Kweli kabsa nipo Dom na mimi ni mkurya na nipo kwenye siasaDaaah mkuu Huyo jamaa ni Kweli??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kweli kabsa nipo Dom na mimi ni mkurya na nipo kwenye siasaDaaah mkuu Huyo jamaa ni Kweli??
Acha wivu MzeeeWengine wamevumilia Sana kila mwezi kumpa mwenyekiti Mbowe 530000/- wengine 1560000/- ngumu kumeza. Hongereni Sana kwa uvumilivu huo
Kongole mwenyekitiiiiiiiiView attachment 1479685
Tujipange sana ni ukweli usemwe, tusitake kudanganyana wenyewe, Kwa miaka mitano hii CCM imeimarika sanaaaa Mwanga. Tahadhali tuu.
Mkuu hongera na wewe kwa kuliona hilo na kuwapongeza hao mashujaa wa watanzania.Najua mmepitia mengi magumu, mmenyanyaswa, mmefungwa, mmeumizwa lakini hatimae miaka mitano ya mateso ya kusimamia na kuitetea haki inafikia mwisho. Hongera sana sana. MUNGU atawalipa.
Mnaingia kwenye kipindi kingine kigumu zaidi, this time watatumia Tume, Polisi na hata Green Guards, kuweni makini, simameni. Hatutaanguka wote.
Hongereni sana, haikua rahisi.
Baadhi ya wabunge duni walionunuliwa hadi kwa kiasi cha tsh mil 800 !Najua mmepitia mengi magumu, mmenyanyaswa, mmefungwa, mmeumizwa lakini hatimae miaka mitano ya mateso ya kusimamia na kuitetea haki inafikia mwisho. Hongera sana sana. MUNGU atawalipa.
Mnaingia kwenye kipindi kingine kigumu zaidi, this time watatumia Tume, Polisi na hata Green Guards, kuweni makini, simameni. Hatutaanguka wote.
Hongereni sana, haikua rahisi.
Ilà tu ukumbuke mpwa hakuna "career" inayolipa kwa sasa hapa nchini kama siasa. Hata wateswe vipi, wafungwe vipi lakini return yake hailinganishwi.
Historia itawalipa na kuwakumbuka na kuwaheshimu daima
Huyo Maghembe ni miongoni mwa wachumia tumbo masikini sana walioletwa jf kwa mikakati maalum , hana loloteCcm haijaimarika, bali mwenyekiti wa ccm ambaye ni rais, anatumia madaraka yake vibaya kuigeuza ccm kuwa chama cha kijeshi.
Wale malaya wa kisiasa wanaona aibu kubwa sn
Hakika wanastahili pongezi za dhati kwa majaribu makubwa na mateso mliyoyapata lakini hamkuuza utu wenu,wasiopata majaribu ndio wamekimbia na kuusaliti upinzani Aibu yao Historia itawakumbuka
Malaya hawatarudi angalia Waitaraaa anavyoteseka.Tuna mifano michache sana mpira wa kiume kurudiwa.
Nina mpango wa kwenda kumtoa Maghembe
Kabisa, imekuwa miaka 5 ya kidikteta na uvunjifu mkubwa wa haki za binadamu tusiruhusu tena mambo haya.
Mungu atupe uzima tu
Mungu aliyewavusha huko na awasimamie katika kipindi hiki waibuke na ushindi wa kishindo.
Yale ni mataahira ya kisiasa
Pambalu ameliita Bunge la 11 ni Bunge La Ndugai maana lipo tofauti na mabunge mengine hili Bunge la ndugai baada ya kuisimamia serikali lenyewe ndio linasimamiwa na kupewa maelekezo kutoka serikalini.Najua mmepitia mengi magumu, mmenyanyaswa, mmefungwa, mmeumizwa lakini hatimae miaka mitano ya mateso ya kusimamia na kuitetea haki inafikia mwisho. Hongera sana sana. MUNGU atawalipa.
Mnaingia kwenye kipindi kingine kigumu zaidi, this time watatumia Tume, Polisi na hata Green Guards, kuweni makini, simameni. Hatutaanguka wote.
Hongereni sana, haikua rahisi.
Hiyo ni formula ya maisha kuwa hakuna mafanikio mepesi lazima ukutane na changamoto kibao ili kufikia ndoto zako.Jipange sio rahisi hivyo, japo mabadiliko yanatakiwa.
Hakika wameanza na Mungu na watamaliza nae.