Hongera kwa Wabunge na Viongozi wa Upinzani waliogoma kuuza utu wao

Hongera kwa Wabunge na Viongozi wa Upinzani waliogoma kuuza utu wao

Jambo moja tu hawakugoma.
Kuchukua hela, za posho[emoji23]
Dah shekeli mamaae sana
 
HUYU AnaAJUAA ALICHOANDIKA A..
Ilà tu ukumbuke mpwa hakuna "career" inayolipa kwa sasa hapa nchini kama siasa. Hata wateswe vipi, wafungwe vipi lakini return yake hailinganishwi.
 
Hao ni majemedali wa kweli kabisa, kwa cdm lazima wapatiwe nishani ya uvumilivu
kwa hii miaka mitano , wabunge wa upinzani wamepitia mateso sana ....

hawa wanawake( ester mulaya , matiko na mdee) wameonyesha ujasiri na roho ngumu ambayo wanaume wengine walishindw .....na wakakubal kuunga juhudi
 
Huko aliko,baada ya hivi karibuni kutoa kibao kuhusu corona,nakushauri ukae chini tena na utunge nyimbo ya kukumbusha na kuponda usaliti uliofanywa na baadhi ya wanasiasa(usitaje majina wimbo unaweza kuzuiwa) waliosaliti wananchi na vyama vyao na zaidi katika wimbo huo, uwapongeze wanasiasa waliosimama imara kukataa kusaliti wananchi wao na vyama vyao kwa ahadi ya kupewa vyeo au fedha.

Wimbo huo,licha ya kuwapongeza na kuwatia moyo mashujaa hawa wa demokrasia ya vyama vingi hapa nchini, wimbo huo pia utafaa sana wakati wa kampeni na utakuwa ni moja ya "tool" muhimu ya kufanikisha ushindi.

Huo ndio ushauri wangu kwako katika kipindiki hiki cha kuelekea katika uchaguzi mkuu wa baadae mwaka huu.
 
Hivi huyo mkimbizi polisi weupe wa U.S. hawajamshoot maana wanauwa kila siku bora arudi bongo apigwe virungu tu kuliko risasi
 
Hujui Yesu karudi?!
mwenye yesu huyu hapa
SURATI ZUBAA  Ndio surati zubaa, pengine tumesomewa, Sivyo tusingebung'aa, wakat ( 640 X 640 ).jpg
 
Back
Top Bottom