Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tujipange sana ni ukweli usemwe, tusitake kudanganyana wenyewe, Kwa miaka mitano hii CCM imeimarika sanaaaa Mwanga. Tahadhali tuu.
Muda wa heshima umeisha sasa wale wajinga wanarudi mtaani ambako Ndugai hayupo wa kuwalinda na mtaani wanadharauliwaView attachment 1479571
Huwezi kusema imeimarika huku mpinzanio wako umemkaba koo...just a simple logic
Wachana na hao wavimba machoUfala wangu mimi ndio kula yako wewe. Shukrani sana dogo
Ilà tu ukumbuke mpwa hakuna "career" inayolipa kwa sasa hapa nchini kama siasa. Hata wateswe vipi, wafungwe vipi lakini return yake hailinganishwi.
kwa hii miaka mitano , wabunge wa upinzani wamepitia mateso sana ....
hawa wanawake( ester mulaya , matiko na mdee) wameonyesha ujasiri na roho ngumu ambayo wanaume wengine walishindw .....na wakakubal kuunga juhudi
Wanaume wenzetu wametuangusha sana
Hakika wanastahili pongezi nyingi sana
Wengine wamevumilia Sana kila mwezi kumpa mwenyekiti Mbowe 530000/- wengine 1560000/- ngumu kumeza. Hongereni Sana kwa uvumilivu huo
Kongole mwenyekitiiiiiiiiView attachment 1479685
Fanya fasta!!! Yule mzee kajichokea...
Nipo huku nalimalizia kufanya taratibu za kutangaza
Angekuwa anamsifia Jiwe,hata tiketi ya ndege mngemtumia ili aje amsaidie kwenye kampeni.Hivi huyo mkimbizi polisi weupe wa U.S. hawajamshoot maana wanauwa kila siku bora arudi bongo apigwe virungu tu kuliko risasi
Angekuwa anamsifia Jiwe,hata tiketi ya ndege mngemtumia ili aje amsaidie kwenye kampeni.
Hujui Yesu karudi?!Jiwe ndio nani?
Kwi Kwi KwiJiwe ndio nani?
Tena anavaa suti za mtumbaHujui Yesu karudi?!