Hongera kwa Wabunge na Viongozi wa Upinzani waliogoma kuuza utu wao

Hongera kwa Wabunge na Viongozi wa Upinzani waliogoma kuuza utu wao

Lakini kipindi cha kwanza kwenye mechi hii ilikuwa syo mchezo DK 45 zilikuwa balaaa
Mpaka sahv tushapigwa 2-0 [emoji23][emoji23][emoji23]
Ngoja tuone second half itakuwaje

Ova

Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
 
Najua mmepitia mengi magumu, mmenyanyaswa, mmefungwa, mmeumizwa lakini hatimae miaka mitano ya mateso ya kusimamia na kuitetea haki inafikia mwisho. Hongera sana sana. MUNGU atawalipa.

Mnaingia kwenye kipindi kingine kigumu zaidi, this time watatumia Tume, Polisi na hata Green Guards, kuweni makini, simameni. Hatutaanguka wote.

Hongereni sana, haikua rahisi.
Mkuu hongera na wewe kwa kuliona hilo na kuwapongeza hao mashujaa wa watanzania.

Hao ndiyo wanahitaji nishani ya uvumilivu na ndiyo wanajeshi watiifu kwa taifa lao.
 
Najua mmepitia mengi magumu, mmenyanyaswa, mmefungwa, mmeumizwa lakini hatimae miaka mitano ya mateso ya kusimamia na kuitetea haki inafikia mwisho. Hongera sana sana. MUNGU atawalipa.

Mnaingia kwenye kipindi kingine kigumu zaidi, this time watatumia Tume, Polisi na hata Green Guards, kuweni makini, simameni. Hatutaanguka wote.

Hongereni sana, haikua rahisi.
Baadhi ya wabunge duni walionunuliwa hadi kwa kiasi cha tsh mil 800 !
 
Return ya kutokea jasho ni ya thamani sana kuliko return ya kukubali kununuliwa kama mtumwa.
Ilà tu ukumbuke mpwa hakuna "career" inayolipa kwa sasa hapa nchini kama siasa. Hata wateswe vipi, wafungwe vipi lakini return yake hailinganishwi.
 
Ubarikiwe sana mkuu
Hakika wanastahili pongezi za dhati kwa majaribu makubwa na mateso mliyoyapata lakini hamkuuza utu wenu,wasiopata majaribu ndio wamekimbia na kuusaliti upinzani Aibu yao Historia itawakumbuka
 
Waitara sasa hivi kesha anza kupandisha pressure kwa yaliyo mtokea kwenye jimbo analo taka agombee maana wazee wa kimila wamemwambia kabisa kuwa hawamtambui.
Malaya hawatarudi angalia Waitaraaa anavyoteseka.Tuna mifano michache sana mpira wa kiume kurudiwa.
 
Ili kufanikisha hilo hatutakiwi kukata tamaa kutokana na mbinu chafu za lumumba, no tupambane tukapige kura.
Kabisa, imekuwa miaka 5 ya kidikteta na uvunjifu mkubwa wa haki za binadamu tusiruhusu tena mambo haya.
 
Najua mmepitia mengi magumu, mmenyanyaswa, mmefungwa, mmeumizwa lakini hatimae miaka mitano ya mateso ya kusimamia na kuitetea haki inafikia mwisho. Hongera sana sana. MUNGU atawalipa.

Mnaingia kwenye kipindi kingine kigumu zaidi, this time watatumia Tume, Polisi na hata Green Guards, kuweni makini, simameni. Hatutaanguka wote.

Hongereni sana, haikua rahisi.
Pambalu ameliita Bunge la 11 ni Bunge La Ndugai maana lipo tofauti na mabunge mengine hili Bunge la ndugai baada ya kuisimamia serikali lenyewe ndio linasimamiwa na kupewa maelekezo kutoka serikalini.
 
Back
Top Bottom