ubarinolutu
JF-Expert Member
- Oct 22, 2012
- 2,424
- 4,954
Watu wanajiuza miili na kurisk maisha sababu ya familia ndo ije ubunge, we fa la sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huwezi kusema imeimarika huku mpinzanio wako umemkaba koo...just a simple logicTujipange sana ni ukweli usemwe, tusitake kudanganyana wenyewe, Kwa miaka mitano hii CCM imeimarika sanaaaa Mwanga. Tahadhali tuu.
Ufala wangu mimi ndio kula yako wewe. Shukrani sana dogoWatu wanajiuza miili na kurisk maisha sababu ya familia ndo ije ubunge, we fa la sana
Amen AmenHakika wameanza na Mungu na watamaliza nae.
kwa hii miaka mitano , wabunge wa upinzani wamepitia mateso sana ....
hawa wanawake( ester mulaya , matiko na mdee) wameonyesha ujasiri na roho ngumu ambayo wanaume wengine walishindw .....na wakakubal kuunga juhudi
Wanaume wenzetu wametuangusha sanakwa hii miaka mitano , wabunge wa upinzani wamepitia mateso sana ....
hawa wanawake( ester mulaya , matiko na mdee) wameonyesha ujasiri na roho ngumu ambayo wanaume wengine walishindw .....na wakakubal kuunga juhudi
Wengine wamevumilia Sana kila mwezi kumpa mwenyekiti Mbowe 530000/- wengine 1560000/- ngumu kumeza. Hongereni Sana kwa uvumilivu huoWanaume wenzetu wametuangusha sana
Fanya fasta!!! Yule mzee kajichokea...Nina mpango wa kwenda kumtoa Maghembe
Nipo huku nalimalizia kufanya taratibu za kutangazaFanya fasta!!! Yule mzee kajichokea...
Poor you, nikajua amekumbatia mwanaume kumbe kakumbatia mwanamke!! Ulitaka akukumbatie??Wengine wamevumilia Sana kila mwezi kumpa mwenyekiti Mbowe 530000/- wengine 1560000/- ngumu kumeza. Hongereni Sana kwa uvumilivu huo
Kongole mwenyekitiiiiiiiiView attachment 1479685
Wameishia kununua .madiwani na wabunge njaa....Najua mmepitia mengi magumu, mmenyanyaswa, mmefungwa, mmeumizwa lakini hatimae miaka mitano ya mateso ya kusimamia na kuitetea haki inafikia mwisho. Hongera sana sana. MUNGU atawalipa.
Mnaingia kwenye kipindi kingine kigumu zaidi, this time watatumia Tume, Polisi na hata Green Guards, kuweni makini, simameni. Hatutaanguka wote.
Hongereni sana, haikua rahisi.
Hahahaha unakuta mtu akili zake zinamtuma kusifia tuWameishia kununua .madiwani na wabunge njaa....
Kuiua CDM unahitaji kichwani uwe fit... yaani hesabu kama za Galileo...
sasa akili kidogo kama zangu na nguvu nyingi wapi na wapi kuruta!!
Kama yule wa 70mil??Watu wanajiuza miili na kurisk maisha sababu ya familia ndo ije ubunge, we fa la sana
Najua mmepitia mengi magumu, mmenyanyaswa, mmefungwa, mmeumizwa lakini hatimae miaka mitano ya mateso ya kusimamia na kuitetea haki inafikia mwisho. Hongera sana sana. MUNGU atawalipa.
Mnaingia kwenye kipindi kingine kigumu zaidi, this time watatumia Tume, Polisi na hata Green Guards, kuweni makini, simameni. Hatutaanguka wote.
Hongereni sana, haikua rahisi.
Gone forever tena bila mazishi ya kitaifa...Hakuna yasiyokua na mwisho yuko wapi nkurunzinza
Tutapoteza watu kwa preshaMi nakusanya nguvu za kucheka pale mbunge aliekihama chama chake kwendaccm au act au cuf atakapokatwa na kubaki bubuuu hahahaaaaaa !!!!! Yaani October Ni Raha sana