Tatizo nyinyi ni wanafiki. Nani asiyependa mshahara, marupurupu mazuri? Wewe hutaki> Ukweli ndio huo. Kwanini CCM haitaki katiba mpya? wanajua kwa katiba mpya saa 12 asubuhi wako nje ya serikali...asali!Mentality ya ajabu hiyo....
Huo ni UTUMISHI WA UMMA...
Hayo masuala ya fikra za asali ndiyo yanayotuumiza kufikia ubora zaidi....
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app