T14 Armata
JF-Expert Member
- Mar 7, 2017
- 12,362
- 41,886
Mkuu Smerch ndo unaichukulia masihara. Una tatizoSoviet era bullcrap
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu Smerch ndo unaichukulia masihara. Una tatizoSoviet era bullcrap
Toa mikebe hapa[emoji23][emoji23]Pwahahahaha!!!
Kabla hujanyanyuka tunakufata hapo hapo na toys zenu hizo
This is TZ
View attachment 1244122
Pwahahahaha naona mmetepeta kwelikweliIzi ni mikebe zilizopakwa rangi
Tz is not even in top ten strongest army in Africa [emoji23]Umeanza kuogopa sio?, hizo zote ulizoonyeshwa ndio hizi hapa,
Hahahaha, Hahahaha. Wamekubaliii. Wanashangaa kuona hivi vifaa TanzaniaPwahahahaha naona mmetepeta kwelikweli
This called Amphibious Tank
View attachment 1244123
View attachment 1244124
Pwahaha naona umeanza kujifariji sasa. Tuoneshe vifaa vyenu hapa. Tunataka (BM na SA hapa)Tz is not even in top ten strongest army in Africa [emoji23]
Zungumzia hivyo vifaa kwanza, onyesheniTz is not even in top ten strongest army in Africa [emoji23]
Tz kufikia kenya ni 200yrs to come. We have been posting them here since the start of this thread.Pwahaha naona umeanza kujifariji sasa. Tuoneshe vifaa vyenu hapa. Tunataka (BM na SA hapa)
Wekeni silaha zenu tuone, woyo woyo woyo woyoooooloooooooTz kufikia kenya ni 200yrs to come. We have been posting them here since the start of this thread.
Unapiga domo tu hapa. When we say Kenya is weak tunamaanisha. Sasa tuoneshe vifaa vyenu. Wewe unaonesha magari kha!!Tz kufikia kenya ni 200yrs to come. We have been posting them here since the start of this thread.
What a dream!!Mziki mnene sana huu. Tunaweza kuikamata Nairobi within one week.
Unaskia....endelea kuaskia ila leteni nyoko nyoko ili kuhakiki kama zimechoka.
Kwenye jeshi la anga hakuna wa kutuzidi kote huku, iwe kwenye anga, kwenye maji na nchi kavu tunafagia fagia.
Onyesheni Surface to air missiles zenu. Hahahaha, msijaribu kugusa moto mkali sana huu
SikuelewiMkuu Smerch ndo unaichukulia masihara. Una tatizo
Made in China...alafu kipi Cha maana na amphibious tanks?Pwahahahaha naona mmetepeta kwelikweli
This called Amphibious Tank
View attachment 1244123
View attachment 1244124
Kenya ina ndege Kama izi zaidi ya Mia moja
Pwahahahahahaha. Zamu yako sasa utuoneshe za hapo Kenya. Show us.Made in China...alafu kipi Cha maana na amphibious tanks?
Ama ni Mara ya kwanza kuziona??