Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
Hakika wanastahili pongezi za dhati kwa majaribu makubwa na mateso mliyoyapata lakini hamkuuza utu wenu,wasiopata majaribu ndio wamekimbia na kuusaliti upinzani Aibu yao Historia itawakumbukaNajua mmepitia mengi magumu, mmenyanyaswa, mmefungwa, mmeumizwa lakini hatimae miaka mitano ya mateso ya kusimamia na kuitetea haki inafikia mwisho. Hongera sana sana. MUNGU atawalipa.
Mnaingia kwenye kipindi kingine kigumu zaidi, this time watatumia Tume, Polisi na hata Green Guards, kuweni makini, simameni. Hatutaanguka wote.
Hongereni sana, haikua rahisi.
Malaya hawatarudi angalia Waitaraaa anavyoteseka.Tuna mifano michache sana mpira wa kiume kurudiwa.Wale malaya wa kisiasa wanaona aibu kubwa sn
Kabisa mkuuMalaya hawatarudi angalia Waitaraaa anavyoteseka.Tuna mifano michache sana mpira wa kiume kurudiwa.
Nina mpango wa kwenda kumtoa MaghembeIlà tu ukumbuke mpwa hakuna "career" inayolipa kwa sasa hapa nchini kama siasa. Hata wateswe vipi, wafungwe vipi lakini return yake hailinganishwi.
Amen AmenHakika wanastahili pongezi za dhati kwa majaribu makubwa na mateso mliyoyapata lakini hamkuuza utu wenu,wasiopata majaribu ndio wamekimbia na kuusaliti upinzani Aibu yao Historia itawakumbuka
Kabisa, imekuwa miaka 5 ya kidikteta na uvunjifu mkubwa wa haki za binadamu tusiruhusu tena mambo haya.Najua mmepitia mengi magumu, mmenyanyaswa, mmefungwa, mmeumizwa lakini hatimae miaka mitano ya mateso ya kusimamia na kuitetea haki inafikia mwisho. Hongera sana sana. MUNGU atawalipa.
Mnaingia kwenye kipindi kingine kigumu zaidi, this time watatumia Tume, Polisi na hata Green Guards, kuweni makini, simameni. Hatutaanguka wote.
Hongereni sana, haikua rahisi.
Mkuu, acha kufananisha Malaya na vitu vya kijinga!Wale malaya wa kisiasa wanaona aibu kubwa sn
Mungu atupe uzima tuKabisa, imekuwa miaka 5 ya kidikteta na uvunjifu mkubwa wa haki za binadamu tusiruhusu tena mambo haya.
Mungu aliyewavusha huko na awasimamie katika kipindi hiki waibuke na ushindi wa kishindo.Najua mmepitia mengi magumu, mmenyanyaswa, mmefungwa, mmeumizwa lakini hatimae miaka mitano ya mateso ya kusimamia na kuitetea haki inafikia mwisho. Hongera sana sana. MUNGU atawalipa.
Mnaingia kwenye kipindi kingine kigumu zaidi, this time watatumia Tume, Polisi na hata Green Guards, kuweni makini, simameni. Hatutaanguka wote.
Hongereni sana, haikua rahisi.
Yale ni mataahira ya kisiasaMkuu, acha kufananisha Malaya na vitu vya kijinga!
Hujasikia na yule kule MonduliMalaya hawatarudi angalia Waitaraaa anavyoteseka.Tuna mifano michache sana mpira wa kiume kurudiwa.
Jipange sio rahisi hivyo, japo mabadiliko yanatakiwa.Nina mpango wa kwenda kumtoa Maghembe
Tujipange sana ni ukweli usemwe, tusitake kudanganyana wenyewe, Kwa miaka mitano hii CCM imeimarika sanaaaa Mwanga. Tahadhali tuu.Amen Amen