Hongera Jeshi letu na Wanamaji (Navy), haya maonyesho ya manowari ni wazi mko vizuri

Hongera Jeshi letu na Wanamaji (Navy), haya maonyesho ya manowari ni wazi mko vizuri

Izi ni mikebe zilizopakwa rangi
Pwahahahaha naona mmetepeta kwelikweli
This called Amphibious Tank

1571994357735.png


1571994410473.png
 
Tz is not even in top ten strongest army in Africa [emoji23]
Zungumzia hivyo vifaa kwanza, onyesheni

1)Ballistic Missile
2)Surface to air Missiles
3)Mobile radar
4)Amphibious tanks
5)Heavy Tanks
6)Light tanks
7)Fighter jets

Mziki mnene sana huu. Tunaweza kuikamata Nairobi within one week.
 
Pwahaha naona umeanza kujifariji sasa. Tuoneshe vifaa vyenu hapa. Tunataka (BM na SA hapa)
Tz kufikia kenya ni 200yrs to come. We have been posting them here since the start of this thread.
 
Tz kufikia kenya ni 200yrs to come. We have been posting them here since the start of this thread.
Unapiga domo tu hapa. When we say Kenya is weak tunamaanisha. Sasa tuoneshe vifaa vyenu. Wewe unaonesha magari kha!!
 
Pale Somalia mbona bado imeshindikana? Kama mnashindwa kwa Alshabab bado mnadai hakuna wa kuwazidi wa kuwazidi! TPDF walifanya yao Mozambique, Uganda na pia DRC dhidi ya M23 na RPF, KDF wamefanikiwa wapi hadi sasa?

Vv
Unaskia....endelea kuaskia ila leteni nyoko nyoko ili kuhakiki kama zimechoka.
Kwenye jeshi la anga hakuna wa kutuzidi kote huku, iwe kwenye anga, kwenye maji na nchi kavu tunafagia fagia.

 
Back
Top Bottom