
 
Last edited by a moderator:
nifah achana na huyo kenge. Pleaseee. Lets enjoy the good music. Anakutisha nini labda?
Mhhhhh jamani?
Siwezi kugombana na pwilo,sisi ni family moja japo tuna mitazamo tofauti.
 
Last edited by a moderator:
Hongera sana umeonyesha mfano mzuri unao paswa kuigwa, Nimekuheshimu sana dada
 
Kwanza kabisa naomba niwajuze wale wasiomfahamu nifah...
Mimi ni mkweli na mwenye msimamo mkali.
Huwa nasimamia katika kile ninachokiamini bila kuogopa wengine watapinga vipi au kunichukulia vipi.


Back to topic... Ni ukweli ulio dhahiri kuwa Diamond kafanya vizuri,na mimi kutokana na aya ya kwanza hapo juu sitaki kuwa mnafiki au kumung'unya maneno.....UMENISHIKA Diamond.
Nimependa Audio,video yaani kila kitu.
Tokea ulivyoutoa huu wimbo jumamosi nimekuwa nauangalia mara nyingi sana,na mara zote nimekuwa natikisa kichwa na kusema naam....hapa jamaa kaweza.

Ni unafiki na kuendeleza ubishani wa kipumbavu kwa kuponda vizuri kwa mwamvuli wa team, tuachane na huu ujinga na kuukubali ukweli.

Mimi kama mdau wa muziki mzuri,nasema huu wimbo wa Diamond ni mzuri sana.

#Note
Nimetoa hii post kwa mapenzi yangu mwenyewe,haina maana kwamba sasa nimekuwa team Diamond hapana,penye ukweli lazima niseme.
Sasa sitaki unafiki na kejeli kuwa nimesanda sijui na nini maana nawajua mashabiki wa Diamond vizuri tu.
Msilolijua ni kwamba nilikuwa shabiki mzuri tu Diamond, ila alikuja kunikera sehemu fulani (hata sasa simpendi ila nimeupenda wimbo wake).

Wale fans wa Kiba wenzangu bado nipo nanyi,ila tujifunze kusema ukweli.
Hata nyie majirani zetu pia....sio mnapenda wimbo lakini mnachokisema huku ni tofauti.
Period

- Wacha mkwara zamani nilikuwa nakupenda mpaka naumwazzz ila siku sikupendi tena U know!!

le Mutuz
 
Kwanza kabisa naomba niwajuze wale wasiomfahamu nifah...
Mimi ni mkweli na mwenye msimamo mkali.
Huwa nasimamia katika kile ninachokiamini bila kuogopa wengine watapinga vipi au kunichukulia vipi.

Back to topic... Ni ukweli ulio dhahiri kuwa Diamond kafanya vizuri,na mimi kutokana na aya ya kwanza hapo juu sitaki kuwa mnafiki au kumung'unya maneno.....UMENISHIKA Diamond.
Nimependa Audio,video yaani kila kitu.
Tokea ulivyoutoa huu wimbo jumamosi nimekuwa nauangalia mara nyingi sana,na mara zote nimekuwa natikisa kichwa na kusema naam....hapa jamaa kaweza.

Ni unafiki na kuendeleza ubishani wa kipumbavu kwa kuponda vizuri kwa mwamvuli wa team, tuachane na huu ujinga na kuukubali ukweli.

Mimi kama mdau wa muziki mzuri,nasema huu wimbo wa Diamond ni mzuri sana.

#Note
Nimetoa hii post kwa mapenzi yangu mwenyewe,haina maana kwamba sasa nimekuwa team Diamond hapana,penye ukweli lazima niseme.
Sasa sitaki unafiki na kejeli kuwa nimesanda sijui na nini maana nawajua mashabiki wa Diamond vizuri tu.
Msilolijua ni kwamba nilikuwa shabiki mzuri tu Diamond, ila alikuja kunikera sehemu fulani (hata sasa simpendi ila nimeupenda wimbo wake).

Wale fans wa Kiba wenzangu bado nipo nanyi,ila tujifunze kusema ukweli.
Hata nyie majirani zetu pia....sio mnapenda wimbo lakini mnachokisema huku ni tofauti.
Period

Umesaliti Mabadiliko watu kama nyinyi hata kipindi cha Yesu mlikuwepo huna tofauti na Lipumba na Slaa.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom