Hongera kocha wa Taifa Stars kwa kuwa mkweli. Taifa stars haijaenda AFCON kushindana

Watulie tu wacheze mpira, lolote linaweza kutokea, mbona Msumbiji wamewanyosha Egypt?, Cape Verde kamatandika Ghana, Namibia kamtandika Tuisia, Angola kadrw na Algeria
 
Mkuu hakuna watu Wanafiki kama sisi Waafrika yaani kuna watanzania leo wanasema kuwa tunakwenda kushinda ila kwenye mikeka tumempa Morocco 3+
 
Tunaingia kama underdogs hilo lipo wazi, kuwa underdog kuna faida nyingi kuliko hasara, mfano mzuri ni mechi ya EGYvsMOZ, hakuna aliyewapa Moz chance ila walimshangaza kila aliyeangalia ile game.
 
Kwani ulishawahi kuwasikia like playing in big European clubs like R. Madrid, Barca, PSG, Arsenal, Juve, Milan, Man City au hata Aston Villa tukiacha mbali zinazoshiriki daraja la pili UK au Bundasliga?🤣🤣🤣🏃🏃
Kwa nini unamchanganya aseno kwenye timu kubwa?
 
Mpuuzi kweli, anataka kuichonganisha Tanzania kidiplomasia na nchi zingine, mpuuzi sana aondolewe maramoja
 
Jamaa ana kibri sana na ni jeuri mno achilia mbali dharau binafsi hua simkubali.
 
Kama ni kweli amesema hivyo anatukosea sana sisi ccm hajui namna tulivyoangaika kushawi michango ya taifa stars ..
 
Kama ni hivyo Taifa Stars inakwenda Ivory Cost kufanya nini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…